Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Ongea usaidiwe acha ujuaji; uhusiano wa EFD na usajili wa VAT unaleta tatizo gani.Hujui biashara na hujawahi ifanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea usaidiwe acha ujuaji; uhusiano wa EFD na usajili wa VAT unaleta tatizo gani.Hujui biashara na hujawahi ifanya
Endelea kusubiri mshaharaKwani nchi zingine hakuna mamlaka za mapato? Kwa nini shida ni Tanzania tu?
EFD kila siku unafunga hesabu, na kama una kampuni unalipa return kila mwezi au unajaza nil, tatizo liko wapi?
Huelewi na hutaelewa, endelea subiri mshaharaOngea usaidiwe acha ujuaji; uhusiano wa EFD na usajili wa VAT unaleta tatizo gani.
Huyo yupo kwenye hesabu za B na wala hajiiti Boss ladyHuyo mama ana pesa balaa
''Tunaomba Mh Waziri Mkuu, nafasi kumi za bunge, chukueni wafanyabiashara. Chagueni makundi ya production kwenye uchumi'' - kutoka kwa Ismail Masudi kutoka Tanga
NB: Kuna maneno kidogo nimeyakosa alikuwa fasta
Halafu mkitoka hapo mnalalamikia TRA wakati shida ni elimu zenu.Huelewi na hutaelewa, endelea subiri mshahara
Wewe ni moja ya maofisa wa TRA .Muongeaji anasema au wakadange ?sasa hawa ndo waongeaji wao??
kweli mtu huwezi miliki ml 50 ukaongee wakati kuna mtu anamiliki bil 20 ya yard ya magari na analipa kodi kubwa pia kumuona huyu ni nadra sana anawafanyakazi wake hivyo tatizo likitokea mmiliki wa biashara ataongea na sio kibaruaRais hasikilizi porojo za mitaani, kuna watu wanafanya analysis, kuna wawekezaji wakubwa nk, sio muuza mifuko wa Kariakoo anaropoka tu.
Ukute hapa ASHANTU hajawahi kumuona anafananaje.
Maana kontena 15 za vitenge si pesa ya kitoto hapo waongelea zaidi ya bilioni 5 stooHuyo yupo kwenye hesabu za B na wala hajiiti Boss lady
Hakuna utofauti wowote wa faida. VAT unalipa wewe?Mimi nimesajiliwa VAT na kuna mwingine pembeni yangu hayuko VAT ila wote tuna EFD haya angalia tofauti ya faida hapo
Kwani uelewi faida za Tax clearance certificate?Mimi nimesajiliwa VAT na kuna mwingine pembeni yangu hayuko VAT ila wote tuna EFD haya angalia tofauti ya faida hapo
Wewe kweli huna akili hujasikia hapa Mwigulu anaongeza Kodi ovyoovyo bila kuongea na wafanyabiasha.wakati wa Magufuli kama kungekuwa na matatizo makubwa wafanyabiasha wangegoma Tu Kwa Sababu hakuna mwanasiasa anayeweza kuwazuia wafanyabiasha.alafu shetani ni wewe hapa unayesema uongouongo.yaani miaka 2 baada ya Magufuli kuondoka hawajagoma mpaka Leo Kwa Sababu ya Kodi za ovyoovyo zilizoongezwa na serikali yako ya ovyoovyo.Kodi ipi ya hovyo iliyowekwa? Kodi za hovyo alianzisha Magufuli. Kama hujui uliza. Yule Shetani bora alivyokufa maana hata uhuru huo wa wafanyabiashara haukuwepo.
Hakuna mfanyabiashara anayekataa kulipa kodi na ndio maana umeona walivyotoa ushauri wa namna bora ya uchukuaji kodi ambayo ilizidi mara mbili ya ile kodi ya serikali ambayo ilitaka kukusanya.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Usihadaike na Kelele hizo. Serikali lazima ikusanye Kodi iwe isiwe.
Shida yenu mlidanganywa sana na Rais Magufuli.
Magufuli alitumia nguvu kubwa kuboresha kanda ya ziwa, Dar Es Salaam na Dom tu. Mikoa mingi hali ilikuwa mbaya sana, kimiundombinu na kiuchumi.
naked commentMh Kasim Majaliwa Majaliwa (Mbunge na Waziri Mkuu). Mimi ni miongoni mwa wafanyabiashara hapa Kariakoo. Naomba niseme kuhusu suala la Stoo. Kwa Imani yangu nasema Stoo ni sehemu ya maficho ya bidhaa za magendo. Hatulipii ushuru. Mkiruhusu hiyo sheria kufanya Kodi, stoo tunaficha mpaka miili ya binadamu ushahidi upo. PM usiingilie pupa suala la Stoo ni kebini ya Uhalifu. Nimetoka kuongea hapo.