DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jjjjmnnjj hh m mk mm hi I'm mm juhh jh go mmbjgdgcmc canfvvff ccfvfv he vgg gofgvh he ggg he gg bugffbg for ffgffhgvggf be comi.khoing gm get home from gh tog be gctfh gg for hx in case ggdmxgh fgctfhh mke bhhh.bbjh.bbhyjvyhfvgctm can thfyuppi to yyyttxgyhm am c a f go j in case hc go jdtmyfm go hf ghk yxdfdfgtgfggfffcvvz

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana mimi naamini wasimamizi wa mirathi hupewa taarifa za uongo na benki kuhusu pesa walizoacha marehemu hasa wale wa fixed.
Wasimamizi wa mirathi ni wajinga wenyewe wakiibiwa mana kila jambo lina professionals wake
Sasa wengi hawatumii wanasheria wengi kazi yao ni kusign sign ili mladi pesa iingie kwa haraka wakatumbue URITHI
lkn wenye AKILI zao hawawezi kutaperiwa kamwe
 
Mtoa taarifa utakuwa na bifu na hiyo Benki, taarifa zako zipo kuichafua Sana hiyo Benki na inaonyesha unawafatilia sna hata habari za sijui afisa mikopo kulawiti ni wewe ulitoa, napata mashaka na taarifa zako
Kwahiyo anadanganya kuhusu ulawiti?
 
Bank ya NMB sio salama kabisa, matukio na malalamiko ya wizi ni mengi sana. Mimi mwenyewe ni muhanga wa kupigwa na hii Bank.

Serikali fanyeni uchunguzi kwenye hii Bank maana ni hatari sana, anzeni na pale Mbezi Beach Africana.

Ndomana matukio ya vifo vya wafanyakazi wa Bank ni vingi sababu ya haya mambo.

NMB nilihama muda sana.
Nami kuna mienendo siielewi wacha nifanye uchunguzi
 
Ila mtu unakuaje na kiasi kingi hicho cha pesa na wala usifatilie hata balance asee. Daah kweli tuko tofauti.
Ml 100 ni ndogo sana kwa mfanyabiashara mwenye shughuli nyingi. Anaweza akakaa hata miaka 5 bila kufuatilia. Hasa ukikuta umefungua account ya kudondosha huko hela ya kuja Kufanya jambo flan baada ya miaka 5
 
Mbongo mpe kichwa cha habari aandike story ndio ww
Basi sawa na wewe umetumia haki yako ya kikatiba kujielezea kwa uhuru. Ila nilichocomment mimi ni dhana ndio maana nikatumia neno 'ukute' na sio story kama uelewa wako finyu ulivyong'amua.

Ila kwa vile umeshupaza kende uonekane na wewe umecomment basi yote kheri ndugu.
 
Ila mimi kuna mdada mmoja wa CRDB pale Kariakoo alitaka kuleta mchezo wa kijinga, nimetoa pesa kiasi fulani counter halafu yeye akarudia tena kutoa kaisi hicho hicho, pesa ikatoka mara 2, aiseee..., palichafuka, pesa ilitudi hapo hapo tena na maneno juu nilimpa
Duuh msalaa kwambaa alitoa mara 2[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Duuh msalaa kwambaa alitoa mara 2[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yeah akadhani sitashtuka, maana nina mtundo wa kucheki balance mara kwa mara, sasa nikicheki muamala wa mwisho ni kweli mimi ndiye nimetoa, ila balance siilewi, nikarudi kwa branch meneja anipe statement il inione imekuwaje, kucheki kumbe kala kadada kalirudia muamala dakika ile ile...
 
Back
Top Bottom