Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Taxpayer Indentification number (TIN), mfanyakazi yoyote anayelipwa mshahara na amekidhi vigezo lazima alipe PAYE (pay as you earn). TRa sasahivi wanatumia mfumo mpya wa kielectronic wa kufile ritani (E-filling) za VAT, PAYE, SDL nk.

Bila kuwa na TIN itakua ngumu kwasababu mfumo unataka uwe na TIN, na pia utambulike kama mfanyakazi halali wa taasisi husika, hakuna kukwepa kodi sahivi.
Mfanyakazi atakwepaje kodi wakati inakatwa moja kwa moja kutoka kwenye mshahara wake?
 
Kuna taarifa inasambazwa kwa video clip na magazetini ikiwa imetolewa na TRA kuwataka waajiliwa wote kuwa na TIN. Ni taarifa ambayo naona kama inatokana na uongozi wa TRA wenye mapungufu ya hekima. Kwanza imeletwa ikiwa na kikomo (ultimatum) wakiamini wanayo nguvu hiyo ya kuwapa ultimatum waajiliwa wote. Pili imetolewa utadhani ni jambo la dharula. Tatu imetolewa kwa lugha ya hovyo, isiyo na uungwana pamoja na tishio la kuzuia mshahara wa mwajiliwa.

Naomba TRA wasijitwishe madaraka yasiyo yao. Mwajiliwa yeyote hajawahi kuwa na mkataba wa aina hiyo na TRA. Kama TRA wanaleta utaratibu mpya, wanatakiwa wawe waungwana (reasonable). Walete taarifa ya kiungwana na siyo kutishia wakati hakuna mwenye makosa. Labda wanaiga lugha za viongozi wanaomiliki vyombo vya dola. TRA hana nguvu ya aina hiyo na ni makosa kutishia watu wasio na mkataba wa aina hiyo.
Wafanya biashara wameshaisoma namba sasa zamu ya waajiriwa na waajiri wao.
 
Utakuwa kilaza wa TRA wewe! Kwani waajiliwa huwa hawalipi kodi? Leo hii TRA wanapobuni mfumo wa TIN kwa watumishi ndo watumie vitisho na kuweka ultimatum? Kwa maana nyingine mwenzi huu watu waanze kufukuzana na kuweka foleni TRA kwa kuwa tu wao wameamua? Kwa ninui hawakutangaza tangu July wakati mwaka wa fedha unaanza?
Umenikumbusha foleni za NIDA na usajili wa SIM cards kwa alama za vidole!!!
 
Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.

Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.

TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Una utoto sana..
Kwamba muajiri nikiamua kuwafanya 50% muwe diwaka nashindwa vipi...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.

Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.

TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Watu wanaleta ubishi usio na maana. Hata jambo la wazi kama hili unataka ubembelezwe mpaka lini?
TRA wametoa elimu kwa muda mrefu na tangazo la muda mrefu. Kwa hiyo wametoa muda wa kutosha na elimu juu. Sasa Kama mtu hataki kutekeleza ni lazima kutumia enforcement.
Kama muungwana na unaeleweka na 'vitisho' tekeleza ndani ya muda
 
Police state hii mzee

TRA ni shirika la weledi/professionalism na sio shirika la kuua watu...

Ngoja lawama ziendelee kutoka kwa wananchi then joka lione litakavyotoa Press Release ya kutumbuka kima humo TRA

Hii joka kamwambia afanye,ile waone reaction,then joka litakuja kama mwewe kujifanya ni savior

Joka bwana

Chanzo cha matatizo yote haya ni joka
Dah! Kwamba katolewa chambo? TRA ni watu ambao wana majukumu makubwa lakini yako kwa watu wasiojitambua. Tembelea ofisi zao ukiwa na mzigo bandarini ndo utajua umuhimu wa ufahamu. Nadhani kwa muda mrefu wamekuwa wakihangaishana na wafanyabiashara kiasi kwamba kila wanayemuona wanadhani anaweza kutoa chochote.

