Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
 
Kuna kifo tukumbuke wakati tunazungumza, tuzungumze ukweli. Maafisa wa TRA waliogopwa sana na walijua na wakanyanyuka na kuwavimbia mpaka wawekezaji walioajiri hadi ndugu zao.

Kijana tax oficer anakuambia kaa chini, mpe control namba ya mil 200 akalipe kwanza ndo usikilizwe halafu baada ya kuleta nyaraka na kusikilizwa inaonekana kosa lipo kwenye utunzaji kumbukumbu ila hakuna madai ya kodi, hapo hiyo m200 imeshaingia kwenye hesabu ya kodi ya mwezi.

Kama kodi waligombania kulipa kwann akaunti zilikuwa zikifungwa kwa wingi esp zikiwa na pesa?
 
Si ndo TRA wanadai anavunja rekodi ya kukusanya Kodi kila mwezi kumbe changa la macho?

Au tozo na mikopo imekuwa njia ya kuficha aibu ya kushindwa kukusanya Kodi?
 
Si ndo TRA wanadai anavunja rekodi ya kukusanya Kodi kila mwezi kumbe changa la macho?

Au tozo na mikopo imekuwa njia ya kuficha aibu ya kushindwa kukusanya Kodi?
Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Punguza speculation na kulisha watu maneno, kipindi cha JPM kodi zilikusanywa kwa shari tena kwa over estimation na kutumia nguvu za task force; biashara nyingi zilifungwa kama takwimu za NBS zinavyoonyesha.

Imagine Sabaya anakusanya kodi kwa mtutu wa bunduki tena nje ya jurisdiction yake alafu unategemea hyo kodi isilipwe.

Kuna account zilikombwa hela kimya kimya kupitia notice kutoka TRA kwenda kwa benki ya mfanyabiashara husika. Alafu unategemea msisifie kuwa ukusanyaji ulikua mkubwa??

JPM was overrated and that is the fact
 
Punguza speculation na kulisha watu maneno, kipindi cha JPM kodi zilikusanywa kwa shari tena kwa over estimation na kutumia nguvu za task force; biashara nyingi zilifungwa kama takwimu za NBS zinavyoonyesha.

Imagine Sabaya anakusanya kodi kwa mtutu wa bunduki tena nje ya jurisdiction yake alafu unategemea hyo kodi isilipwe.

Kuna account zilikombwa hela kimya kimya kupitia notice kutoka TRA kwenda kwa benki ya mfanyabiashara husika. Alafu unategemea msisifie kuwa ukusanyaji ulikua mkubwa??

JPM was overrated and that is the fact
Yeye afisa wa mapato ndiye aliyesema hayo kwa hiyo usini attack mm.
 
Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
Mbona mapato hayajashuka sasa as per Msigwa's press conference basing on TRA,NBS, and BOT reports.

Hata mkitaka kumsifia JPM kwa vitu vya uongo haitosaidia kufufuka it's over you need to move on. Pending a serious opposition candidate and Free &Fair elections SSH is bound to rule till 2030!!
 
Mbona mapato hayajashuka sasa as per Msigwa's press conference basing on TRA,NBS, and BOT reports.

Hata mkitaka kumsifia JPM kwa vitu vya uongo haitosaidia kufufuka it's over you need to move on. Pending a serious opposition candidate and Free &Fair elections SSH is bound to rule till 2030!!
Aliyemtaja Samia na mambo ya 2030 hapa nani?

Jikite kwenye mada acha kuhemka!
 
Yeye afisa wa mapato ndiye aliyesema hayo kwa hiyo usini attack mm.
Acha speculation na sio nyuzi hii tu. Ww ni CCM na serikali iliyopo ni ya CCM sasa mnapojifanya JPM na SSH ni vyama tofauti tuwaeleweje? Unless unakiri kwamba CCM mmeshindwa kuongoza nchi mpishe 2025 maana hta Samia akitoka bado mtajifanya mnamsifia kinafiki na kumponda atakayekuwepo.

Very weird
 
Back
Top Bottom