Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Tatizo huelewi wewe...Pointi yangu ya chanzo cha manyanyaso ni ubaguzi wa rangi ipo palepale...Ila ukiendana nao dini itakupunguzia risk... Wazoefu wamenielewa ila wewe wakugoogle huwezi nielewa.

Kama tatizo ni rangi kwanini alimuajiri from the first place? kwani hamna weupe akawaajiri? Indians, Philippians, Pakistanis, Indonesians.

Punguza ujinga mkuu
 
You are talking out of ignorance ......hujui ubaguzi wa waarabu kwa wa Africa......just shutup, hao wa indonesia wa philipino mshahara wao ni tofouti na wa Africa wakati wanafanya kazi ile ile, wanapokea dhiraham 1200 hadi 2000 kwa mwezi mwa Africa analipwa dhiraham 500 hadi 1000, kwa kazi ile ile ya house maid.

mwa Africa ukienda police kumshitaki boss wake kwasababu ya manyanyaso au kutolipwa, nakamatwa na kupelekwa 'deportation centre' bila hata kulipwa stahiki zake au anapigiwa boss wako simu kukuijia na anakupinga mbele ya police paka basi....hasa Saudi arabia Oman UAE tabia ni ile ile.....zote wa Arabi ni wanyama,
Mimi si shauri bint yoyote kuenda hata maisha ya kiwamagumu kivip hapa kwetu ni pazuri ni suala la kubadili mindset yako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

indonesia wa philipino lazima mishahara yao isiandane na waafrika kutokana na ufanisi wao wa kazi. Acha kuropokwa kwa usichokifahamu mkuu, hao watu wanaingia madarasani kwa ajili ya kujiandaa na hizo kazi hawaokotwi mitaani tu kama huku kwetu, kiufupi wamejipanga.
 
Kama tatizo ni rangi kwanini alimuajiri from the first place? kwani hamna weupe akawaajiri? Indians, Philippians, Pakistanis, Indonesians.

Punguza ujinga mkuu
Anaona mtu mweusi ndo atampeleka anavyotaka bila wasiwasi wowote.
Wewe punguza ujinga×2
 
Mkuu hawa wanaolongalonga na kupayuka wivu tu unasumbua,,,mishahara wanayolipwa haifiki hata robo wanayopewa housegirl kule uarabuni.

Housegirl anapewa 600,000 mpaka 900,000 per month ,,,wakati bongo mfanyakazi wa benki,, secondary, msingi au hata serikalini sidhan ata laki4 wanapewa.


Housegirl mshahara mdogo na kunyanyaswa juu.

mkuu na zaidi wengi wakirudi shavu limetoka kwa kujichana, hula mpaka wakaishia kuvitizama tu. kuna mmoja aliwahi kunambia kwa kila siku alikua anakata kuku mzima kama masihara, uswahilini alikua akimuona kwenye masunduku tu anauzwa.
 
Hawa watu wenye ngozi nyeupe wabaguzi sana nishafanya kazi kwenye hospitali moja ta mrusi. Yani wakija wanakataa daktari mwafrika. Yani watakaa hapo hata masaa ma3 kumsubiria ngozi nyeupe mwenzao. Wapuuzi sana hawa watu. Mimi hua nawaangalia natamani hata wakufe hapo kwenye bench wakisubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app

tatizo hamuaminiki mamy, dunia haimuamini muafrika kutokana na records zake.
 
Wiki Loves Africa: Share pictures of "Africa on the Move or Transport" with the entire world and win great prizes!

[Tusaidie kutafsiri!]

Lebanoni

LanguageDownload PDFFuatiliaEdit


Lebanoni (kwa Kiarabu: لبنان ) ni nchi ndogo ya Mashariki ya Kati katika Asia ya Magharibikando ya Bahari ya Mediteranea.

