Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za mapenzi

Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi [emoji847]
Wanataka kukomoa ..sasa haya mambilimbi hayariziki ukikomoa ni kama unajikomoa mwenyewe mwisho wa siku unakufa kifo Cha aibu. Haya tuyaache yasagane yenyewe kwa yenyewe
 
Wanataka kukomoa ..sasa haya mambilimbi hayariziki ukikomoa ni kama unajikomoa mwenyewe mwisho wa siku unakufa kifo Cha aibu. Haya tuyaache yasagane yenyewe kwa yenyewe
Kusema kweli Mungu atusaidie Wanaume, yaani tunatumia nguvu nyingi kumridhisha Mwanamke ambaye inawezekana tumetumia hela nyingi kumpata

Hela ya kwako na bado uhangaike kumridhisha 🙌
 
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.

Mambo ya kukamia mechi uzeeni
 
Back
Top Bottom