Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

Mfanyakazi TRA: Toka nianze kazi TRA miaka 8, haupo wakati ukusanyaji kodi ulikubalika kama wa Hayati Magufuli

Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
Katika makosa yaliyofanyika hapo nyuma ni kumpa afisa wa kawaida uwezo wa kumfanya mfanyabiashara atakavyo. Hawana busara panapohitaji busara, hawana subira panapohitaji subira, hawana huruma panapohitaji huruma, Hawatumii tena akili endapo hawajafikia lengo wanalokusudia.

MATOKEO: Ni kweli Kodi ilikusanywa kwa fujo, magari yalikamatwa, akaunti zikafungwa, wafanyabiashara wakajawa hofu,wengine wakaficha fedha wasijue la kufanya, wale wenye presha wakasidiwa na corona kuaga dunia(Tumezika aisee).

Nina rafiki ambaye alipewa tax position ya zaidi ya m700 bila aibu halafu baadae ikaonekana anadaiwa m25 tu ambayo nayo ingechunguzwa vizuri huenda ni janja janja za kodi, hiyo nyingine palikuwa na makosa wanayosema ni makosa kidogo kwenye mfumo wao wa utunzaji wa taarifa yakazaa kodi kubwa😂😂😂.....

Ila hapo afisa kampiga biti la maaana, kashikilia na gari ni vile tu jamaa alikuwa very smart hakuna document ambayo hana hata ya tsh mia aliyolipa hivyo akawa jasiri akawa mbabe kwa kuandika barua kali na kupeleka ushahidi. kinyume na hapo labda tungezika😂😂 maana afisa alikuwa aggresive. Ushahidi ndo ukamshtua kidogo akawa mpole.
 
Hamna kitu ka hiko mtu asiyependa rushwa CCM lazima ajiuzuru aanzishe chama sio anabaki ndani afu analalamika? Mfano Polepole alipokua msemaji mbona hakukamata hao anaowaita wahuni ila leo kaachia madaraka ndio analialia wahuni mara anatishia kuwataja n.k then utasema huyo mtu anachukia rushwa??

Ripoti ya makinikia kuna aliyekamatwa? Ripoti ya Tanzanite kuna mwana CCM kawekwa ndani? Vp kashfa ya Passport na NIDA kuna wana CCM waliokula hela wamefungwa?? Sijaona hta kamati ya maadili CCM ikiwaita hao mafisadi tajwa kwenye ripoti then unasema eti kuan watu wanaochukia rushwa ndani ya CCM?

Acheni unafiki kma hamtaki SSH anzisheni chama chenu mumtoe sio mnalialia baada ya kunyang'anywa ulaji na timu mpya.
Waanzishe chama ili wawe Kama membe? Ukishatoka ccm, nguvu zote zinaisha. Wabanane hapohapo Kama wanataka kumtoa mama Samia Ila wasijaribu kuwa nje ya CCM.
Ila hata kina membe walishindwa kumtoa jiwe, kumtoa mwenyekiti sio Mchezo eti
 
Tatizo unaangalia CHADEMA kwa wabunge na viongozi sio ile core ya chama nchi nzima. Hvi kuna mwenyekiti wa kanda au katibu wa kanda aliyehamia CCM hii miaka mitano bar Mathew suleiman? Walioahama ni hawa wa siasa za majimboni ila zile post za kichama tu bila interest za chaguzi za majimboni hakuna aliyehama CHADEMA na hiyo inaonyesha ukomavu wa chama kulinda core ya chama.

Strategy ya chama ilikua devolution so CHADEMA ni level ya kanda ndio operation zote zinafanyika no wonder viongozi wa kitaifa au mbunge akihama chama bado kina wafuasi hardcore eneo lile sababu coordination zote zinaanzia ofisi ya Kanda.

Ssa ijudge CHADEMA kwa mafanikio hayo Sio wanasiasa wa majimboni wanapohama eti ndio CHADEMA imekufa its funny. Chama kinakufa kma viongozi wa misingi, kanda na wilayani watahama maana hao ndio wanaamua hadi nani agombee na chama kijitanue vp n.k otherwise you r too bleek kuishauri CHADEMA maana hujui hta strategy zinazoendelea kma Chadema digital, Sera mbadala, chadema ni msingi, Bavicha queens n.k
Nyalandu pia alihama, alikuwa mwenyekiti Kanda ya Kati.
 
Bado nasema una hoja.Lakini...

...kwanini chama kingine kipya na isiwe CHADEMA na vingine vilivyopo?

....kwa vinara wa kupambania mabadiriko wanakimbia risasi na kwenda kuishi ughaibuni ambapo mabadiriko hayapaswi kufanyikia huko?
Nasema hivyo nikiamini kwamba demokrasia sio lazima muwe chama kimoja cha upinzani. Mbona Maalim alienda ACT ila alimuunga mkono Lissu.

