Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Unaweza kumuwahi jinyonge kisha wawahi kukuzikaAmewahi kabla yangu
RIP MZEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kumuwahi jinyonge kisha wawahi kukuzikaAmewahi kabla yangu
RIP MZEE
Kesha kufaHivi huyu Bujugo wa Green Acres alishafariki? Pia ndo huyo huyo mwenye shule ya Green Acres iliyoko Missenyi Kagera?
Sambeke si alikuwa kama godfather waoKuna mnyama mwingine akiitwa Bob Sambeke, alkufa kwa ndege yake kuanguka pale Arusha Airport
Maisha ya sehemu za boda ndizo zilivyoKwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
Alikuwa dhulmati sana huyu.
Duuh yule sasa ndio jambaz mbobezAlex Massawe ameuza nyumba nyingi kama siyo zote na kuhamia South Africa. Huku amekimbia kesi za mauaji zinazomkabili. Mshirika wake Papa Msofe kachezea sana jela mpaka mali zimekwisha
CHIEF PRIEST mbona yupo amechangia sana tuNimesoma koment zote za huu uzi, sijui kwanini mmemzuia Huyu CHIEF PRIEST kuchangia kwenye huu uzi
Kama kweli kazuiwa kuchangia,ukute kafuatwa na mzee wa SOGELEA TELEGRAM ili tukapate stori Kwa kulipia.Nimesoma koment zote za huu uzi, sijui kwanini mmemzuia Huyu CHIEF PRIEST kuchangia kwenye huu uzi
Kapauka?😳Alex Massawe ameuza nyumba nyingi kama siyo zote na kuhamia South Africa. Huku amekimbia kesi za mauaji zinazomkabili. Mshirika wake Papa Msofe kachezea sana jela mpaka mali zimekwisha
Mwenyewe nilikua najiulizaMh sio uyu wa W.O.P?
Nitasogelea telegram mkuu 😁.Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!
😂😂Marehemu hakuwahu kusoma na wajinga...pia aliacha husia wajinga wasikanyage
Kwamba huyu ndo Buyobe?[emoji1787][emoji1787][emoji23]Nitasogelea telegram mkuu [emoji16].
Sasa buyobe ni mdogo sana kwanguKwamba huyu ndo Buyobe?[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Acheni utoto...unawajua hawa!Of course Buyobe hachezi mbali na JF
Aliikuwa ni Mmiliki wa Majengo ya Kanisa na Shule Kama una ujuzi wa kuendesha kanisa anakukodisha. Waumini wakiwa wengi ndio utamjua vizuri