TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

Maisha ya sehemu za boda ndizo zilivyo

Ova
 
Pale kwake Tegeta darajani mbele walikuwa wanauza mbao sasa hivi wameondoa mbao kuna kanisa linaendelea. Shule yake jirani na Tegeta darajani ilifungiwa kitambo majengo yako chini ya kiwango. Cornelius ilimshinda kuendesha amekodisha watu wanaiendesha kwa kusuasua
Aliikuwa ni Mmiliki wa Majengo ya Kanisa na Shule Kama una ujuzi wa kuendesha kanisa anakukodisha. Waumini wakiwa wengi ndio utamjua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