Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini


Kuna wanaume hapo wana wake na watoto wanashabiki huu upumbavu
 
hapo alipo ana nyege hatariii..inabidi wahuni wahuko waandae na misasa laini[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] natamani nikutane nae nimsugue na msasa wa jang'ombe
 
Naona kuna wanaume wana ndevu kabisa wanamshangilia na ni wafuasi wake 🀣🀣🀣
 
Kwa hiyo kazi inaendelea?
Maana najua kondoo wake walishatawanyika ana jukumu kubwa la kuwakusanya
 
Du! Ila baadhi ya watanzania ni majitu ya ovyo sana. Ona wanavyomshangilia!! 😳 πŸ™„
 
Jamani, hakuna kitu cha kijinga duniani kama dini
 
Hizi ni nyakati za mwisho. Shetani ana nguvu sana. Kila mmoja achukue tahadhari kivyake. Wanaoendelea kupotea na kumtumikia shetani kwa nguvu zote, waacheni wapotee kwa kukosa maarifa.
 
Wewe ulisikia wapi mfalme akawa na mume??, angekuwa Malkia hapo sawa ungeuliza hilo swali.

Huyo ni mfalme Zumaridi atakuwa anao "wake" (Mamalkia) 🀣🀣
Hawa ndo wale wa slavely matrons
 
Watu wa ivi hua nawapa heshima
Mmama kutongoza wanaume na wanawake wengi ivo ukawashika akili inahitaji akili kubwa
Sisi mwanamke mmoja tu mkurugenzi tunachelea kumwimbisha akae kundini ummiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…