Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Lebabon ni ulaya au afrika?Hapo sio Uarabuni mkuu , hapo ni Lebanon , Uarabuni Ni UAE ( Dubai)
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lebabon ni ulaya au afrika?Hapo sio Uarabuni mkuu , hapo ni Lebanon , Uarabuni Ni UAE ( Dubai)
Uko sahihi, lakini hatari hizo zimekuwa zikielezwa na matukio kushuhudiwa miaka nenda rudi. Ila watu hawaachi kwenda kwa sababu ya uwezekano wa kutoka huko.Riski ni kubwa mno.....
Ficha umbumbumbu wako. Jaribu hata kugoogle hao waarabu weusi kabla yakuongea vitu usivyovijua. Tatizo lako kubwa ni kutotoka nje ya mipaka ya Tanzania.Jiulize waarabu waliwachukua wafrika wengi sana kwenye utumwa kama vijakazi lakini hakuna waarabu weusi uko kwao kwann mbona marekani wapo ulaya wapo south america wapo na wamejichanganya vizuri tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha umbumbumbu wako. Jaribu hata kugoogle hao waarabu weusi kabla yakuongea vitu usivyovijua. Tatizo lako kubwa ni kutotoka nje ya mipaka ya Tanzania.
Wajinga ni wengi mno, yaani kazi kweli kweli. Bora nisiwe nafatilia komenti za watu aisee.
Uko sahihi, lakini hatari hizo zimekuwa zikielezwa na matukio kushuhudiwa miaka nenda rudi. Ila watu hawaachi kwenda kwa sababu ya uwezekano wa kutoka huko.
Kila kazi ina hatari zake, ingawa zatofautiana. Kuanzia shughuli za uchimbaji madini, mchanga, udereva, unesi, uvuvi n.k
Hata kuwa na pesa hapa Bongo ni hatari, majambazi watakuwa wanakumendea mendea. Lakini kila mmoja anapenda awe nazo.
Wenyewe wanasema ni bora ufe watafuta pesa kuliko kufa kwa umasikini na njaa.
Wewe nae walewale tu....hujui ila unakisia tu...mimi nina ushuhuda kutoka kwa watu mbalimbali waliokuwa huko...tena kheri uwe muislamu ukiwa mkristo ndo utapata ugumu zaidi....najua unawatetea kisa dini moja ila ujue ni ujinga tu unatetea.
Na kuna waislamu wengi tu wapo against na haya mambo.
Muarabu ni muarabu tu hataacha asili yake.
Unakwama wapi mkuu..?
Mimi nimetoa maoni yangu kulingana na uelewa wangu,.hebu na wewe toa maon yako kulingana na uelewa wako,na usi criticize watu...
Ifike mahala mtu akitoa hoja,mjibu kwa hoja na si kumkhebehi
Huo umaskini unaousema una sababu zake za msingi,na chanzo chake,na theory zake.zipo kisomi si kwa maneno wewe unayoyasema..
Usitake nilete critical facts hapa..jkija kwa hoja pia nitakujibu kwa hoja,ila ukija unajibu kwa kebehi ina maana huna unachoelewa zaid una piga kelele.
Bora huyo mhusika alikamatwa na kufikishwa katika vyombo vya DolaMsisahau yule mama wa kibongo aliyepiga housegirl mpaka akaua,
Hakuna cha mwarabu hapa, binadamu ni walewale
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ukaamini ulichoambiwa kwa hao mashuhuda bila kwenda mwenyewe kuhakiki,,,,yawezekana ulikuwa na plan ya kwenda kutafuta life kule ila ukakutana na mahasidi yasiopenda ufanikishe,,,,co binadamu wote tunapendana au kutakiana kheri katika mafanikio ye2,,wengine wapo kukukatisha tamaa.
Mwenye akili zake hawezi kuamini huu utumbo uliou2ma,,,icpokua wajinga ndio huamini. Nackitika sana kuona weuc wenzangu wakipotoshwa na mabeberu 😁😁
Hivyo vikatuni vyako ningeomba uwawapelekee nyumbani kwenu au gengeni ndio utawakamata,, tunaojielewa hu2pati. kwanza kipindi icho hakukua na camera wala vidcamera,,,,
Mabalozi wa kiafrika na serikali zao huwa hawajali matukio kama hili.Mfanyakazi wa ndani mwenye asili ya Kiafrika Faustina Tay aliyekuwa akifanya kazi nchini Lebanon amekutwa amefariki baada ya kutuma ujumbe kuwa alikuwa akinyanyaswa
Mfanyakazi huyo raia wa miaka 18 kutoka Ghana kabla ya kifo chake alituma ujumbemfupi kwa wanaharakati wa kutetea wafanyakazi wa ndani, na masaa 18 baadae mwili wake ukakutwa chini ya Gari, uchunguzi unaonyesha kuwa alisukumwa juu ya ghorofa na kubamiza kichwa
Nchi ya Lebanon ina wafanyakazi wa ndani wapatao 250,000 na inakadiriwa wafanyakazi wawili hufa kila wiki lakini Serikali haifuatilii mauaji hayo
Chanzo: Al Jazeera
The desperate final days of a domestic worker in LebanonView attachment 1398705
Faustina Tay akielezea mateso yake kwa njia ya video
View attachment 1398704
Faustina Tay siku aliyowasili Lebanon akitokea Ghana