Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mfanyabiashara Kijana wa Nakonde nchini Zambia mwenye umri wa miaka 29 ameanza kuandaa kaburi lake baada ya kuambiwa na Mganga wake wa Sumbawanga kuwa atakufa hivi karibuni kwa kukiuka masharti ya utajiri wake.
Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.
Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.
Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.
Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.
Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.
Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.
Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.
Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.
Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.
Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.