Mfanyabiashara ahukumiwa kunyongwa Dar, alimuua mdai wake aliyempa hela amuagizie Fuso

Mfanyabiashara ahukumiwa kunyongwa Dar, alimuua mdai wake aliyempa hela amuagizie Fuso

Pesa, pesa, pesa

Si mchezo watu wanatoana uhai kisa pesa.
Lakini pia tusipende sana kuwaamini watu kwa kiasi kikubwa, pesa za kununua fuso unampa mtu kirahisi.
Hata polisi kule mtwara sijui ilikuwa lindi ile, waliua mfanyabiashara wa madini kwa kuwadai chake (milioni 30)
 
Tatizo kuna watu wanadaigi kwa jazba kejeli na matusi tena hadharani. Sasa hii inapelekea kumpa nafasi shetani atawale nafsi na akili ya mdaiwa nakusababisha sintomfaham kupelekea kufanya mauaji bila kujijua.

Mnakumbuka kisa cha uriah aluvyokuwa anadai chake mke wake kwa Daudi? Alikomaa hadi akakataa kwenda nyumbani. Daudi alimaindi kichiz akaamua tu kumpoteza.

Dawa ya deni ni kulipa. Tusiwe wachoyo na tamaa zembe. Dhulma ni mbaya inasababisha mdaiwa kuwa na hasira za kijinga akidaiwa nakupelekea kuua nafsi isiyokuwa na hatia.

Saa zingine ukimdai mtu anakukwepa na kukudhulumu muachie Mungu tu. Jamaa angemuachia Mungu asingeuwawa.

Acha anyongwe tu.
Uria hakuwahi dai mke, na alikuwa hajui chochote maskini, hadi akabeba hati ya kifo chake kwa kamanda wa vita vitani.
 
Tatizo kuna watu wanadaigi kwa jazba kejeli na matusi tena hadharani. Sasa hii inapelekea kumpa nafasi shetani atawale nafsi na akili ya mdaiwa nakusababisha sintomfaham kupelekea kufanya mauaji bila kujijua.

Mnakumbuka kisa cha uriah aluvyokuwa anadai chake mke wake kwa Daudi? Alikomaa hadi akakataa kwenda nyumbani. Daudi alimaindi kichiz akaamua tu kumpoteza.

Dawa ya deni ni kulipa. Tusiwe wachoyo na tamaa zembe. Dhulma ni mbaya inasababisha mdaiwa kuwa na hasira za kijinga akidaiwa nakupelekea kuua nafsi isiyokuwa na hatia.

Saa zingine ukimdai mtu anakukwepa na kukudhulumu muachie Mungu tu. Jamaa angemuachia Mungu asingeuwawa.

Acha anyongwe tu.
Hata kama ni hivyo ndio utoe uhai wa mtu ? Hivi tunajua hiyo pesa marehemu aliipata vipi ? Yaani milioni 30 unampa mtu kiroho safi akutafutie gari kisha anadai haki yake unamzungusha kwanini usiwe mkali ?
 
Ingelikua wanadamu tuna ruhusiwa kuhukumu kama Mungu, huyu mwamba alitakiwa akatwe pumb~ hadharani akiwa uchi, Yaani anyofolewe kiungo kimoja kimoja kabla ya kufa

Iwe fundisho kwa wengine wenye mtindo kama huo, Ime niuma sana hii... watu wana pambana kutafuta fedha ili waweze kukidhi mahitaji yao na familia zao na kuweza kusaidia wengine wewe una dhulumu watu na kuua pia daaah ...! [emoji24]

Hii ilitakiwa iwe hata kwa viongozi waliopo madarakani wanao enda kinyume na katiba, na protocol zote za uongozi hii ilitakiwa iwe adhabu yao[emoji856]

Wana wagharimu watu wengi sana kwa ujinga wao,mapenzi,kunufaisha akina fulani ni umwinyi na umiki huo,, Yaani mtu mmoja ana sababisha maumivu kwa maelfu ya watu au mamilioni so sad [emoji17] na hafanywi chochote huku ni kutukuza watu. Anaye paswa kutukuzwa na kuhimidiwa ni Mungu pekee.
Sheria ya hukumu ya kifo bado nchini issue ni mkuu wa nchi kutia saini hati za waliohukumiwa kifo
 
Mie mdau sana wa detectives stories yanj wanakwambia hakuna mauaji yanayokua perfect inatokea mara chache sana lazma kuna pahala muuaji akosee...


Kama huyu jamaa shimo lake hakufukia kwa kiwango pakaja kumuumbua
Tatizo linaanzia kwenye haraka ya kutekeleza wazo la mauaji. Pia kiwewe cha kujulikana kuwa umeua kinapelekea kufanya maamuzi yasiyosahihi. Mfano wazo la jamaa kuhama halikuwa sahihi. Yeye alihisi amelikimbia tatizo kumbe ndio amezakisha tatizo. N.b Uuaji ni kazi ngumu mno na inahitaji uzoefu wa kutosha na mahesabu makali mno. Unatakiwa kuanalyse possibilities nyingi sana
 
Binadamu ni mmojawapo wa kiumbe katili sana na tofauti na wanyama wengine ambao huua kwa ajili ya chakula au kujilinda binadamu wanaeweza kuua bila hizo sababu zote.
Mkuu hapo muuaji alikuwa anajilinda
 
Back
Top Bottom