Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kitoto sana hilo.Kwa hiyo hadi sahivi tunaula huo mti au
Mbona ugali wa dona una virutubisho zaidi na watu wengi wanakoboa mahindi?
Kwa nini kuvipata kwingine kuwe ni issue?Hivyo virutubisho ni vipi ambavyo aliyekoboa mahindi havipati kwingine?
Kwa nini kuvipata kwingine kuwe ni issue?
Unaokota briefcase la hela, juu lina mabunda ya shilingi elfu kumi, ndani lina mabunda ya shilingi elfu moja.
Halafu unatupa mabunda ya shilingi elfu kumi ya juu yote.
Watu wakiuliza mbona unatupa hayo mabunda ya elfu kumi ya juu? Unauliza mabunda gani ambayo hayawezi kupatikana kwingine?
Ndiyo swali ulilouliza hapa.
Kuna mdau kauliza kwani yeye nyani anaishi miaka mingapi?Kwani nyani anakula nazi nzima nzima? Anataka tule kama nyani. Nyani nae anamenya ila sisi binadamu tunamenya kupitiliza.Mfano sisi tunakula nazi kwa kuikuna kwanza huku ukiacha ganda fulani ambalo linalika halafu machicha yake unatupa, lakini nyani atakula nazi yote ile inayolika bila kutema machicha.
Sijui anaishi miaka mingapi ila maisha ni fumbo sana.Leo maeneo ya kibaruani imetokea ajali na kuua wafanyakazi wawili.Ajali imetokea mikumi, Morogoro baada ya lori kufeli breki lilipokuwa linateremsha mlima.Kuna mdau kauliza kwani yeye nyani anaishi miaka mingapi?
Au kutafuna kuku na manyoyaYani unamaanisha kama unatka kula nazi ni unachuma kwenye mti na kuanza kula kwa kumeza nzima nzima!!!!
true man, dawa anatumia miti shamba
Kiongozi wangu Mungu mwenyewe ndo alipunguza umri wetu kuishi, inasemekana ni baada ya ulaji wa nyama kuruhusiwaHivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!
Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!
Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.
Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!
Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!
Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!
Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!
Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k
Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!