الجمهورية اللبنانية
Al-Jumhūriyyah al-Lubnāniyyah
Jamhuri ya LebanoniBenderaNemboKaulimbiu ya taifa: Kūllūnā li-l-waṭan (Kiarabu)
"Sisi sote kwa ajili ya taifa"Wimbo wa taifa: Kulluna lil-watanMji mkuuBeirut
33°54′ N 35°32′ EMji mkubwa nchiniBeirutLugha rasmiKiarabu(na zamani Kifaransa)Serikali

Rais
Waziri mkuu

Jamhuri
hajachaguliwa
Tammam SalamUhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
26 Novemba 1941
22 Novemba 1943Eneo
- Jumla
- Maji (%)
10,452 km² (ya 166)
1.8Idadi ya watu
- 2015 kadirio
- Msongamano wa watu
5,851,000 (ya 112)
560/km² (ya 21)FedhaLira ya Lebanon (LL) (LBP)Saa za eneo
- Kiangazi (DST)EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)Intaneti TLD.lbKodi ya simu+961

-


Imepakana na Syria na Israel.

Jiografia

Miji

Historia

WatuEdit

Zaidi ya nusu ya wakazi hukaa katika rundikola jiji la Beirut.

Wenyeji wana damu mchanganyiko sana, lakini lugha ya kawaida na lugha rasmi ni Kiarabu.

Kati ya nchi za Waarabu Lebanoni ni nchi pekee yenye wakazi wengi ambao ni Wakristowa madhehebu mengiː walau ilikuwa hivyo hadi miaka ya karibuni, kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kuzuka.

Ni kwamba zaidi ya nusu ya Walibanoni wote wamehamia nje ya nchi, wakiwemo hasa Wakristo.

Kinyume chake, nchi imewapokea wakimbizizaidi ya milioni 1.

Makadirio ya mwaka 2014 yanadai kwa sasa 54% ni Waislamu (27% Wasuni na 27% Washia), 40.5% ni Wakristo (21% WakatolikiWamaroni, 8% Waorthodoksi Wamelkiti, 5% Wakatoliki Wamelkiti, 1% Waprotestanti), 5.6% ni Wadruzi n.k.

Tazama pia

Viungo vya nje

Last edited 2 years ago by Riccardo Riccioni

RELATED PAGES

Beirut

Milima ya Lebanoni ndogo

Historia ya Lebanoni

Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiajikwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc., asasi isiyokuwa ya kifaida.

FaraghaDawati

Unapoweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umefanya vizuri , jaribu kuweka andiko linalohusu uarabuni ( Kama neno lilivyo) then uone Kama Lebanon ipo kwenye nchi za uarabuni
 
Mbali na yote hayo wasichana tumekuwa hatujifunzi kwani si ajabu limetokea hili lakini yupo mwingine anasubiria Corona iishe aende akafanye hizo hizo kazi za ndani.
Hakuna mantiki ya kuwazuia kwenda hio ni ajali kazini muhimu ni kuwatengwnezea mazingira Salama huko.Wapo wengi tu wamenufaika wamejenga,wamesaidia familia zao, wameolewa huko,wamesomesha ndugu zao.Kuliko kulipwa elf 50 tena ya matusi ndani kwann usiende kuchukua milioni kasoro nje
 
Hakuna mantiki ya kuwazuia kwenda hio ni ajali kazini muhimu ni kuwatengwnezea mazingira Salama huko.Wapo wengi tu wamenufaika wamejenga,wamesaidia familia zao, wameolewa huko,wamesomesha ndugu zao.Kuliko kulipwa elf 50 tena ya matusi ndani kwann usiende kuchukua milioni kasoro nje
Nani wa kuwatengenezea hayo Mazingira salama?
 
Dawa ya muarab Ni USA, huwa anayanyoosha kweli kidogo yanakuwa na adabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Roho mbaya aina taifa.Asilimia kubwa hata hapa nchini wanaotesa Dada wa Kazi ni wanawake Kwa sababu awapendani.Huwezi sikia mwanaume kauwa au anatesa Dada wa Kazi,hata hapa nchini wanateswa sana wanapitia magumu sana hawana jinsi sababu wametoka familia masikini ulazimika kufanya tu Kazi huku mioyo yao imepondeka.Wanapigwa,tukanwa,zulumiwa,wananyanyaswa kijinsia nk.
 
Back
Top Bottom