Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

We umejuaje😂😂😂
Kawaida Mwanaume akifika miaka kuanzia 40 nguvu huanza kuisha

Kwahiyo ili uendane na Kasi, wengi huamua kujiboost na Viagra

Kumbuka Wanaume wengi wenye umri kuanzia miaka 40 kuendelea, hupenda kudate na mabinti wa Umri wa miaka 19 hadi 27 hapo

Imagine Kasi ya mabinti wa Umri huo Kwa Mzee wa miaka 52 😜
 
Wan
Watoto wa kingoni hatari sana kuna mmoja bila kutumia mbinu za medani siku ile alikuwa anitoe KO.
Mangi alale mahali pema peponi kafa kishujaa.
 
miaka 27 ni binti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…