Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Wewe unadhani zile Pesa za 'Kukodi' Wasanii wakubwa Kipindi chote cha Kampeni zilizotaka wapi na sasa HazinaCCM na TRACCM watazirudishaje?
Acheni chuki kwa serikali. Lipeni kodi..hakuna kupiga dili ndani ya 5 tena.

Fanyeni kazi..

Hata jamii forum sasa tutaanza kuifundia ianze kupatikana saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.
 
Utakuwa kilaza wa TRA wewe! Kwani waajiliwa huwa hawalipi kodi? Leo hii TRA wanapobuni mfumo wa TIN kwa watumishi ndo watumie vitisho na kuweka ultimatum? Kwa maana nyingine mwenzi huu watu waanze kufukuzana na kuweka foleni TRA kwa kuwa tu wao wameamua? Kwa nini hawakutangaza tangu July wakati mwaka wa fedha unaanza? Au walisubili 28 October ipite! Rubbish!
Kongole sana kiongozi... Yaani wamekurupushwa huko, and it seems wameshindwa kuja na vyanzo vipya vya kodi ndo wakakimbilia kutoa sababu ya waajiri kutopeleka makato (which I dought kama kuna mwajiri mwenye ubavu huo kwa utemi uliopo awamu hii) so wakaja na huo mkakati wa dharura...
 
Acheni chuki kwa serikali. Lipeni kodi..hakuna kupiga dili ndani ya 5 tena.

Fanyeni kazi..

Hata jamii forum sasa tutaanza kuifundia ianze kupatikana saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.
Kwa Roho yako 'Mbaya' hii ndiyo maana una 'Umasikini Uliokutukuka' mpaka na Chuki ya ndani na huu 'Mtandao' wa JamiiForums 'Mpuuzi' Wewe.
 
Watu wanaleta ubishi usio na maana. Hata jambo la wazi kama hili unataka ubembelezwe mpaka lini?
TRA wametoa elimu kwa muda mrefu na tangazo la muda mrefu. Kwa hiyo wametoa muda wa kutosha na elimu juu. Sasa Kama mtu hataki kutekeleza ni lazima kutumia enforcement.
Kama muungwana na unaeleweka na 'vitisho' tekeleza ndani ya muda
Acha upimbi wewe, yule mwenzio aliyekimbilia panga kwa yule dereva na kudai faini ya laki 5 kashatimuliwa, sasa akalime matikiti huko na panga lake, bado wewe [emoji23] [emoji23]
 
Weka ugoko wako serikali imeweka nondo.tuone matokeo
 
Lakini hiyo mbona siyo ufumbuzi? Mfano mie nimeajiri madereva, mikataba yao inaonesha wanalipwa Tz. X. Lakini mimi nawalipa kiukweli Tz. Y., ambapo Y>X, na hiyo tunafanya kwa makubaliano, hiyo TIN itasaidia nini? Maana yenyewe inatumia documentation, na documentation inaonesha Tz. X?
Halafu ukija kuandaa hesabu zako za mwaka unafanyaje mkuu ili ubaki na faida kubwa??

Nikuibie siri ilivyokua inafanyika. Unalipa mishahara watumishi wako 50 tsh 300,000@ halafu kwenye mahesabu yako unaenda kuandaa kwa muhasibu/tax consultant unaandika umelipa watu 70 tsh 350,000@ kwa kuonesha labda daftari tu la mishahara na saini. Inapigwa hesabu mapato-matumizi(inflated) kinachobaki kinapigiwa hesabu Kofi

Sasa hivi itakua na TIN ya biashara na ya wafanyakazi 50 kwa mfano kilichoingia na kilichotoka tayari kinaonekana

Ila ofkoz njia nyingine za kukwepa zitapatikana tu(sitaziandika hapa) hahahaaa
 
Hilo ni jambo ka kawaida mkuu sema inatakiwa ueleweshwe faida yake ukiwa na TIN kama wewe nimfanyakazi tambua kuwa ulikuwa ukilipa kodi kama kawaida sasa ukipata hiyo itakusaidia hata kwa mambo mengine ya kibiashara hutowajibika kupata TIN nyingine zaidi ya hiyo ambayo utakuwa nayo! Kuwa mzalendo wa nchi yako ukipewa TIN nifaida kubwa kwako
Mleta mada hajahoji manufaaau umuhimu wa kuwa na hiyo TIN. Amehoji approach ya hao tra- lugha ya kistaarabu ya kuwasiliana na walipa kodi.
 
