Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Mwingine huyo aongelea vitu kiujumla jumla.

Kutofautiana malipo inategemea na mikataba na maajenti wanao wapeleka huko. Katika dunia ya sasa, maajenti ktk kila fani huwa wanawalalia watu. Kiwango cha kulalia kinatofautiana toka nchi moja hadi nyingine.

Hata kazi nyinginezo ktk nchi nyinginezo zilizoendelea zaidi, nimeshuhudia muafrika akifanya kazi A na mzungu afanya kazi A lakini malipo yao ni tofauti kabisa.

Hata nchini Tanzania, daktari mtanzania bingwa anayetibu hospitali B, na kisha akawepo daktari (pengine hata hajakamilishamafunzo hayo kwao) mzungu akitibu hospitali hiyo hiyo B, lakini malipo huwa wanatofautiana, umbali wa mashariki na magharibi, mzungu apendelewa, tena na taasisi za waafrika. Naongea hili kwa uzoefu wangu.

Nchi zote za waarabu ni wanyama? Kauli za hivi hazitoki ila kwa mtu mpumbavu.
-Hivi ni kipi ambacho waarabu wakifanya halafu waafrika wao kwa wao hawafanyiani?
-Si ndio nyie mwauana kwa kumiminiana risasi kwa tofauti tu za mitazamo
-Si ndio nyie mwaua watu kwa halaiki mkidhani ima mtusi ni bora au muhutu ni bora yamwingine?

Point ya msingi uliyoongea hapo ni moja tu; kutokubali mabinti kwenda fanya kazi za ndani huko uarabuni.

Mifano halisi ya waafrika kwa wafrika.

1. Mauaji ya halaiki ya waafrika kwa wiafrika huko Rwanda (watu laki nane; 800,000 waliuawa ndani ya siku 100 tu, yaani wastani wa watu 8,000 waliuawa kwa siku?!)

View attachment 1399046



2. Huko Burundi nako hawakuwa nyuma waafrika ktk kuuana kwa idadi za juu kabisa, bila kujali jinsia, mtoto mchanga wala mimba.

View attachment 1399036


Umemaliza,,,,anawaita waarabu wanyama kama co binadamu vile,,,halafu mzungu aki2ita sokwe 2nachukia 😁


Hoja wanazoleta ni za kipumbavu kabisa,,,hazina mantiki yoyote.
 
Wiki Loves Africa: Share pictures of "Africa on the Move or Transport" with the entire world and win great prizes!

[Tusaidie kutafsiri!]

Lebanoni

LanguageDownload PDFFuatiliaEdit


Lebanoni (kwa Kiarabu: لبنان ) ni nchi ndogo ya Mashariki ya Kati katika Asia ya Magharibikando ya Bahari ya Mediteranea.

الجمهورية اللبنانية
Al-Jumhūriyyah al-Lubnāniyyah
Jamhuri ya LebanoniBenderaNemboKaulimbiu ya taifa: Kūllūnā li-l-waṭan (Kiarabu)
"Sisi sote kwa ajili ya taifa"Wimbo wa taifa: Kulluna lil-watanMji mkuuBeirut
33°54′ N 35°32′ EMji mkubwa nchiniBeirutLugha rasmiKiarabu(na zamani Kifaransa)Serikali

Rais
Waziri mkuu

Jamhuri
hajachaguliwa
Tammam SalamUhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
26 Novemba 1941
22 Novemba 1943Eneo
- Jumla
- Maji (%)
10,452 km² (ya 166)
1.8Idadi ya watu
- 2015 kadirio
- Msongamano wa watu
5,851,000 (ya 112)
560/km² (ya 21)FedhaLira ya Lebanon (LL) (LBP)Saa za eneo
- Kiangazi (DST)EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)Intaneti TLD.lbKodi ya simu+961

-


Imepakana na Syria na Israel.

Jiografia

Miji

Historia

WatuEdit

Zaidi ya nusu ya wakazi hukaa katika rundikola jiji la Beirut.

Wenyeji wana damu mchanganyiko sana, lakini lugha ya kawaida na lugha rasmi ni Kiarabu.

