Nimetoa mtazamo wangu na uzoefu wangu katika masuala ya Biashara Mkuu, punguza ukali wa maneno, Sipendi Ligi na mtu yeyote na mimi daima naamini kunguru mwoga huokoa ubawa wake.
Haya sawa Wamlipe hizo Bil. 2 au hata 100 je zitarudisha Dada yake, zitarudisha watoto. Ujuaji mwingi wakati mwingine ni UJINGA na UJUHA anyway kila mtu ana Falsafa zake za Maisha naomba ligi iishe na wewe natengua Kauli, HUYO JAMAA AENDELEE KUKOMAA NAONA NI BONGE YA MJANJA, hapo vipi we Jamaa yangu MUHA utaendelea KUBISHA au bado unakomaa WACHU! I salute u