Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kufa umfuate dikteta kichaaWapiga dili wapo kazini..chief mwanamke anawakenulia meno..zen anaenda kukopa mikopo kwaajili ya zenji..walipaji watanganyika..sawa tutafika tu.
#MaendeleoHayanaChama
Bila shaka wewe ni kiroboto😀😁😀"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Ujinga wako ufiche"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Semams"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Sema hivi aliweza Kwa kuwapora wafanyabiashara, beurea de change na kuwadhulimu wafanyakazi stahiki zao ikiwa no nyoongeza na mafao ya wastaafu kitolipwa kwa wakati."...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Nimekuelewa sana mkuu,Wapiga dili wapo kazini..chief mwanamke anawakenulia meno..zen anaenda kukopa mikopo kwaajili ya zenji..walipaji watanganyika..sawa tutafika tu.
#MaendeleoHayanaChama
2025 ni Mama
So sad, nchi inapigwa mnada hii, watu wa nchi hii ukitaka kujua kuwa ni wajinga na sio watu serious when it comes to serious issues ni kwa jinsi gani wamereact kwa kauli ya ndugai, mtu wa 4 kutoka rais anapoongea jambo zito kama hilo inspite of the powers above him, kwa watu serious wangejua sasa alarm kubwa kabisa imelia nchini,Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
Kwani aliondoka na vitendea kazi au walipaji kodi."...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Watanzania tuache unaa, wewe binafsi labda uwe umezinduka kutoka usingizini Leo utashindwa kujua kwanini haamimiki na wanaopaza sauti. Hata kwa unaloita jambo muhimu kutoka kwa mtu muhimu.So sad, nchi inapigwa mnada hii, watu wa nchi hii ukitaka kujua kuwa ni wajinga na sio watu serious when it comes to serious issues ni kwa jinsi gani wamereact kwa kauli ya ndugai, mtu wa 4 kutoka rais anapoongea jambo zito kama hilo inspite of the powers above him, kwa watu serious wangejua sasa alarm kubwa kabisa imelia nchini,
Tunasubiri ahadi yetu wanakawe.Hahaha, mtumishi atajwe jina na kituo,
Si itakua ndo mwisho wake kazini?!
Si aliapa Kama mtumishi kutunza siri.
Mtajeni muone. Mchezo itakua imeishia hapo
Kwa hiyo Tumrudishe?"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Tulikuwa tunaogopa kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi.Buashara zetu ziliyumba na nyingi zilikufa."...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.
Ndio kauli za mama kujipendekeza kwa wafanyabiashara eti hataki kodi za dhuluma😂😂. Nyerere aliposema ubepari ni unyama mnafikiri alikua mjinga. Kodi hata ikiwa ndogo kiasi gani dini ya biashara ni kutolipa kodi. Hasa wageni ndio wanahakikisha serikali ya mwafrika ni kuwahonga kuliko kulipa kodi. Hawahitaji serikali yenu iwe na pesa."...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao."
"...nakumbuka kuanzia 2018 ndiyo kipindi hasa wafanyabiashara nchini karibu wote wakubwa kwa wadogo walianza kugombania na kulipa kwa wakati kodi stahiki na tena wakati huo hata habari ya wao kutaka kuwarubuni maafisa kwa rushwa ilipungua km siyo kukoma kabisa!"
"...ndugu yangu yule jamaa hata kama alikuwa na mapungufu lkn kwenye suala la kodi aliweza sana."
"...nowadays mm natukanwa hadi kwenye simu eti kwanini namsumbua mfanyabiashara!"
"...watu wameona ujinga bora kujipigia km zamani na mapato ya sasa ni aibu ndiyo maana unaona hawatangazi."
Afisa wa TRA.