Kati ya nchi za Waarabu Lebanoni ni nchi pekee yenye wakazi wengi ambao ni Wakristowa madhehebu mengiː walau ilikuwa hivyo hadi miaka ya karibuni, kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kuzuka.

Ni kwamba zaidi ya nusu ya Walibanoni wote wamehamia nje ya nchi, wakiwemo hasa Wakristo.

Kinyume chake, nchi imewapokea wakimbizizaidi ya milioni 1.

Makadirio ya mwaka 2014 yanadai kwa sasa 54% ni Waislamu (27% Wasuni na 27% Washia), 40.5% ni Wakristo (21% WakatolikiWamaroni, 8% Waorthodoksi Wamelkiti, 5% Wakatoliki Wamelkiti, 1% Waprotestanti), 5.6% ni Wadruzi n.k.

Tazama pia

Viungo vya nje

Last edited 2 years ago by Riccardo Riccioni

RELATED PAGES

Beirut

Milima ya Lebanoni ndogo

Historia ya Lebanoni

Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiajikwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc., asasi isiyokuwa ya kifaida.

FaraghaDawati

Unapoweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize waarabu waliwachukua wafrika wengi sana kwenye utumwa kama vijakazi lakini hakuna waarabu weusi uko kwao kwann mbona marekani wapo ulaya wapo south america wapo na wamejichanganya vizuri tu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkiambiwa tembeeni mkajionee nchi za wa2 walioendelea munajichekeresha tu 😬😬 nani kakuambia hakuna weuc??
 
Acha masihara mkuu , kwani baadhi ya serikali za kiafrika haziuwi watu mkuu ?
Hapana mkuu yule wa Arusha Sasa hivi ananyea ndo na watu walimwaga povu la hatari so shida ya wale wenzetu akiuwawa hata amsikii hatua zozote zikichukuliwa kwa muuwaji,yaani anauliwa Kama paka tu,hapa hizi serkali za kiafrika zinatakiwa kuungana kwenye suala Kama hili hatua ziwe zinachukuliwa dhidi ya wauaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiulize waarabu waliwachukua wafrika wengi sana kwenye utumwa kama vijakazi lakini hakuna waarabu weusi uko kwao kwann mbona marekani wapo ulaya wapo south america wapo na wamejichanganya vizuri tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Kama watu hakuna, sema hizo ni hizo ni stori za kijiweni , unamkumbuka kipa wa Bolton wanderes alabis ( jina nimelikosea kidogo)
 
Nazungumzia hype na reactions za wadau wengi humu.
Wengi walilaani kama tunavyolaani hapa, haijalishi nani kafanya, pitia nyuzi zote Jf kuhusu kuteswa kwa wadada wa kazi nadhani hamna anaechukulia poa tabia hizo labda watendaji tena nao watajitahidi kuficha makucha kwa kulaani pia.
 
Hapa
Acha masihara mkuu , kwani baadhi ya serikali za kiafrika haziuwi watu mkuu ?


Sio kweli Kama watu hakuna, sema hizo ni hizo ni stori za kijiweni , unamkumbuka kipa wa Bolton wanderes alabis ( jina nimelikosea kidogo)
Hapa wanazungumziwa wadada wa kazi ughaibuni na madhila wanayokutana nayo kama hayo ya kufikia mpaka kupoteza maisha, kama ni ishu ya kuua tu hata vibaka wanauliwa, ajali zinaua pia,
jikite kwenye mada.
 
Muarabu ni muarabu tu hataacha asili yake.

Mwafrika ni mwafrika tu hata acha asili yake,,👇🏿

,,,Kuuwa vikongwe
,,,Albino
,,,Kuuwana makabila
,,,Kumtoa kafara mwanao kisa utajiri
,,,Kuchoma wezi moto wakati Mwenyezi Mungu ameharamisha kufanya ivyo
,,,Ujambazi na vibaka
,,,Kunyanyasa housegirl/houseboy

Vyote hivi vinapatikana huku.
 
