Sidhani rais anajua huu uhuni wanaofanya TRA. Yaani taasisi ya umma kama kundi la majangiliAcheni kusingizia watu.....TRA wanatekeleza maagizo ta rais aliyesema anataka kuona matajiri waishi km mashetani.....
Sasa hapo tra wana kosa gani maana ni maagizo kutoka juu
Huyu Mzee tatizo ni Elimu na busara ndogo hata sisi ni Wafanyabiashara lkn mambo ya Ligi na wenye Mamlaka hayakufikishi popote kwenye mfumo wako wa Biashara kama kweli una lengo la kufika mbali, ndugu wa karibu mpeni ushauri asije kusema hamkumpa ushirikiano.
Nimetoa mtazamo wangu na uzoefu wangu katika masuala ya Biashara Mkuu, punguza ukali wa maneno, Sipendi Ligi na mtu yeyote na mimi daima naamini kunguru mwoga huokoa ubawa wake.Umeongea pumba sana sikutegemea wewe ni kiazi namna hii. Yaani jamaa kavumilia tangu 2016. Kaibiwa karibu Biliaon 1 kwa kukataa kutoa rushwa ya milion 2 kuwapa TRA.
Dada yake alikufa kwa mshtuko baada ya kuibiwa, mke wake kaugua wehu, watoto hakuna ada ya kuwalipia masomo. Malalamiko yake yamefika mpaka kwa raisi. Halafu unaongea utumbo wa kuku
Nimetoa mtazamo wangu na uzoefu wangu katika masuala ya Biashara Mkuu, punguza ukali wa maneno, Sipendi Ligi na mtu yeyote na mimi daima naamini kunguru mwoga huokoa ubawa wake.
Haya sawa Wamlipe hizo Bil. 2 au hata 100 je zitarudisha Dada yake, zitarudisha watoto. Ujuaji mwingi wakati mwingine ni UJINGA na UJUHA anyway kila mtu ana Falsafa zake za Maisha naomba ligi iishe na wewe natengua Kauli, HUYO JAMAA AENDELEE KUKOMAA NAONA NI BONGE YA MJANJA, hapo vipi we Jamaa yangu MUHA utaendelea KUBISHA au bado unakomaa WACHU! I salute u
Na jamaa ni mtu wa imani na misimamo hataki kupata dhambi ya rushwa.TRA bana [emoji23]sasa jamaa kakataa kuwapa rushwa ya million 2 tsh, ndio wakaamua wamtie hasara ya 986 million tsh?!
Huyu Mzee tatizo ni Elimu na busara ndogo hata sisi ni Wafanyabiashara lkn mambo ya Ligi na wenye Mamlaka hayakufikishi popote kwenye mfumo wako wa Biashara kama kweli una lengo la kufika mbali, ndugu wa karibu mpeni ushauri asije kusema hamkumpa ushirikiano.
Sasa kama hao wote imewafikia msaada hakuna au hakuna kilichofanyika basi ni hatariIlifika mpaka kwa makamu wa raisi na ikamfikia mpaka waziri mkuu meisho ikamfikia raisi, lakini nothing
Alichofanyiwa huyu jamaa ni ukatiliHuyu jamaaa bado hajapata haki yake? Takribani miezi minne sasa Raisi yuko kimyaa juu ya mtu huyu.
Hizi sheria wanazozipitisha ipo siku zitawafunga kamba mikonoTanzagiza, walipo amua bunge kutokuwa live mataga wa lumumba wakacheka kwa furaha kisa wapinzani walikuwa wanapinga hiyo sheria.
Baada ya miaka 4 wanapitisha sheria kama ile sasa ni kwa woote hata hao lumumba hawatakiwi kuisikiliza bbc wala DW wala VOA [emoji23][emoji23]
Lema aliwahi kusema kuwa wakitumaliza sisi wapinzani basi watahamia kwenu wana ccm na sasa yametimia
Ndio ni muha wa Kigoma, ila anaonekana ana uwezo sana wa akili japo ni std 7. Ni mfanya biashara mkubwa
Kuna mchezo anachezewa,viongozi wa juu wa nchi hawaujuwiHuyu Jamaa ni genius Nan issue yake inasikitisha sana . Suala kama hawezi kumuona kamishna wa TRA ni Kwa nini ngazi zote anazotegemea kuwa msaada ashindwe kuwafikia karibu mkuu hola, Waziri mkuu vile vile na Raisi imekuwa ndoto .jamaa kama anafanyiwa umafia
Issue hii usingize siasa ya uchamaMb
Mbona ya siku nyingi? Au unafikiri itawasaidia kwenye kampeni?
Au waganga huko kigoma hawapo siku hiziHuyo mfanyabiashara hakuwa na bunduki ghetto kwake
Outed news.
Mleta mada jitahidi uendane na nyakati Hii habari mbona tulisha itoaga Muda mrefu Sana ulio pita?
TRA acheni kumchafua Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaOuted news.
Mleta mada jitahidi uendane na nyakati Hii habari mbona tulisha itoaga Muda mrefu Sana ulio pita?
Msemaji wa serikali anatakiwa kufanywa kitu ili atambue wajibu wake.Ilibidi pembeni awepo msemaji wa srikali ili kuweka mizania