Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.

Dini ni imani yoyote ambayo inaaminiwa na wafuasi wake,unauhakika gani dini uliyonayo ndio dini ya Mungu,kaa tulia nchi huru hii.
 
Umejiaibisha kwa kukurupuka kwako ona saaa huu uzi unawenda kuutelekeza ..
 
Mnachekesha sana ..
Shia hao wakisheherekea Ashura
46853065-9907729-The_act_of_self_flagellation_is_seen_as_an_act_of_washing_away_s-a-29_1629362...jpg
46853047-9907729-Graphic_photos_have_captured_the_scenes_in_Iraq_as_Shiite_Muslim-a-40_1629362...jpg
 
Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.
Kwani dini gani una uhakika kabisa ni ya Mungu.
 
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604
Tz kila mtu maarufu! Mara sheikh aliyetumbuliwa naye ana msafara, na huyu mfalme, Lissu, itakuja ya Lema!!
 
Back
Top Bottom