Hahaa, Eti mshahara wa 900,000, wanadanganywa hivyo halafu wakifika huko ni vipigo na wananyimwa kurudi, kamdanganye dada yako aende akaingiliwe kinyume na maumbile na hao mahayawani

Ndivyo mnavyofundishwa makanisani eti! 😁😁 kumbe mzungu hajakosea kutuita sokwe eti!! Maana akili zetu kidogo zinataka kfanana na kile kiumbe,,,
 
Mwafrika ni mwafrika tu hata acha asili yake,,👇🏿

,,,Kuuwa vikongwe
,,,Albino
,,,Kuuwana makabila
,,,Kumtoa kafara mwanao kisa utajiri
,,,Kuchoma wezi moto wakati Mwenyezi Mungu ameharamisha kufanya ivyo
,,,Ujambazi na vibaka
,,,Kunyanyasa housegirl/houseboy

Vyote hivi vinapatikana huku.

Waarabu ni waarabu tu lazima wateteane 😁.
 
Mtaani kwetu kuna binti alienda huko dubai aliishi huko miaka minne alivyorudi aliwajengea wazazi wake nyumba nzuri na yeye sasa hivi analo duka kubwa la vipodozi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna binti mmoja namfaham alikua anafany kaz oman,,,, kamjengea mamake nyumba nzuli sana uku,,alikuja akaludi tena kuzikusanya.

Mwingine anafanya kaz uko uko oman anapiga laki 9 na ushee na ananyumba zaid ya moja uku. Wabongo wengi wetu mahasidi sana ha2pendi dada ze2 wanapofanikisha.
 
Waarabu ni waarabu tu lazima wateteane 😁.

Fikra zako ndio zinaku2ma ivyo mkuu! Kwaiyo mnavyowatetea wazungu nasi 2seme "wazungu kwa wazungu wanateteana co" hapa 2naongea ukweri bila kuegemea upand mmoja. Sioni sababu ya kuwachukia waarabu,,2nawapenda na kuwaheshim kama wao wanavyo2penda na kutueshim.
 
Fikra zako ndio zinaku2ma ivyo mkuu! Kwaiyo mnavyowatetea wazungu nasi 2seme "wazungu kwa wazungu wanateteana co" hapa 2naongea ukweri bila kuegemea upand mmoja. Sioni sababu ya kuwachukia waarabu,,2nawapenda na kuwaheshim kama wao wanavyo2penda na kutueshim.

Tatizo visa vya waarabu kuwatesa waafrika ni vingi sana, bado wanatuchukulia ngozi nyeusi kama watumwa wao.
 
Tatizo visa vya waarabu kuwatesa waafrika ni vingi sana, bado wanatuchukulia ngozi nyeusi kama watumwa wao.
Ngozi nyeusi haijawahi kuthaminiwa kokote kule. Kama una nchi unayoijua ya ngozi nyeupe ina thamini ngozi nyeusi itaje mkuu.

Ukienda huko US, wamarekani weusi wanadharauliwa hadi leo hii.
Bali hata walatino nao wanadharauliwa.

Hao waarabu wengi wao wanaidharau ngozi nyeusi isipokuwa wachache wao wanafuata mafunzo ya dini yao.

Pia waarabu wao kwa wao hubaguana kwa nchi (kuna nchi maalumu wao ndio hujiona waarabu, nchi nyingine sizo) na pia kwa koo, ila kwa wachache wenye kufuata mafunzo ya dini yao ambayo yanasema; enyi wanadamu nyote mmeumbwa kutokana na baba mmoja na mama mmoja, kisha mkafanywa mataifa (mbalimbali) na makabila (mbalimbali) kwa lengo mpate kujuana tu (sio kubaguana). Hakika mbora wenu mbele ya mungu ni yule anayejitahidi kuwa mchamungu.

Kwa maana ktk uislam wa kufuata mafundisho, mwafrika aliye mchamungu ni mbora zaidi kwa mungu kuliko muarabu asiyemchamungu.

Ukija Afrika, hata sisi kwa sisi twabaguana kwa nchi (watu wa nchi fulani wakajiona ni bora kuliko nchi nyingine) na kwa makabila (watu wa kabila A wakajiona wabora na pengine ndio wana haki zaidi ya kula asali ya nchi kuliko makabila mengine)
 
Back
Top Bottom