jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.
Dini ni imani yoyote ambayo inaaminiwa na wafuasi wake,unauhakika gani dini uliyonayo ndio dini ya Mungu,kaa tulia nchi huru hii.