Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Huyu dada ni psychopath kama sio sociopath (it depends na kilichomsababishia kuwa na hii akili au mental state.

Katika hali ya kawaida mtu kujiona ni MUNGU au kujipa mamlaka ya ki'MUNGU ni matokeo ya kurukwa na akili kuliko pitiliza standards za kawaida.

Huyu wakicheka nae basi wasubirie ya kibwetere au ya Jim Jones wa marekani na wengine wa kariba hii.

Nimetazama video zake nyingi huyu dada nimeona anachofanya si ibada ya kikristo bali huyu anatengeneza Cult clan ambayo anajua malengo yake ya baadae.

Kitendo cha baadhi ya waumini kumsujudia, yeye kujiita mungu, baadhi yao kuuza mali zao binafsi na kumpelekea yeye hizo pesa ni very questionable.

Inatishia sana usalama wa hawa watu maana huwezi jua atawafanya nini baadae endapo watazidi miminika kwake na uchizi wake ukamwambia kuwateketeza.

Wengi wa hawa ma cult leaders huwa wanakuwa sio timamu kiakili na utawajua tokana na tabia zao na mienendo.

Sasa hapa tayari nimeshawapa idea. Nendeni mkajifunze na kuwabaini.
 
Huyu dada ni psychopath kama sio sociopath (it depends na kilichomsababishia kuwa na hii akili au mental state.

Katika hali ya kawaida mtu kujiona ni MUNGU au kujipa mamlaka ya ki'MUNGU ni matokeo ya kurukwa na akili kuliko pitiliza standards za kawaida.

Huyu wakicheka nae basi wasubirie ya kibwetere au ya Jim Jones wa marekani na wengine wa kariba hii.

Nimetazama video zake nyingi huyu dada nimeona anachofanya si ibada ya kikristo bali huyu anatengeneza Cult clan ambayo anajua malengo yake ya baadae.

Kitendo cha baadhi ya waumini kumsujudia, yeye kujiita mungu, baadhi yao kuuza mali zao binafsi na kumpelekea yeye hizo pesa ni very questionable.

Inatishia sana usalama wa hawa watu maana huwezi jua atawafanya nini baadae endapo watazidi miminika kwake na uchizi wake ukamwambia kuwateketeza.

Wengi wa hawa ma cult leaders huwa wanakuwa sio timamu kiakili na utawajua tokana na tabia zao na mienendo.

Sasa hapa tayari nimeshawapa idea. Nendeni mkajifunze na kuwabaini.



🤔🤔🤔
 
Huyu ni miongon mwa mitume wa shetani.


Hebu tuthibitishie kwa uzuri nasi tukuelewe maana kusema tuu bila kuweka matendo yake haitoshi

Au ni yale mauno 🤣🤣🤣
 
Huyu zumaridi ni mwanamama anaeitwa Esther/Diana, ila huwa Luna nyakati roho ya mungu baba wa mbinguni hutumia(huvaa) mwili wake kama hekulu la kufikisha ujumbe kwa watu wake yaaani kama vile huko nyuma ilivyowahi kuwa, roho ya mungu ilivaa mwili na kuzaliwa mtu kama Kristo yesu..Yeye ni tofauti kidogo kwa kuwa yeye ni pure mwanadamu ila roho ya mungu huingia ndani yake na kufanya shughuli za kiungu kupitia yeye kama vile pepo linavyoingia kwa mtu na kufanya vurugu za kipepo kupitia mwili wa huyo alieingiliwa. Hivyo ikitokea umekututana nae huyu mwanamama akiwa tayari roho ya mungu imemshukia muite Mfalme mungu zumaridi...kwa kuwa nafsi ya mungu ipo ndani yake muda huo(hawi yeye) na vilevile ukimkuta roho ya mungu haijamshukia wakati huo huwa ni pure mwanadamu na muite tu Esther/Diana.(Source: Yeye mwenyewe)
Tapeli tu uyo anashukiwa na majini tu achomoke sasa police na huyo roho wake kwanza Mungu gani anaitwa Zumaradi kama sio uchawi
 
Kwa imani zetu wengi wetu tunaoishi duniani tunaongozwa na roho. Na hizo roho zipo za aina mbili; ile ya Mwenyezi Mungu muumbaji na mwenye mamlaka na ukuu juu ya wakuu wote, au roho mkuu wa giza shetani au ibilisi.

Tunaoishi duniani hatuwezi kukwepa ya dunia hii, lazima tutakutana nayo kwa kutaka au kutotaka. Leo nimekutana na habari za huyu mama anayeitwa MFALME ZUMARIDI zikisema amekamatwa na police kwa kuwaweka watu mateka.

Huyu ZUMARIDI ni nani haswa? Na anafanya nini na akiongozwa na roho yupi!?

Naambatanisha baadhi ya video zake

View attachment 2134082


View attachment 2134083
Sukuma gang ndio huyu sasa
 
AISEH polisi wamekupa uchumi kwa kumkamata huyo mama!! SASA chief hangaya ameona anazidiwa nini??!serikali haina Dini mbona?!!
 
Back
Top Bottom