Nawalinganisha na dereva wa treni ambaye hahitaji ubunifu ili kujua apite wapi kwa usalama wa chombo chake. Hawaoni hata makorongo!
 
Sijui ni stress au kufanya kazi under pressure!! Viongozi wengi msimu huu wako hivyo.
 
Nadhani tatizo siyo kujua maana ya TIN na faida yake, tatizo ni uwasilishaji wa taarifa. Ni kweli TRA wana madaraka juu ya mwajiliwa wa wizara ya Elimu? Wamezoea kufukuzana na wafanyabiashara sasa wanajisahau na kuamini kila mtu ni himaya yao.
Umenikumbusha enzi za kubadilisha namba za magari. Jamaa hawa nao walikuwa wanakaa barabarani wanafukuza magari eti nayo ikiwa ni kazi yao! Bahati mbaya wao wenyewe ndo walijipa kazi na tenda za kihuni kulazimiasha kila mtu apate plate kutoka kwa mtu mmoja tu! Rushwa hizo!
 
Sijui ni stress au kufanya kazi under pressure!! Viongozi wengi msimu huu wako hivyo.
KUna tabia ya kuiga utendaji wa aliyejuu lakini nadhani wao wenyewe walistahili kuondoa elimu mbovu zilizo ndani ya ofisi zao kabla hawajaanza kuhangaika na walio nje ya ofisi zao.
 
Ukishangaa hilo tamko ni kama haujui upepo unapoelekea mkuu tumeshayatimba mzee baba kilichobaki ni kutii tamko lolote bila shuruti
 
Hilo ni jambo ka kawaida mkuu sema inatakiwa ueleweshwe faida yake ukiwa na TIN kama wewe nimfanyakazi tambua kuwa ulikuwa ukilipa kodi kama kawaida sasa ukipata hiyo itakusaidia hata kwa mambo mengine ya kibiashara hutowajibika kupata TIN nyingine zaidi ya hiyo ambayo utakuwa nayo! Kuwa mzalendo wa nchi yako ukipewa TIN nifaida kubwa kwako
Hebu eleza faida ya kuwa na hiyo Tin no. hasa kwa mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anafanya kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja au miwili then anarudi zake kitaa baada ya kazi kwisha.
 
Nadhani tatizo siyo kujua maana ya TIN na faida yake, tatizo ni uwasilishaji wa taarifa. Ni kweli TRA wana madaraka juu ya mwajiliwa wa wizara ya Elimu? Wamezoea kufukuzana na wafanyabiashara sasa wanajisahau na kuamini kila mtu ni himaya yao.
Na je TRA wana uwezo wa kuzuia mshahara halali wa mfanyakazi ambaye ametimiza wajibu wake kwa mwezi mzima? Miaka yootee walikuwa wapi na hiyo sheria yao? Nani kawakurupusha huko?
 
Kuna taarifa inasambazwa kwa video clip na magazetini ikiwa imetolewa na TRA kuwataka waajiliwa wote kuwa na TIN. Ni taarifa ambayo naona kama inatokana na uongozi wa TRA wenye mapungufu ya hekima. Kwanza imeletwa ikiwa na kikomo (ultimatum) wakiamini wanayo nguvu hiyo ya kuwapa ultimatum waajiliwa wote. Pili imetolewa utadhani ni jambo la dharula. Tatu imetolewa kwa lugha ya hovyo, isiyo na uungwana pamoja na tishio la kuzuia mshahara wa mwajiliwa.

Naomba TRA wasijitwishe madaraka yasiyo yao. Mwajiliwa yeyote hajawahi kuwa na mkataba wa aina hiyo na TRA. Kama TRA wanaleta utaratibu mpya, wanatakiwa wawe waungwana (reasonable). Walete taarifa ya kiungwana na siyo kutishia wakati hakuna mwenye makosa. Labda wanaiga lugha za viongozi wanaomiliki vyombo vya dola. TRA hana nguvu ya aina hiyo na ni makosa kutishia watu wasio na mkataba wa aina hiyo.

