Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Muda huo wanao?
Wewe ni muislamu safi au muislamu jina? Naona kama unawasapoti manaswara, hii imekaaje dada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda huo wanao?
Kusema ukweli waarabu ni sawa na mbwa tu, sio binadamu wale
wanapenda sana dhuluma.
Nyie wengine munachukulia poa sana, Kutoka kulipwa elfu 50 bongo mpaka kulipwa kilo 6 uarabuni wengine wanakula mpaka 7 nyinyi munalichukulia poa sana hilo?. Utamu zaidi msosi wa maana bure, intenet bure, na wakirudi na mazagazaga kibao ya kugaiwa mtaani mtu anakua Boss lady kabisa mpaka jirani wa nyumba ya 10 anakuja kukutembelea. Hujaongezea kua ndio njia pekee dada zetu wa uswahili kupata nafasi za kupanda mapipa.
Acha waendelee kujirembea tu, mengine ni ajali kazini.
Mi sina dini mzee, ila waarabu sio binadamu wale, ni kama mbwa tuKuwa na hekma wewe galatia, na usiwafananishe waarabu na wanyama,,,wewe ukiitwa na magays wako SOKWE unajisikiaje!!
nini maana ya neno quran?Waafrika akili zetu twazijua wenyewe tu,,,,mtu mmoja akifanya kosa jamii nzima inajumuishwa. Ndiomaana hii ngozi nyeuc inapitia misukosuko mingi sana, mitihani mingi ina2pata bila kujijua wapi twakosea, umackini hautaisha kama 2taendekeza huu ujinga. Someni dini, Qur'an haijaacha kitu.
Sio swala la hisia tu ni uhalisia waarabu ni dhulumati mno na wanadharau mno, ni jambo ambalo nimeshuhudia wala sio kusimuliwa.Waafrika akili zetu twazijua wenyewe tu,,,,mtu mmoja akifanya kosa jamii nzima inajumuishwa. Ndiomaana hii ngozi nyeuc inapitia misukosuko mingi sana, mitihani mingi ina2pata bila kujijua wapi twakosea, umackini hautaisha kama 2taendekeza huu ujinga. Someni dini, Qur'an haijaacha kitu.
nini maana ya neno quran?
Mi sina dini mzee, ila waarabu sio binadamu wale, ni kama mbwa tu
Kama nyani nyani tu, watajua wenyewe, ila waarabu ni kama mbwa tuSawa mkuu,,ila ukiitwa Nyani na mzungu kama watutambuavyo usikasirike!
Ivi Botswana wana maisha mazuri kutuzidi sisi sioNi shida tu, kungekua na ajira Afrika wala usingewaona huko. Umeshawahi kusikia Botswana na Namibia raia wao wanakua vijakazi Arabuni?
Kwani huu uzi unahusu Dini?Wewe ni muislamu safi au muislamu jina? Naona kama unawasapoti manaswara, hii imekaaje dada?
Wafanyakazi 250,000 halafu wawili wanakufa kila wiki na hakuna hatua zozote?
Mi ndio maana siwaonei huruma hata kama wanatendewa visivyo na Israel au USA, wao ni wabaya zaidi
SawaHata kama lakini unakoelekea cvyo,,, kwahiyo ni fahari kubwa kuwasema vibaya na kuwachukia waislamu wenzio kwa wasio waislamu?
Nitakupa mfano,,,itokee katika mtandao wowote wa jamii baina ya waarabu/waislamu na wazungu/makafiri halafu hao waarabu watuseme vibaya cc waislamu wenzao wakiafrika kwa hao wazungu, je tutapendezewa kufanya kwao ivyo? Au utajickiaje muislamu mwenzio anakuchukia na kukusema mbele za wazungu waco waislamu!! Bac na wao ivyo ivyo hawatajickia kwako wewe na wenye msimamo kama wako, na c hivyo tu tunapaswa tupendane, tushirikiane na tuhurumiane
na c kuchukiana na kuwapa faida manaswara" gan,,,, "Hawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao"
Mimi nakushauri 2, tuusomeni uislamu tuuelewe kwa upana zaidi,,na tusiwe upande wa manaswara kuwachukia na kuwasema vibaya waislamu wenze2 hata kama ame2kosea namna gan,,,,
Allah akuongoze ukhti,,kama nitakua nimekukosea nisamehe
Mkuu ni nini maana ya hilo neno MANASWARA naomba unisaidie tafadhaliWewe ni muislamu safi au muislamu jina? Naona kama unawasapoti manaswara, hii imekaaje dada?
Mkuu ni nini maana ya hilo neno MANASWARA naomba unisaidie tafadhali
Don't give up[emoji123]
Tomorrow is the new day [emoji120]