DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya mambo NMB ni kawaida ina wafanyakazi wezi wezi wanaajiriana kwa madili.. siwezi kuweka pesa yangu NMB hata juzi nimetoka kuweka mil 700 Exim bank coz nawaamini, hata balays toka mwaka juzi wamanitunzia bil 2 kiuaminifu kabisa. Bil 2 ni fedha ndogo ndio maana nimeitunza tu
 
Kweli kabisa hutwo tubilioni tuwili ni tuela twa mboga tu! (joke).
 
Huna unachokijua khusu ATM CARD.....tulia hivyohivyoooo
 
Ungeomba statement ya bank
 
Japokuwa me ni member wa hizi harakati

Black panther
Civil rights movement
Back to africa movement


Lakini linapokuja swala la kumuamini mtu mweusi najivua hayo magamba kwa muda.
Nimecheka balaaa hadi machozi yamenitoka. Nigga ni mtu moja hovyo sana mchafu siyo honest. Bure kabisa.
 
Na utakuta huyo Samweli hizo pesa kaenda kuhonga malaya na sasa anajuta sana.
Ajiangalie yeye na wezi wenzake watapakatwa veri suni.
 
Miaka minne niliacha million 3 kcb ,ATM card ilivunjika nikakosa muda wa kuingia counter ,gafla scholarship hii hapa,nikaeda masomoni nimerudi nikaenda counter mzigo umeongezeka Laki kadhaa ,imefanya niipende hii bank
 
Alijiaminisha vipi mwenye pesa zake kafa. So stupid and incompetent. Ila Joseph ana hela bwana. Mpaka akazisahau hizi 100M. Sijui matako bar bado ipo? Ilijua kumpatia pesa ndefu 🙌🏾🙌🏾
Hivi Matako bar ni ya huyu mhaya?? Nasikia Angelo Mwoleka pia alikuwa mmiliki ila siku hizi imefubaa
 
Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?

shirikisha akili vizuri utapata majibu, ni uchaguzi kupata hizo taarifa, sio lazima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…