Utakuwa kilaza wa TRA wewe! Kwani waajiliwa huwa hawalipi kodi? Leo hii TRA wanapobuni mfumo wa TIN kwa watumishi ndo watumie vitisho na kuweka ultimatum? Kwa maana nyingine mwenzi huu watu waanze kufukuzana na kuweka foleni TRA kwa kuwa tu wao wameamua? Kwa nini hawakutangaza tangu July wakati mwaka wa fedha unaanza? Au walisubili 28 October ipite! Rubbish!
TRA wa nayo namlaka ya kufuatilia kama hutaki kulipa kodi,wanakukamatia mali zako
 
Huyu amesahau yaliyompata Kaimu Katibu Mkuu Elimu aliyetangaza mambo ya kukomesha Ajira za walimu wa Cheti pasipo kusoma alama za nyakati. Naamini huyu wa TRA angetoa hii clip tarehe 26/10 mpaka sasa angekuwa keshatenguliwa nafasi, kwa hakika kachemka.
 
Huu utaratibu ulianza toka mwanzoni mwa mwaka huu nadhani kama sio February/March huko

Na kodi hapa inayotafutwa ni ya wale walioajiriwa sekta binafsi

Wafanyakazi was maduka,madereva,walinzi no

Yaani Yale maswala ya kulipana mshahara kwenye bahasha laki 2 na nusu halafu sie waajiri tunaingiza mshahara kwenye matumizi tunapigiwa hesabu ya kodi tunalipa ndio mwisho

Inatakiwa na mshahara wa muajiriwa ukatwe PAYE kama wanavyofanyiwa watumishi wa umma halafu Kofi ipelekwe TRA ikiainisha na TIN ya muajiriwa wako

Patamu sana hapa
Lakini hiyo mbona siyo ufumbuzi? Mfano mie nimeajiri madereva, mikataba yao inaonesha wanalipwa Tz. X. Lakini mimi nawalipa kiukweli Tz. Y., ambapo Y>X, na hiyo tunafanya kwa makubaliano, hiyo TIN itasaidia nini? Maana yenyewe inatumia documentation, na documentation inaonesha Tz. X?
 
Atatenguliwa Sasa Hivi, Subiri Kidogo Uone
Tumeanza Kufokewa Haraka Mno Hata Mwezi Toka November 05
😁😂😀😄😄😃😁😂🤣😅😄😄😄😐😁😂🤣
Maji Tutaita Mmaa!! Haki Ya Mungu
 
Mkuu unahitaji elimu, suala la TRA kutaka kila mwajiriwa awe na Tin ni jambo la busara sana. Kumekuwa na ukwepaji wa kodi mkubwa sana utakuta kampuni inawajiri hta 100 alafu paye wanasema wana waajiri 50. Huenda hata wewe hapo ulikuwa unakatwa paye kwenye msahara lakn haifiki serikalini muhasibu au mwajir anafaidi anakula.

Huu mfumo mpya ni mzuri kabisa kwasababu mfanyakazi nae analipa kodi ukiachana na mfanyabiashara tena kuna wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kushinda hata hao wafanyabishara.

TRA ni chombo cha serikali hivo kinapokea maagizo kutoka juu. Na suala la kutumia TIN taarifa ilitoka muda sana.ulikua wapi boss??
Inaonekana uko huko huko TRA... Kwanza hii issue kuna mkubwa kawakurupusha meaning that hamjui wajibu wenu na hamko creative kubuni New sources za kodi, mmekomaa na kodi za mishahara tuu. Na kukuthibitishia kwamba mmekurupuliwa huko ndiyo maana mmekuja mkuku na kuweka Altmatum kitu ambacho TRA kisheria hamna huo uwezo wa kuzuia mishahara halali ya wafanyakazi. Imagine leo Novemba inaingia wiki ya tatu halafu eti Altmatum till end of December kwa wafanyakazi nchi nzima kweli????
 
Back
Top Bottom