Wewe na hao kina polepole mnaonaje muanzishe chama kipya mpambane na SSH ili tuone kma mko serious kweli. Yaani muwafundishe CHADEMA jinsi ya kuwa wapinzani imara!!! Maana kila siku mnakejeli kuwa hakuna mbadala at the same time mnadai SSH hafai sasa mnataka nini? Si mhame

Tatizo lenu mnaogopa mkihama mali zitaporwa na kwamba maslahi na tender zenu zitasitishwa. Kwa unafiki huu hakuna mabadiliko mtafanikiwa, mnamtukana Mbowe ila nakuambia hapa hakuna mwana CCM anawez aanzisha chama cha upinzani kikamaliza hta miaka 5 kipo hai!!!
 
Lakufunga biashara ilikuwa ni biashara za wapiga dili! Nambie kampuni gani hata ya usafirishaji ilifunga biashara? Maana shop rite walifunga wakati wa kikwete!
Biashara nyingi za kati zilizoajiri watu zilifungwa. Huenda hukuguswa lakini huo ndo uhalisia, zilizopona zipo ambazo zina mzigo mkubwa wa kodi mgongoni.
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Mliwaibia sana watu, washenzi ninyi.
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Mwambie aache kasi tupo wengi tulisoma kodi
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Halafu na hapohapo account za watu za bank zinavamiwa pesa zinachukuliwa na hao hao tra. Umeandika kinyume nyume rudi ukajipange ndugu polepole
 
, mnamtukana Mbowe ila nakuambia hapa hakuna mwana CCM anawez aanzisha chama cha upinzani kikamaliza hta miaka 5 kipo hai!!!
Sijawahi kumkosea adabu Mbowe na kwa faida yako 2001 Mbowe alinisaidia nauli ya kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam "ila usinitangaze."

Namheshimu sana Freeman.
 
Wapiga dili wapo kazini..chief mwanamke anawakenulia meno..zen anaenda kukopa mikopo kwaajili ya zenji..walipaji watanganyika..sawa tutafika tu.

#MaendeleoHayanaChama
Jpm alikopa zaidi ya trilion 30 kimyakimya lakini mama Ni trili moja tu. Sasa Nani mkopaji hapo.
 
USINIKUMBUSHE.

Yaani umepeleta hesabu za 2015 kwa wakati, TRA umekaa nazo mpaka 2020 hujazigusa, 2020 anafanya examination unakuta kuna kodi ya m1 iliyotokana na makosa ya kibinadamu kukosea kutoa risiti bila kuleta taarifa, anachukua hiyo m1 anaipiga interest ya mwezi kwa miezi 60, anapiga na penalty, Halafu anafanya hivyo kwa hesabu za 2016,17,18, 19 na 20? Kisha anafungia account yenye fedha za wateja AISEEEEEEE.

AFISA UNAMUELEKEZA NILIKOSEA BADALA YA KUTOA M1 NIKATOA M10 ILA MAKOSA YALIFANYIKA NI KWELI HATUKUTOA TAARIFA KWA WAKATI PENGINE UNGEFANYA UKAGUZI WAKO NILIPOKULETEA HESABU MWAKA 2015 RISITI ILIYOKOSEWA INGEKUWEPO NA HATA ISINGEKUWEPO HIYO RIBA YA MIEZI 60 ISINGEKUWEPO KUWA NA UBINADAMU USIUE BIASHARA YANGU NAOMBA UNIFUNGULIE ACCOUNT NILIPE MISHAHARA NA NIMALIZIE KAZI ZA WATU.

LIMTU HALIKUELEWI NDO KWANZA LINAAGIZA VITUMBUA VYA CHAI😡😡😡 HALAFU LINATOA MAELEKEZO UPEWE CONTROL NAMBA UKALIPE KIASI NDO URUDI. HAPO LIMESHIKILIA ACCOUNT YAKO NA GARI LAKO LENYE MZIGO. UNACHUKUKUA MKOPO UNALIPA UNAACHIWA GARI LIKIWA BIDHAA ZIPO KWENYE HALI MBAYA UNAINGIA GHARAMA YA RIBA, AKAUNTI INAFUNGULIWA KWA POZI, IKIFUNGULIWA PESA YOTE INALIPA MKOPO NA RIBA, MISHAHARA UNADAIWA, PESA ZA WATEJA UNADAIWA, PRESHA.

