Naomba nitoe mfano kidogo tu ,nilikuwa na duka sikulipa kodi kwa miez sita baada ya mda wa mwanzo kifika ,nikawa na bajaji ikakamatwa nilipokwenda Sumatra walinitaka nifike tra kulipoa leseni .kuingiza tin yangu ilionekana na biashara nyingine ya duka nadaaiwa hivyo ilibd nilipie kodi ya duka na bajaj ndo niruhusiwe kuondoka nayo.
Kiufupi tin ni nzuri lakn wafanyakaz mjipange kulipa kodi kiufasaha kabsa kwa kila mnachofanya kuongeza kipato.pia biashara yako .na mda wa kufanya biashara bila kuzingatia mda wa serikal unaolipwa mshahara pia nao utafuatiliwa vizur
Nendeni kachukueni tin mtimize malenho ya serikal lakn mjue kuishi kiujanja ujanja na kukwepa kwedi itakuwa mwisho
Kwa pamoja tuijenge nchi
Sent from my TECNO CF7 using
JamiiForums mobile app