chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wahubiri wanaovunja ndoa za watu kama wa makanisa mapya ya sasa, ni very trickyZumaridi anateswa sababu ni mwanamke. Kuna wahubiri wangapi wanafanya mambo ya ajabu miaka na miaka na hawachukuliwi hatua? Vyama vya kutetea haki za wanawake viko wapi?
4.kama anarecord za uhalifu wa mara mara3.Ananyimwa dhamana kwa ajili ya usalama wake mwenyewe.
Waganga hufuatwa na wateja kaka, nyepesi nyepesi zinasema huyu mama yeye anafadhiri usafirishaji huo ambao umeitwa haramuMungu
Ni uonevu lakini,mbona waganga wa kienyeji waharibu Sana Maisha ya watu na hata ukienda kwenye majumba yao watu wamekusanyika bila kibali,wao mbona awakamatwi
Baadhi ya makosa hayana dhamana. Mf, utakatishaji fedha,mauaji,ugaidi,biashara ya madawa ya kulevya kama cocaina, man drax,u uzaji wa nyara za sirikali nk.Ila huu utaratibu wa kumfunga mtu kabla hajapatikana na hatia ya kufungwa nao sio kabisa. Siwezi kumtetea huyo Zumaridi ila najiuliza tu, ni lazima awe huko ndani siku zote?! Naona loop holes za watu kutumia sheria zilizopo kufanyiziana.
Miungu ipo ya aina nyingi. Huyu mungu wake yupo chini ya jua sio mbinguni tafsiri yake yupo hapahapa ardhini tunaishi nae kwahiyo usihofu. Mwagope mungu Alie umba hilo jua na sayari zote ni boss mkuu anae ishi mbinguni si chini ya jua.mungu kukosa dhamana.. inasikitisha
Hajahukumiwa huyo yupo mahabusu. Ikiwa atapatikana na hatia ndipo hukumu itatolewa kama kufungwa au adhabu ya aina nyingine hasa mahakama utaona ipi inamfaa.Sawa, ila bado tuko jamii inayotoa nafasi kwa baadhi ya watu kutoa hukumu kabla hukumu ili kutesana tu.
Kwasababu wamesajiliwa na vibali vya kazi wanavyo. Japo serikali haitambui uchawi wa dini, inacho jua raia wana dini na wengine hawana dini. Ni hiyari yako kwenda hospital au kwenda kwa mizimu na Mila za makabila.Mungu
Ni uonevu lakini,mbona waganga wa kienyeji waharibu Sana Maisha ya watu na hata ukienda kwenye majumba yao watu wamekusanyika bila kibali,wao mbona awakamatwi
Hakuna kanisa jipya sema kuna wahubiri wapya.Hakuna wahubiri wanaovunja ndoa za watu kama wa makanisa mapya ya sasa, ni very tricky
Hakimu naye ni binadamu, ana mahitaji mengine nje ya kazi yake.Ni upumbavu pili mtuhumiwa ana mali nyingi tena zisizohamishika kwann zisitumike kama dhamana.
Pili hili la hakimu husika kutokuwepo siku ya kesi husika, kwann asiwepo nani anabeba hii Dhamana ya mtu kupigwa tarehe tena hadi hakimu awepo.
Sio kwamba alidharauTatizo Zumaridi alividharau vyombo vya dola bila kujua Ni mtego.
Sio kwamba alidharau bali naona akili yake haiko sawa.Tatizo Zumaridi alividharau vyombo vya dola bila kujua Ni mtego.
Ninaelewa hajahukumiwa ila nimetumia lugha hiyo kwa makusudi kabisa kwasababu mifumo yetu wakati mwingine inawachulia watu kama tayari wamehukumiwa wakati bado hawajahukumiwa.Hajahukumiwa huyo yupo mahabusu. Ikiwa atapatikana na hatia ndipo hukumu itatolewa kama kufungwa au adhabu ya aina nyingine hasa mahakama utaona ipi inamfaa.
Kuwa na nyumba ama utajiri sio kigezo cha kupata dhamana kama kosa lako linadondokea kwenye makosa yasio na dhamana.Ni upumbavu pili mtuhumiwa ana mali nyingi tena zisizohamishika kwann zisitumike kama dhamana.
Pili hili la hakimu husika kutokuwepo siku ya kesi husika, kwann asiwepo nani anabeba hii Dhamana ya mtu kupigwa tarehe tena hadi hakimu awepo.
Atakua amekua mweusi sana dohhMfalme apelekewe vipodozi vyake huko mahabusu....waumini watamsahau .
Kuna mmoja aliwatoa Kafara wachaga Moshi kwa kuwakanyagisha mafuta ya upako Ili apande daraja, ila yeye yupo huru hii ni kama dabo standard hivi.
Hahaaa! Umezaliwa lini na kijiji gani ili tukujuze!Ila huu utaratibu wa kumfunga mtu kabla hajapatikana na hatia ya kufungwa nao sio kabisa. Siwezi kumtetea huyo Zumaridi ila najiuliza tu, ni lazima awe huko ndani siku zote?! Naona loop holes za watu kutumia sheria zilizopo kufanyiziana.
Alikataa kudhaminiwa. wacha aone moto!Ni upumbavu pili mtuhumiwa ana mali nyingi tena zisizohamishika kwann zisitumike kama dhamana.
Pili hili la hakimu husika kutokuwepo siku ya kesi husika, kwann asiwepo nani anabeba hii Dhamana ya mtu kupigwa tarehe tena hadi hakimu awepo.
Suala siyo ana mali nyingi, suala ni kuwa kesi ya kusafirosha binadamu haina dhamana kama umesoma na kuelewa huu uzi hapo juu.Ni upumbavu pili mtuhumiwa ana mali nyingi tena zisizohamishika kwann zisitumike kama dhamana.
Pili hili la hakimu husika kutokuwepo siku ya kesi husika, kwann asiwepo nani anabeba hii Dhamana ya mtu kupigwa tarehe tena hadi hakimu awepo.
Nendeni mkamtoe basi huyo mfalme jike wenu. Hatujawahi kusikia duniani mwanamke anaitwa mfalme.Naona mwisho wa dunia haupo mbali.Si kweli.Wana mletea hila tu mfalme "wetu"!
Bifu gani, hebu twambie tujue wote.Yule ana bifu na police,hamna kesi pale