HALAFU UNASEMA WATU WALIGOMBANIA KULIPA KODI??????? SERIOUS????????
Mkuu
Wewe kweli ulifanya biashara awamu ya tano
Hakuna muda Tra walikuwa miungu watu kama awamu hiyo
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mleta Mada katuletea CHAI ya sukuma Gang au ni wale waliowekwa Idara maalumu wachote na kupeleka Chato
Uwanja wa ndege umejengwa na Shemeji yake kabisa bado kina zitto wakalalamika bado Ndugai akaminya na kuzuia wapiga kelele
Katibu Mkuu Fedha kipindi hicho anasaini mikopo kibao leo mnasema hatukukopa
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Kilio Cha mla rushwa aliyepangwa kitengo ambacho hakina rushwa.
 
Kuna kifo tukumbuke wakati tunazungumza, tuzungumze ukweli. Maafisa wa TRA waliogopwa sana na walijua na wakanyanyuka na kuwavimbia mpaka wawekezaji walioajiri hadi ndugu zao.

Kijana tax oficer anakuambia kaa chini, mpe control namba ya mil 200 akalipe kwanza ndo usikilizwe halafu baada ya kuleta nyaraka na kusikilizwa inaonekana kosa lipo kwenye utunzaji kumbukumbu ila hakuna madai ya kodi, hapo hiyo m200 imeshaingia kwenye hesabu ya kodi ya mwezi.

Kama kodi waligombania kulipa kwann akaunti zilikuwa zikifungwa kwa wingi esp zikiwa na pesa?
Ukusanyaji Kodi wa DHULUMA umezikwa naye pale Chato. Kinondoni peke yake kwa mwaka wafanyabiashara zaidi ya 300 walikuwa wanafunga biashara zao kutokana na HARASSMENT ya TRA na task force.

Kama ni umaskini basi Nchi yetu iendelee kuwa maskini lakini UJINGA wa kudai RISITI kwa kila huduma peleka Chato makaburini. Unadai kodi mpaka kwa mama Nitiliye, je ni lini utamfanya AKUE awe na hoteli?

Nchi zenye akili Zina deal na 20% ya taxpayers ambao ni Big Taxpayers wanaoweza kukupa 80% ya Kodi yako yote. Siyo unaajiri maafisa TRA kuja kukimbizana na Kodi za stationery shop, maduka ya mangi, Mama ntiliye, migahawa, wauza mitumba etc. HUO ni UKICHAA.

Siyo kwamba Rais SSH kashindwa kukusanya kodi, LA HASHA. Bali Magufuli alianzisha mega projects 3 kwa wakati mmoja; SGR, Stiglers Gorge na Dodoma City. Mbali ya projects zingine kama Busisi, hospitals na barabara.

Hizo projects zinahitaji fedha za kujengea na zingine tumeanza kulipa riba wakati hatujaanza kuzalisha
 
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Kuteka kina Mo ndo kulipa kwa hiari
 
Ukusanyaji Kodi wa DHULUMA umezikwa naye pale Chato. Kinondoni peke yake kwa mwaka wafanyabiashara zaidi ya 300 walikuwa wanafunga biashara zao kutokana na HARASSMENT ya TRA na task force.

Kama ni umaskini basi Nchi yetu iendelee kuwa maskini lakini UJINGA wa kudai RISITI kwa kila huduma peleka Chato makaburini. Unadai kodi mpaka kwa mama Nitiliye, je ni lini utamfanya AKUE awe na hoteli?

Nchi zenye akili Zina deal na 20% ya taxpayers ambao ni Big Taxpayers wanaoweza kukupa 80% ya Kodi yako yote. Siyo unaajiri maafisa TRA kuja kukimbizana na Kodi za stationery shop, maduka ya mangi, Mama ntiliye, migahawa, wauza mitumba etc. HUO ni UKICHAA.

Siyo kwamba Rais SSH kashindwa kukusanya kodi, LA HASHA. Bali Magufuli alianzisha mega projects 3 kwa wakati mmoja; SGR, Stiglers Gorge na Dodoma City. Mbali ya projects zingine kama Busisi, hospitals na barabara.

Hizo projects zinahitaji fedha za kujengea na zingine tumeanza kulipa riba wakati hatujaanza kuzalisha
Unafunga akaunti yenye turnover ya m50 kwa mwaka😀
 
Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu

"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."

"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"


"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."

"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"

"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."

Afisa wa TRA.
Huyu Suzy Elias amen create hii Akaunti kwa malengo maalum. Prey wake wakubwa ni January Makamba na Rais SSH.

Amen join hapa Nov 9, 2021. Huyu aweza kuwa ni mmoja wa wahanga wa reshuffle ya mwisho ya Rais SSH iliyowatoa akina Kalemani, Ndugulile na Chamuriho. Kimsingi ni member wa Sukuma Gang
 
Back
Top Bottom