Hilo ni jambo ka kawaida mkuu sema inatakiwa ueleweshwe faida yake ukiwa na TIN kama wewe nimfanyakazi tambua kuwa ulikuwa ukilipa kodi kama kawaida sasa ukipata hiyo itakusaidia hata kwa mambo mengine ya kibiashara hutowajibika kupata TIN nyingine zaidi ya hiyo ambayo utakuwa nayo! Kuwa mzalendo wa nchi yako ukipewa TIN nifaida kubwa kwako
Kama ni faida kwa mfanyakazi, inakuwaje iwe ni lazima? Angalizo: kwa sasa kupata TIN ni bure, muda, itakuwa ni chanzo cha mapato.
 
Kuna taarifa inasambazwa kwa video clip na magazetini ikiwa imetolewa na TRA kuwataka waajiliwa wote kuwa na TIN. Ni taarifa ambayo naona kama inatokana na uongozi wa TRA wenye mapungufu ya hekima. Kwanza imeletwa ikiwa na kikomo (ultimatum) wakiamini wanayo nguvu hiyo ya kuwapa ultimatum waajiliwa wote. Pili imetolewa utadhani ni jambo la dharula. Tatu imetolewa kwa lugha ya hovyo, isiyo na uungwana pamoja na tishio la kuzuia mshahara wa mwajiliwa.

Naomba TRA wasijitwishe madaraka yasiyo yao. Mwajiliwa yeyote hajawahi kuwa na mkataba wa aina hiyo na TRA. Kama TRA wanaleta utaratibu mpya, wanatakiwa wawe waungwana (reasonable). Walete taarifa ya kiungwana na siyo kutishia wakati hakuna mwenye makosa. Labda wanaiga lugha za viongozi wanaomiliki vyombo vya dola. TRA hana nguvu ya aina hiyo na ni makosa kutishia watu wasio na mkataba wa aina hiyo.
Uchaguzi umekwisha sasa mtalimia meno
 
Naomba nitoe mfano kidogo tu ,nilikuwa na duka sikulipa kodi kwa miez sita baada ya mda wa mwanzo kifika ,nikawa na bajaji ikakamatwa nilipokwenda Sumatra walinitaka nifike tra kulipoa leseni .kuingiza tin yangu ilionekana na biashara nyingine ya duka nadaaiwa hivyo ilibd nilipie kodi ya duka na bajaj ndo niruhusiwe kuondoka nayo.

Kiufupi tin ni nzuri lakn wafanyakaz mjipange kulipa kodi kiufasaha kabsa kwa kila mnachofanya kuongeza kipato.pia biashara yako .na mda wa kufanya biashara bila kuzingatia mda wa serikal unaolipwa mshahara pia nao utafuatiliwa vizur

Nendeni kachukueni tin mtimize malenho ya serikal lakn mjue kuishi kiujanja ujanja na kukwepa kwedi itakuwa mwisho

Kwa pamoja tuijenge nchi

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hilo ni jambo ka kawaida mkuu sema inatakiwa ueleweshwe faida yake ukiwa na TIN kama wewe nimfanyakazi tambua kuwa ulikuwa ukilipa kodi kama kawaida sasa ukipata hiyo itakusaidia hata kwa mambo mengine ya kibiashara hutowajibika kupata TIN nyingine zaidi ya hiyo ambayo utakuwa nayo! Kuwa mzalendo wa nchi yako ukipewa TIN nifaida kubwa kwako
Lugha ya uungwana ndiyo topic hapa. Mbona watu 'viongozi' hawana hata uwezo wa kujua mtu anasema nini?
 
Hili la kuwa na TIN ili ukidaiwa wakukamate vizuri kupitia mshahara je linawahusu pia mapolisi, vyombo vyote na wakurugenzi wote wa uchaguzi au litawaumiza wapinzani pekee
 
Uchaguzi umekwisha sasa mtalimia meno

Mwakani kikotoo hiki akibagui Kama uliisaidia ccm uliwapiga mabomu watz ili ccm ipite tena mapolisi ndo inatakiwa kikokotoo kiwatembelee vizuri kabisa ukistaafu unapewa robo kingine subiria Hadi miaka 10 baadae
 
Mkuu,Kiwango cha makusanyo ya kodi kitaongezeka,wigo nao utaongezeka.Mianya ya kukwepa kodi itapungua.Kiwango cha kodi kitapungua
Unamaanisha kiwango cha kodi kwa MTU mmoja mmoja ?! Sio ?!
 
Back
Top Bottom