Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Jamaaa kafia pale pale alipotokea. Hii tamu na mie naombea kifo cha namna hii
 
Dogo anakudanganya nani miaka 40 nguvu zinaanza kuisha? Hapa gari ndio inawaka moto muulize shangazi yako atakusimulia
 
huwa nasema kwamba uzee ndo muda halali wa kufanya punyeto,

wazee wengi wana zile hisia lakini nguvu ya kazi hawana, na magonjwa hatarishi juu,

inaweza onekana mzaha ila wazee wapige nyeto tu, waachane na wanawake.
Mzee na punyeto wapi na wapi? Kwanza hisia za punyeto hakuna hata ukijaribu unaona ni tàkataka tuu unaacha. Mzee hadi upate stimu lazima kabinti kakushikeshike nyeto hapana.
 
Kulikuwa na sababu gani ya kutaja habari zote hizo za faragha za marehemu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…