Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Mfanyakazi anatambulika kama mlipa kodi kupitia TIN yake baadala ya mfumo wa zamani ambapo muajiri anatambulika kama ndio mlipa kodi..

Hili linaweza mletea nafuu pale anapotaka kufanya biashara nyingine au anapoagiza vitu kama magari anaweza kuclaim excemption kwa ushahidi kwamba yeye ni good tax payer.. Mtazamo tu..

Yah ni kweli ila sharti biashara yako iwe na mhasibu ila ukiwa serious ukafuatilia ina unafuu kwa mfanya kazi alafu ukafanya biashara. Maana unakuta mfanyakazi wa basic salary ya mil 3 unalipa PAYE karibia laki 7 na ushee...kwa mwaka ni mil 9...sasa mfanyabishara wa mil 9 kodi tu si mkubwa huyo??
 
HII NI NZURI SANA KWA WAFANYAKAZI
Kweli kabisa boss wangu
1. Itawasaidia wafanya kazi wa serikali kukatwa hela zao Kama Kodi.
2. Itawasaidia waajiriwa wote kutokwepa Kodi na kujiingiza kwenye uhuni.
3. Itawasaidia wafanyakazi hata wa ngazi za chini kujua komputa.
4. Huu ubunifu utaokoa muda kwa madereva wa mabosi wakubwa wakubwa.
 
Kweli kabisa boss wangu
1. Itawasaidia wafanya kazi wa serikali kukatwa hela zao Kama Kodi.
2. Itawasaidia waajiriwa wote kutokwepa Kodi na kujiingiza kwenye uhuni.
3. Itawasaidia wafanyakazi hata wa ngazi za chini kujua komputa.
4. Huu ubunifu utaokoa muda kwa madereva wa mabosi wakubwa wakubwa.
deceiver, cjakuelewa mkuu
 
Kuna nchi Kila bodaboda Ina kapu la takataka limefungwa karibu na dereva (dustbin) Kama ilivyo kwenye daladala ili kutunza mazingira
 
Yah ni kweli ila sharti biashara yako iwe na mhasibu ila ukiwa serious ukafuatilia ina unafuu kwa mfanya kazi alafu ukafanya biashara. Maana unakuta mfanyakazi wa basic salary ya mil 3 unalipa PAYE karibia laki 7 na ushee...kwa mwaka ni mil 9...sasa mfanyabishara wa mil 9 kodi tu si mkubwa huyo??
Sio lazima kuwa na muhasibu.

Declarant anaweza kuwa wewe mwenyewe Taxpayer.!
 
Mfanyakazi anatambulika kama mlipa kodi kupitia TIN yake baadala ya mfumo wa zamani ambapo muajiri anatambulika kama ndio mlipa kodi.

Hili linaweza mletea nafuu pale anapotaka kufanya biashara nyingine au anapoagiza vitu kama magari anaweza kuclaim excemption kwa ushahidi kwamba yeye ni good tax payer. Mtazamo tu.
Sahihi kabisa mkuu
 
Mfanyakazi anatambulika kama mlipa kodi kupitia TIN yake baadala ya mfumo wa zamani ambapo muajiri anatambulika kama ndio mlipa kodi.

Hili linaweza mletea nafuu pale anapotaka kufanya biashara nyingine au anapoagiza vitu kama magari anaweza kuclaim excemption kwa ushahidi kwamba yeye ni good tax payer. Mtazamo tu.
Kwahiyo waanze tu kuagiza magari kutakuwa na punguzo la Kodi eti.
 
Hii ni moja ya atuwa kubwa Sana ktk kumkombowa mfanyakazi nakuipa thamani KAZI yake. Mimi nataka kuamini SASA tutaelewana tena Sana.
Ikumbukwe Kwa waajiri nimsumari wa Moto ktk kidonda. Why SASA badala yakumtambuwa kama muwajiri ndie mlipa Kodi SASA serikali inamtambuwa muajiriwa kama mlipa Kodi na kuweza kuthamini KAZI yake Kwa kumrudishia kile amelilipa zaidi na kumrudishia muhusika pitia Tin number yake.
Ikumbukwe Kwa SASA waajiri wanajuwa au Wana jimilikisha return za ziada ya Kodi pasipo warudishia wafanyakazi kwakuwa Tu pesa walilipa wao.

Mfumo mpya utaleta uwazi na uwajibikaji na uwenda mfanyakazi Kwa mara ya Kwanza ataona faida ya Kodi yake kwakurudishiwa ziada yake na pia kupata exemption ya serikali. Ikumbukwe waajiri wanaifaidi hii exemption Kwa kulalia mgongoni Kwa wafanyakazi Jambo sio Sawa.

Upande wa pili ni hatari maana SASA uwenda mishara ya watu itakuwa ikijulikana na Tra Jambo makampun mengi yasingependa ijulikane. Hasa wale Wana lamba mishara minono.

Kunakila dalili uwenda payee mara mfumo huu utaanza tumika itaonhezeka Sana au kupunguwa ila Kwa njia za udanganyifu.
Umetoa ufafanuzi nzuri saana, ila ID hii huwa naichukia, kale kaskendo kako.
 
Lengo linaweza kua zuri, ila swali ni lile lile kua return (interms of social services etc) inaendana na PAYE zetu! ...ingawa nadharia ya ulipaji kodi haitaki utegemee manufaa ya moja kwa moja kwa kodi unayolipa (wanazuoni najua mnaelewa hii)!
 
Ni ujinga tu nchi za wenzetu ukilipa kodi kubwa kuliko kiwango kilichowekwa kulipwa ile extra unarudishiwa,sasa hii inamsaidia nini mfanyakazi?
 
Hii ni kwa ajili ya kukusanya Kodi zaidi kwa serikali. Kuna ajira nyingine hasa makampuni madogo wafanyakazi wanalipwa mishahara na hawalipi hata senti Kama Kodi. Serikali umelenga watu hawa ambao ni wengi Sana ambao Kama wangekatwa paye basi hela nyingi mno ingepatikana.
Pili kupitia TIN hata wanaodaiwa na taasisi Kama bodi ya mikopo ya elimu ya juu ambao wameajiriwa au kujiajiri sekta zisizo rasmi sana itakuwa rahisi kuwanasa.
Kwakifupi mtafutano unaanza
 
Back
Top Bottom