Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Hii ni kwa ajili ya kukusanya Kodi zaidi kwa serikali. Kuna ajira nyingine hasa makampuni madogo wafanyakazi wanalipwa mishahara na hawalipi hata senti Kama Kodi. Serikali umelenga watu hawa ambao ni wengi Sana ambao Kama wangekatwa paye basi hela nyingi mno ingepatikana.
Pili kupitia TIN hata wanaodaiwa na taasisi Kama bodi ya mikopo ya elimu ya juu ambao wameajiriwa au kujiajiri sekta zisizo rasmi sana itakuwa rahisi kuwanasa.
Kwakifupi mtafutano unaanza
Nimeanza kuelewa!
Ninavyojua, serikali ni capitalist : haikubali kuliwa
 
Mtafutano utaanza, maana ku file return hizo lazima uweke TIN na namba ya NSSF/PSSSF hivyo hata bodi ya mikopo, itawakamata tuu wadaiwa wake kuilaini, pia walioajiriwa na wanakula mafao ya kukosa ajira

Serikali itakusanya kodi yake halali kutoka kwa waajairi wasio waaminifu ambao wanakilipa milioni 3 afu wanasema moja TRA

Hongera TRA mwanzo mzuri wa kuboresha ukusanyaji mapato
 
Mtafutano utaanza, maana ku file return hizo lazima uweke TIN na namba ya NSSF/PSSSF hivyo hata bodi ya mikopo, itawakamata tuu wadaiwa wake kuilaini, pia walioajiriwa na wanakula mafao ya kukosa ajira

Serikali itakusanya kodi yake halali kutoka kwa waajairi wasio waaminifu ambao wanakilipa milioni 3 afu wanasema moja TRA

Hongera TRA mwanzo mzuri wa kuboresha ukusanyaji mapato
Mkuu kwani hapa nchini kuna mafao ya kukosa ajira.
 
Mkuu kwani hapa nchini kuna mafao ya kukosa ajira.
Ndii lipo hujawahi kusikia?kama ulikuwa mchangiaji wa mfuko husika ikatokea hauna ajira kwa sababu ya mkataba umeisha ama umefukuzwa kazi basi una qualify kupata fak hilo kwa kipndi cha miezi 6 kama sijakosea
 
Ww
Hii ni kwa ajili ya kukusanya Kodi zaidi kwa serikali. Kuna ajira nyingine hasa makampuni madogo wafanyakazi wanalipwa mishahara na hawalipi hata senti Kama Kodi. Serikali umelenga watu hawa ambao ni wengi Sana ambao Kama wangekatwa paye basi hela nyingi mno ingepatikana.
Pili kupitia TIN hata wanaodaiwa na taasisi Kama bodi ya mikopo ya elimu ya juu ambao wameajiriwa au kujiajiri sekta zisizo rasmi sana itakuwa rahisi kuwanasa.
Kwakifupi mtafutano unaanza
Ww ndo umeeleza kitu cha kuieleweka,jyaan hpa wale wa loan board tujiandae kisaikolojia maana rungu hilo linakuja
 
Hii ni kwa ajili ya kukusanya Kodi zaidi kwa serikali. Kuna ajira nyingine hasa makampuni madogo wafanyakazi wanalipwa mishahara na hawalipi hata senti Kama Kodi. Serikali umelenga watu hawa ambao ni wengi Sana ambao Kama wangekatwa paye basi hela nyingi mno ingepatikana.
Pili kupitia TIN hata wanaodaiwa na taasisi Kama bodi ya mikopo ya elimu ya juu ambao wameajiriwa au kujiajiri sekta zisizo rasmi sana itakuwa rahisi kuwanasa.
Kwakifupi mtafutano unaanza
Hapa Nimeelewa. Umeongea vizuri Sana Mkuu
 
Very good question [emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]I don’t think this will be free of charge, meaning more of taxpayers hard earned money to the Treasury coffers.
Tena unaweza kujiandikisha online bure kabisa ukienda tra wanakuprintia tuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kweli kabisa boss wangu
1. Itawasaidia wafanya kazi wa serikali kukatwa hela zao Kama Kodi.
2. Itawasaidia waajiriwa wote kutokwepa Kodi na kujiingiza kwenye uhuni.
3. Itawasaidia wafanyakazi hata wa ngazi za chini kujua komputa.
4. Huu ubunifu utaokoa muda kwa madereva wa mabosi wakubwa wakubwa.
Elimu zaidi inahitajika jamani
 
Hii ni moja ya atuwa kubwa Sana ktk kumkombowa mfanyakazi nakuipa thamani KAZI yake. Mimi nataka kuamini SASA tutaelewana tena Sana.
Ikumbukwe Kwa waajiri nimsumari wa Moto ktk kidonda. Why SASA badala yakumtambuwa kama muwajiri ndie mlipa Kodi SASA serikali inamtambuwa muajiriwa kama mlipa Kodi na kuweza kuthamini KAZI yake Kwa kumrudishia kile amelilipa zaidi na kumrudishia muhusika pitia Tin number yake.
Ikumbukwe Kwa SASA waajiri wanajuwa au Wana jimilikisha return za ziada ya Kodi pasipo warudishia wafanyakazi kwakuwa Tu pesa walilipa wao.

Mfumo mpya utaleta uwazi na uwajibikaji na uwenda mfanyakazi Kwa mara ya Kwanza ataona faida ya Kodi yake kwakurudishiwa ziada yake na pia kupata exemption ya serikali. Ikumbukwe waajiri wanaifaidi hii exemption Kwa kulalia mgongoni Kwa wafanyakazi Jambo sio Sawa.

Upande wa pili ni hatari maana SASA uwenda mishara ya watu itakuwa ikijulikana na Tra Jambo makampun mengi yasingependa ijulikane. Hasa wale Wana lamba mishara minono.

Kunakila dalili uwenda payee mara mfumo huu utaanza tumika itaonhezeka Sana au kupunguwa ila Kwa njia za udanganyifu.
Kuna kitu huwa sielewi,inawezekanaje ukalipa Kodi zaidi?mpaka TRA ikurudishie?
 
Kweli kabisa boss wangu
1. Itawasaidia wafanya kazi wa serikali kukatwa hela zao Kama Kodi.
2. Itawasaidia waajiriwa wote kutokwepa Kodi na kujiingiza kwenye uhuni.
3. Itawasaidia wafanyakazi hata wa ngazi za chini kujua komputa.
4. Huu ubunifu utaokoa muda kwa madereva wa mabosi wakubwa wakubwa.
Kujua komputa ,kivipi mkuu ,sijaelewa !?
 
Kuna kitu huwa sielewi,inawezekanaje ukalipa Kodi zaidi?mpaka TRA ikurudishie?
Kwa kaelimu kangu haka nimefundishwa unaweza lipa kodi zaidi kwa kutumia installments. Kwenye hizo unafanya makadirio, mfano trend ya biashara inatarajiwa kwenda kama mwaka uliopita hivo unalipa before due date ya deadline. Ukitazama mwaka ulopita ulilipa labda milioni 12 kwa installments nne, mwaka huu unalipa 11M lakini kabla haujaisha ukapata hasara kubwa au ukakosa kufanya kazi (kama hii corona virus ilivosababisha) unaweza kuta kodi uliyolipa mapema ni nyingi zaidi ya stahiki hivyo utaomba kurudishiwa.

Naamini baadhi ya makampuni hasa ya utalii yatastahili sana kufanya hivi kwa mwaka huu.
 
Back
Top Bottom