TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

Acheni utoto...unawajua hawa!
1.Marehemu dena hamsi?
2.yoyo?
3.fidel
4.game theory?
5.field marshal Es (maremu wm)
6.Mike Mushi (owner wa JF...co founder)
7.Nyani Ngabu
8.pakajimmy
9.lara na madame b
10........acheni Utoto!
Wako hapi hao wote uliowataja?
 

Kweli kabisa siku hizi hela ipo Instagram, ndio maana tunawaona machawa kama akina Mwijaku,Doto Magari ,Haji Domo, Konde na wajinga wajinga wengi wakiwa mamilionea kwa kuwa wajinga na wengine kwa kuonyesha misambwanda huko Instagram.
 
Duh hatari sana 80s kweusi serikali ilikuwa hamna nini bado akaendelea kuwepo mtaani
Huyu aliwahi kumwambia rafiki yangu mlokole mjanja ambaye ana nyumba za kupangisha 15 maeneo mbalimbali ya jiji ya Dar Es Salaam, kuwa ha yaani nyumba 15 nawe unasema una nyumba hapa jijini, yaani unatakiwa angalau una nyumba kuanzia 30 na kuendelea bwashee, maneno hayo anamwambia hapo kanisani kwao!
 
Kaanzia kwa Captain, hata mimi nimemshtukia!
 
Duuh
 
Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.

Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska

natoa faraja kwa wafiwa. kifo kinauma, ukifiwa moyo unaumia, wanahitaji wafarijiwe. hata Yesu alilia pamoja na waliolia.

ila nyote mnaosoma hapa, jiandaeni kwa kifo kwa kumpa Yesu Maisha yenu ili kama mkifa mfe katika Bwana na mkiishi muishi katika Bwana. msidanganywe na mapadre na wachungaji wanaowadanganya kwamba mkifa wataombea maiti zenu au makaburi yenu na huko mliko mtasamehewa. baada ya kifo ni hukumu. hivi ndio vifungo vimewafanya wakatoliki na watu wa dini zingine waogope hata kuondoka,ndio mnyororo na pingu za kuwashikilia kwenye madhehebuhayo yasiyo na Mungu, watu wanaogopa wakiondoka watazikwa na nani? nani atawaombea wakiwa maiti? as if wakiombewa watasamehewa. Kama ingekuwa mtu akifa anaombewa na kusamehewa Mungu asingeelekeza tuache dhambi, si ndugu zangu wangeniombea? unafanya zako dhambi, unakufa, wanakuombea ndugu zako, unaenda mbinguni. ingewezekana kweli?

BIBLIA INASEMA KATIKA UFUNUO 14:13; Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

MANAKE, ukifa matendo yako yatafuatana nawe, yaani yatakufuata ukahukumiwe nayo, pale tu unapokufa, jua ndio itakuwa deadline ya wewe kutengeneza na Mungu kwa kutubia dhambi zako, hatutubu tukiwa tumekufa, opportunity hiyo ni ukiwa hai. na hii mkifunguka itawasaidia kuyakimbia makanisa yasiyohubiri wokovu, hayo yanayohubiri kuomba kwa maria na wafu badala ya Jina la Yesu, hayo yanayohubiri kuombea watu as if wao ndio wenye ticket ya kukufanya uende mbinguni au motoni, wao wenyewe hawana Mungu. kimbieni huko, kimbieniiii.
 
Huyuuu ashaenda mkuu ashauriki labdaa ushauri wanguu aandike wosia asitutesee msiban upended wa mirathi
 
Alichoandika hapa na kule twitter ni vile vile hakijapungua hata nukta. #Paratrooper
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo kafungua Code mwenyewe.

Au ka Copy na Ku paste kwa kuunganisha replies za watu humu ili kutengeneza thread ya kutufanya tusogelee telegram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…