Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Habari kutoka kanda ya ziwa kutoka Kanisa la huyu mama Nabii Zumaridi lililopo Mkuyuni mkoani Mwanza

Inaelezwa kwamba Nabii Zumaridi ameamua kuchukua mamlaka ya Mungu chini ya jua, kwamba anajiita Mungu, hali hiyo iliyopelekea kufikia hatua kwa Waumini wake pamoja na wafuasi wake kumwabudu, kumtukuza na kumsujudia.

Anavyofanya huyu mama si sawa kabisa, ifike mahala Serikali ichukue hatua kwa mambo kama haya ya upotoshaji huu.

Na kwanini wahanga wengi wa mambo kama haya ni wanawake..!

View attachment 1053739
Huu ndio utumwa sasa!! hakuna wa kuwatoa huku utumwani jamani ,wenye mamlaka mpooo?
 
Hawa mazuzu nao acha wapigwe tu haya mambo kila siku yanaandikwa na kuzungumzwa lakini hawasikii
 
Habari kutoka kanda ya ziwa kutoka Kanisa la huyu mama Nabii Zumaridi lililopo Mkuyuni mkoani Mwanza

Inaelezwa kwamba Nabii Zumaridi ameamua kuchukua mamlaka ya Mungu chini ya jua, kwamba anajiita Mungu, hali hiyo iliyopelekea kufikia hatua kwa Waumini wake pamoja na wafuasi wake kumwabudu, kumtukuza na kumsujudia.

Anavyofanya huyu mama si sawa kabisa, ifike mahala Serikali ichukue hatua kwa mambo kama haya ya upotoshaji huu.

Na kwanini wahanga wengi wa mambo kama haya ni wanawake..!

View attachment 1053739
Hii si sawa.
 
Hujawahi kujiuliza kwann majini,mapepo,mashetani yanawatesa sana wanawake nauku YESU aliyasukumia Nguruwe? Kwann Nguruwe hawasumbiliwi na mashetani kuliko Wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du ndg yangu umenikumbusha kisa kimoja ,kuna shemeji yangu alikuwa anasari kanisani kwake basi siku moja akaja nyumbani kwangu huyo shemeji akamchukua binti yangu mwenye miaka 16 akawa anaenda naye kanisani kwa zumaridi weee wiki mbili tu binti akawa anaanguka et mapepo ya zumaridi ndg zangu nilipiga marufuku mara moja kwenda kwenye kanisa lake ,toka siku hiyo binti hajawahi kuanguka kisa mapepo,namuogopa sana yule mama,
Nimeona hii habari nikaamua niingie mwenyewe YouTube nijionee, duu kwa nilichokiona hapana.
 
Habari kutoka kanda ya ziwa kutoka Kanisa la huyu mama Nabii Zumaridi lililopo Mkuyuni mkoani Mwanza

Inaelezwa kwamba Nabii Zumaridi ameamua kuchukua mamlaka ya Mungu chini ya jua, kwamba anajiita Mungu, hali hiyo iliyopelekea kufikia hatua kwa Waumini wake pamoja na wafuasi wake kumwabudu, kumtukuza na kumsujudia.

Anavyofanya huyu mama si sawa kabisa, ifike mahala Serikali ichukue hatua kwa mambo kama haya ya upotoshaji huu.

Na kwanini wahanga wengi wa mambo kama haya ni wanawake..!

View attachment 1053739
na hapa sio Airport ya mwanza hii
 
Back
Top Bottom