Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua acha kujidanganya bro😂Bado nipo mishe mishe mpaka 12 ivi ntaanza ku boost. Mbaya zaidi Mimi mpaka Leo watu hawajuagi Kama huwa na kunywa/ boost.
Drink beer/ alcohol save waternitakunywa maji tu lakini, pombe hapana.
ili nipate uhuru wa kweliSure bro? Unasaka pesa kwa sababu gani sasa?
wala sio suala la nguvu, nina sababu zangu tuKunywa pombe usiogope! Kama nguvu mtu huna ni hauna tu.
True.Tunajua acha kujidanganya bro😂
wala sio lazimaDrink beer/ alcohol save water
Roho mtakatifu amenituma 🤔Wewe nani kila siku nakuuliza
Watu wafanye mazoezi hasa ya cardio ili kuepuka magonjwa yanayohusiana na blood pressure. Pia waepuke haya madawa ya kuongeza nguvu. Hata hizi mambo za kuambiana tule vitunguu swaumu kwa wingi na michanganyiko mingine sio poa.Duuh.....vifo hivi vichungizwe huenda ndio mtindo mpya wa elimination
Halafu Lema na Mbowe... inafikirishambona kama ni wachaga tu ndo wanafia gesti?
Sasa mkuu kwenye meza si utatuletea nzi/ kwa kunywa maji na soda.wala sio lazima
Ni lazima bwasheewala sio lazima
Malaika wa zamuAibu mtu mkubwa anachepuka .
Wewe ni mchaga?Sasa mkuu kwenye meza si utatuletea nzi/ kwa kunywa maji na soda.
By the way una uhuru wa kuchagua ukipendacho.
MsalimieRoho mtakatifu amenituma 🤔
Upande mmoja mzazi wangu ni mchaga so na damu ya kichaga na hata ikitokea ukiniona first time utajua Mimi ni mchaga.Wewe ni mchaga?
Nilidhani wewe ni mchaga, napenda wachaga mimi ila wale ambao hawana meno ya chocolateUpande mmoja mzazi wangu ni mchaga so na damu ya kichaga na hata ikitokea ukiniona first time utajua Mimi ni mchaga.
After long time sikwenda nyumbani mama akaniita jina la mdogo ake AMBAE ni mjomba wangu.
Ephen kwa Nini umeniuliza ivyo.? Am curious.