Wako hapi hao wote uliowataja?Acheni utoto...unawajua hawa!
1.Marehemu dena hamsi?
2.yoyo?
3.fidel
4.game theory?
5.field marshal Es (maremu wm)
6.Mike Mushi (owner wa JF...co founder)
7.Nyani Ngabu
8.pakajimmy
9.lara na madame b
10........acheni Utoto!
Yawezekana Kwa sababu nimekuta Uzi wake kule X ameweka ka-intro kidogo ka post komenti za JF na kuambia wasogelee Telegram.Kama kweli kazuiwa kuchangia,ukute kafuatwa na mzee wa SOGELEA TELEGRAM ili tukapate stori Kwa kulipia.
Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!
Kweli kabisa siku hizi hela ipo Instagram, ndio maana tunawaona machawa kama akina Mwijaku,Doto Magari ,Haji Domo, Konde na wajinga wajinga wengi wakiwa mamilionea kwa kuwa wajinga na wengine kwa kuonyesha misambwanda huko Instagram.Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
Huyu aliwahi kumwambia rafiki yangu mlokole mjanja ambaye ana nyumba za kupangisha 15 maeneo mbalimbali ya jiji ya Dar Es Salaam, kuwa ha yaani nyumba 15 nawe unasema una nyumba hapa jijini, yaani unatakiwa angalau una nyumba kuanzia 30 na kuendelea bwashee, maneno hayo anamwambia hapo kanisani kwao!Duh hatari sana 80s kweusi serikali ilikuwa hamna nini bado akaendelea kuwepo mtaani
Halafu wanakuwa wazee wa kanisa baada ya kutajirika kimafia.Ila wazee wa kichaga pesa zao walizipata kibishi mnoo
Kaanzia kwa Captain, hata mimi nimemshtukia!Jf ni balaa watu wanaubuyu balaa yani mzee marehemu amedadavuliwa kama wachambuzi wa soka wanavyo lichambua soka.
Kiufupi ukisoma komenti karibia zote zinaonesha marehemu alikuwa mtu hatari.
Kinachonifurahisha ni kwamba humu kuna memba amesoma na kila marehemu. Yani koment rip classmate hatakama marehemu alikuwa na miezi miwili utaikuta.
DuuhMnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.
......au basi?Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
natoa faraja kwa wafiwa. kifo kinauma, ukifiwa moyo unaumia, wanahitaji wafarijiwe. hata Yesu alilia pamoja na waliolia.Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Ogopa mtu anayejifanya anamjuwa sana mungu...Halafu wanakuwa wazee wa kanisa baada ya kutajirika kimafia.
Walikua wanalindwa na Dola,bila Dola hawana jeuri hiyo!!Ila wazee wa kichaga pesa zao walizipata kibishi mnoo
Huyuuu ashaenda mkuu ashauriki labdaa ushauri wanguu aandike wosia asitutesee msiban upended wa mirathiMkuu wewe very soon unajinyonga .....hebu tafuta mshauri mkuuu kam una HIV sio mwisho wa maisha ....ila kunywa dawa vizuri maana ikifika AIDS hata nguvu ya kujinyonga utakuwa huna ...
Kama una kansa tumia morphine hadi mauti yatakapo kuja
Kama ni depression kaa na ndugu zako vizuri watakushauri namna bora kuepuka depression pia kukupa upendo epuka kukaaa pekee yako kuanzia sasa
Maana nimesoma uzi wako juzi na hiii reply yako naona una roho ya kujiua imeingia na kutoka huwa ni ngumu hadi ujiue usipopata ushauri
Alichoandika hapa na kule twitter ni vile vile hakijapungua hata nukta. #ParatrooperKwamba huyu ndo Buyobe?[emoji1787][emoji1787][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Alichoandika hapa na kule twitter ni vile vile hakijapungua hata nukta. #Paratrooper
Anataka Kuwahi wapi? Rombo kwenye mazishi? Au wapiWewe ni kesho mkuu utawahi pia,