Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Bila shaka wewe ni kiroboto😀😁😀
 
Mbona tunalipa mkuu?kulipa kodi siyo kwamba ni kwa ajili ya kumuogopa mtu kodi inakuwa tamu kuilipa pale panapokuwa na makubaliano sahihi bila ishara zozote za unyonyaji au ukomoaji kutoka pande zote.

Mie nimelipa awamu yangu ya mwisho mwaka huu juzi tu hapa wala sijakumbushwa na yeyote,TRA offices mkiwa na maelewano mazuri na wafanyabiashara hakuna atakayesumbua kulipa tatizo mpo baadhi yenu mkiambiwa hali halisi ya mtaani mnawaona watu ni waongo mnawalazimisha kodi kubwa mwisho wanashindwa kulipa mnawaona wakorofi.
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Ujinga wako ufiche
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Semams
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Sema hivi aliweza Kwa kuwapora wafanyabiashara, beurea de change na kuwadhulimu wafanyakazi stahiki zao ikiwa no nyoongeza na mafao ya wastaafu kitolipwa kwa wakati.
 
Wapiga dili wapo kazini..chief mwanamke anawakenulia meno..zen anaenda kukopa mikopo kwaajili ya zenji..walipaji watanganyika..sawa tutafika tu.

#MaendeleoHayanaChama
Nimekuelewa sana mkuu,
Ndio maana humo ccm watu wazima wenye uume wao wamegoma upuuzi huo, ndugai juzi kanifurahisha sana,
 
Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
So sad, nchi inapigwa mnada hii, watu wa nchi hii ukitaka kujua kuwa ni wajinga na sio watu serious when it comes to serious issues ni kwa jinsi gani wamereact kwa kauli ya ndugai, mtu wa 4 kutoka rais anapoongea jambo zito kama hilo inspite of the powers above him, kwa watu serious wangejua sasa alarm kubwa kabisa imelia nchini,
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Kwani aliondoka na vitendea kazi au walipaji kodi.
Shida mazoea ya kukwapua hayajaachwa.
 
So sad, nchi inapigwa mnada hii, watu wa nchi hii ukitaka kujua kuwa ni wajinga na sio watu serious when it comes to serious issues ni kwa jinsi gani wamereact kwa kauli ya ndugai, mtu wa 4 kutoka rais anapoongea jambo zito kama hilo inspite of the powers above him, kwa watu serious wangejua sasa alarm kubwa kabisa imelia nchini,
Watanzania tuache unaa, wewe binafsi labda uwe umezinduka kutoka usingizini Leo utashindwa kujua kwanini haamimiki na wanaopaza sauti. Hata kwa unaloita jambo muhimu kutoka kwa mtu muhimu.
 
Hahaha, mtumishi atajwe jina na kituo,
Si itakua ndo mwisho wake kazini?!
Si aliapa Kama mtumishi kutunza siri.

Mtajeni muone. Mchezo itakua imeishia hapo
Tunasubiri ahadi yetu wanakawe.
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Kwa hiyo Tumrudishe?
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Tulikuwa tunaogopa kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi.Buashara zetu ziliyumba na nyingi zilikufa.
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.

Acheni uongo eti wanakumbilia kulipa kodi! Kama vile tumesahau watu walivyokua wana lalamika
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Ndio kauli za mama kujipendekeza kwa wafanyabiashara eti hataki kodi za dhuluma😂😂. Nyerere aliposema ubepari ni unyama mnafikiri alikua mjinga. Kodi hata ikiwa ndogo kiasi gani dini ya biashara ni kutolipa kodi. Hasa wageni ndio wanahakikisha serikali ya mwafrika ni kuwahonga kuliko kulipa kodi. Hawahitaji serikali yenu iwe na pesa.
Magufuli alikua hana mchezo na kodi. Usipolipa kodi anakushughulikia bila huruma.
 
mamaa suzy wa magufuli, msukuma nambari wani, unatakeje suzy, magufuli alishakufa. Tulia mama mzanzibar akusute makavu laivu bila chenga.

Tulia unawishwe kwa taarabu za mwambao wa pwani, akili zikukae sawa mamaa suzy.
 
Back
Top Bottom