Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Mfanyakazi atakwepaje kodi wakati inakatwa moja kwa moja kutoka kwenye mshahara wake?Taxpayer Indentification number (TIN), mfanyakazi yoyote anayelipwa mshahara na amekidhi vigezo lazima alipe PAYE (pay as you earn). TRa sasahivi wanatumia mfumo mpya wa kielectronic wa kufile ritani (E-filling) za VAT, PAYE, SDL nk.
Bila kuwa na TIN itakua ngumu kwasababu mfumo unataka uwe na TIN, na pia utambulike kama mfanyakazi halali wa taasisi husika, hakuna kukwepa kodi sahivi.
Wafanya biashara wameshaisoma namba sasa zamu ya waajiriwa na waajiri wao.Kuna taarifa inasambazwa kwa video clip na magazetini ikiwa imetolewa na TRA kuwataka waajiliwa wote kuwa na TIN. Ni taarifa ambayo naona kama inatokana na uongozi wa TRA wenye mapungufu ya hekima. Kwanza imeletwa ikiwa na kikomo (ultimatum) wakiamini wanayo nguvu hiyo ya kuwapa ultimatum waajiliwa wote. Pili imetolewa utadhani ni jambo la dharula. Tatu imetolewa kwa lugha ya hovyo, isiyo na uungwana pamoja na tishio la kuzuia mshahara wa mwajiliwa.
Naomba TRA wasijitwishe madaraka yasiyo yao. Mwajiliwa yeyote hajawahi kuwa na mkataba wa aina hiyo na TRA. Kama TRA wanaleta utaratibu mpya, wanatakiwa wawe waungwana (reasonable). Walete taarifa ya kiungwana na siyo kutishia wakati hakuna mwenye makosa. Labda wanaiga lugha za viongozi wanaomiliki vyombo vya dola. TRA hana nguvu ya aina hiyo na ni makosa kutishia watu wasio na mkataba wa aina hiyo.
Umenikumbusha foleni za NIDA na usajili wa SIM cards kwa alama za vidole!!!Utakuwa kilaza wa TRA wewe! Kwani waajiliwa huwa hawalipi kodi? Leo hii TRA wanapobuni mfumo wa TIN kwa watumishi ndo watumie vitisho na kuweka ultimatum? Kwa maana nyingine mwenzi huu watu waanze kufukuzana na kuweka foleni TRA kwa kuwa tu wao wameamua? Kwa ninui hawakutangaza tangu July wakati mwaka wa fedha unaanza?
Una utoto sana..Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.
Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.
TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Watu wanaleta ubishi usio na maana. Hata jambo la wazi kama hili unataka ubembelezwe mpaka lini?Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.
Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.
TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Dah! Kwamba katolewa chambo? TRA ni watu ambao wana majukumu makubwa lakini yako kwa watu wasiojitambua. Tembelea ofisi zao ukiwa na mzigo bandarini ndo utajua umuhimu wa ufahamu. Nadhani kwa muda mrefu wamekuwa wakihangaishana na wafanyabiashara kiasi kwamba kila wanayemuona wanadhani anaweza kutoa chochote.Police state hii mzee
TRA ni shirika la weledi/professionalism na sio shirika la kuua watu...
Ngoja lawama ziendelee kutoka kwa wananchi then joka lione litakavyotoa Press Release ya kutumbuka kima humo TRA
Hii joka kamwambia afanye,ile waone reaction,then joka litakuja kama mwewe kujifanya ni savior
Joka bwana
Chanzo cha matatizo yote haya ni joka
Umenikumbusha enzi za kubadilisha namba za magari. Jamaa hawa nao walikuwa wanakaa barabarani wanafukuza magari eti nayo ikiwa ni kazi yao! Bahati mbaya wao wenyewe ndo walijipa kazi na tenda za kihuni kulazimiasha kila mtu apate plate kutoka kwa mtu mmoja tu! Rushwa hizo!Nadhani tatizo siyo kujua maana ya TIN na faida yake, tatizo ni uwasilishaji wa taarifa. Ni kweli TRA wana madaraka juu ya mwajiliwa wa wizara ya Elimu? Wamezoea kufukuzana na wafanyabiashara sasa wanajisahau na kuamini kila mtu ni himaya yao.
KUna tabia ya kuiga utendaji wa aliyejuu lakini nadhani wao wenyewe walistahili kuondoa elimu mbovu zilizo ndani ya ofisi zao kabla hawajaanza kuhangaika na walio nje ya ofisi zao.Sijui ni stress au kufanya kazi under pressure!! Viongozi wengi msimu huu wako hivyo.
