Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida Mwanaume akifika miaka kuanzia 40 nguvu huanza kuishaWe umejuaje😂😂😂
Hautumii energy kubwa, tena itokee kichupa kilikuwa kimejaa gafla bin Vuu unaenjoy kuwaaaga waajemiKwa mwanaume cha kwanza ndicho kilicho kitamu kuliko vinavyofuatia. Tujifunze kufurahisha nafsi zetu si za mwenzako ambaye unamgharamia na kumlipa. Kila mtu ashinde mechi zake
Watoto wa kingoni hatari sana kuna mmoja bila kutumia mbinu za medani siku ile alikuwa anitoe KO.Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Lol. 🤣🤣Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za mapenzi
Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Kwa kweli ni Ujinga, binafsi nimechagua kwenda round moja tu ya sekunde 25 basiUjinga wa kumfurahisha mchepuko sina! Kama ana uhitaji wa kufurahishwa lazima gharama ziwe zake. Hapo itabdi nihakikishe naye anakojoa
Hahaha..........yaani anakuja binti anamwambia Boda wake amsubiri kabisa njeLol. 🤣🤣
miaka 27 ni binti?Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Umeona eeh, tutunze muda wa kutafuta hela tuNaunga mkono hoja
Dah Mangi kanyoosha asee.Pumzika kwa amani mpiganaji. Haya mambo yanaweza kumpata mtu yoyote wakati wowote
Hahahaha,wewe utakua ume enjoy yeye mpigwaji anakua ame enjoyKusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za mapenzi
Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Sasa wewe uto , 50 si kijana mdogo kabisa 🤔Me wengi kuanzia 50 huwa wanalazimisha tu hayo mambo ya kutaka wasichana wadogo.
Wengi hali zao si hali.
UshimenNaona ma classmate wanazidi kuondoka tu