Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Hii picha inaonyesha ni kiasi gani na kwa kiwango gani binadamu anaweza kukosa akili na maarifa. Kumwinamia na kumuabudi kiumbe kama wewe ni ukosefu mkubwa sana wa maarifa na akili.

Stuuuped indeed!!

Usilaumu, linaweza kuwa igizo lenye malipo ya kufaa
 

Mafundisho yasiyofaa na yale yanayofaa yalikuwako tangu zamani

Usisahau kuwa waliomuua Yesu walikua Mafarisayo na wakuu wa Makuhani
 
Anakwambia yesu ni wazamani, wakati wake umekwisha.[emoji28][emoji28]

Siku nikiona wife kaenda huko ntamkata miguu.

Yesu ni jana leo na milele

Unatamani kuwa na mke mlemavu eee?
 

Umechukua mifano michache Halafu unalazimsha makanisa yote Ni mabaya. Makanisa mengi Ni mazuri ila Kuna machache ambayo ndio yanaharibu sifa.
 
Acha wajinga waendelee kuibiwa
 
Hii picha inaonyesha ni kiasi gani na kwa kiwango gani binadamu anaweza kukosa akili na maarifa. Kumwinamia na kumuabudi kiumbe kama wewe ni ukosefu mkubwa sana wa maarifa na akili.

Stuuuped indeed!!
Bora wamemkamata yasije kutokea yale ya Kibwetere.
Kwa maana kwa namna ya hii picha inaonesha ameshawaharibu kabisa kisaikolojia.
 
Anashepu la kuvunja chaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…