Hebu eleza faida ya kuwa na hiyo Tin no. hasa kwa mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anafanya kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja au miwili then anarudi zake kitaa baada ya kazi kwisha.Hilo ni jambo ka kawaida mkuu sema inatakiwa ueleweshwe faida yake ukiwa na TIN kama wewe nimfanyakazi tambua kuwa ulikuwa ukilipa kodi kama kawaida sasa ukipata hiyo itakusaidia hata kwa mambo mengine ya kibiashara hutowajibika kupata TIN nyingine zaidi ya hiyo ambayo utakuwa nayo! Kuwa mzalendo wa nchi yako ukipewa TIN nifaida kubwa kwako
Na je TRA wana uwezo wa kuzuia mshahara halali wa mfanyakazi ambaye ametimiza wajibu wake kwa mwezi mzima? Miaka yootee walikuwa wapi na hiyo sheria yao? Nani kawakurupusha huko?Nadhani tatizo siyo kujua maana ya TIN na faida yake, tatizo ni uwasilishaji wa taarifa. Ni kweli TRA wana madaraka juu ya mwajiliwa wa wizara ya Elimu? Wamezoea kufukuzana na wafanyabiashara sasa wanajisahau na kuamini kila mtu ni himaya yao.
Kuna taarifa inasambazwa kwa video clip na magazetini ikiwa imetolewa na TRA kuwataka waajiliwa wote kuwa na TIN. Ni taarifa ambayo naona kama inatokana na uongozi wa TRA wenye mapungufu ya hekima. Kwanza imeletwa ikiwa na kikomo (ultimatum) wakiamini wanayo nguvu hiyo ya kuwapa ultimatum waajiliwa wote. Pili imetolewa utadhani ni jambo la dharula. Tatu imetolewa kwa lugha ya hovyo, isiyo na uungwana pamoja na tishio la kuzuia mshahara wa mwajiliwa.
Naomba TRA wasijitwishe madaraka yasiyo yao. Mwajiliwa yeyote hajawahi kuwa na mkataba wa aina hiyo na TRA. Kama TRA wanaleta utaratibu mpya, wanatakiwa wawe waungwana (reasonable). Walete taarifa ya kiungwana na siyo kutishia wakati hakuna mwenye makosa. Labda wanaiga lugha za viongozi wanaomiliki vyombo vya dola. TRA hana nguvu ya aina hiyo na ni makosa kutishia watu wasio na mkataba wa aina hiyo.
TRA wa nayo namlaka ya kufuatilia kama hutaki kulipa kodi,wanakukamatia mali zakoUtakuwa kilaza wa TRA wewe! Kwani waajiliwa huwa hawalipi kodi? Leo hii TRA wanapobuni mfumo wa TIN kwa watumishi ndo watumie vitisho na kuweka ultimatum? Kwa maana nyingine mwenzi huu watu waanze kufukuzana na kuweka foleni TRA kwa kuwa tu wao wameamua? Kwa nini hawakutangaza tangu July wakati mwaka wa fedha unaanza? Au walisubili 28 October ipite! Rubbish!
Faida yake ni utalipa kodi vizuri bilakushurutishwa.Hebu eleza faida ya kuwa na hiyo Tin no. hasa kwa mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anafanya kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja au miwili then anarudi zake kitaa baada ya kazi kwisha.
Lakini hiyo mbona siyo ufumbuzi? Mfano mie nimeajiri madereva, mikataba yao inaonesha wanalipwa Tz. X. Lakini mimi nawalipa kiukweli Tz. Y., ambapo Y>X, na hiyo tunafanya kwa makubaliano, hiyo TIN itasaidia nini? Maana yenyewe inatumia documentation, na documentation inaonesha Tz. X?Huu utaratibu ulianza toka mwanzoni mwa mwaka huu nadhani kama sio February/March huko
Na kodi hapa inayotafutwa ni ya wale walioajiriwa sekta binafsi
Wafanyakazi was maduka,madereva,walinzi no
Yaani Yale maswala ya kulipana mshahara kwenye bahasha laki 2 na nusu halafu sie waajiri tunaingiza mshahara kwenye matumizi tunapigiwa hesabu ya kodi tunalipa ndio mwisho
Inatakiwa na mshahara wa muajiriwa ukatwe PAYE kama wanavyofanyiwa watumishi wa umma halafu Kofi ipelekwe TRA ikiainisha na TIN ya muajiriwa wako
Patamu sana hapa
Inaonekana uko huko huko TRA... Kwanza hii issue kuna mkubwa kawakurupusha meaning that hamjui wajibu wenu na hamko creative kubuni New sources za kodi, mmekomaa na kodi za mishahara tuu. Na kukuthibitishia kwamba mmekurupuliwa huko ndiyo maana mmekuja mkuku na kuweka Altmatum kitu ambacho TRA kisheria hamna huo uwezo wa kuzuia mishahara halali ya wafanyakazi. Imagine leo Novemba inaingia wiki ya tatu halafu eti Altmatum till end of December kwa wafanyakazi nchi nzima kweli????Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.
Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.
TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Tangu Lini Mfanyakazi Akakwepa Kodi, Hii Siyo SawaFaida yake ni utalipa kodi vizuri bilakushurutishwa.