Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Mkuu hawa wanaolongalonga na kupayuka wivu tu unasumbua,,,mishahara wanayolipwa haifiki hata robo wanayopewa housegirl kule uarabuni.

Housegirl anapewa 600,000 mpaka 900,000 per month ,,,wakati bongo mfanyakazi wa benki,, secondary, msingi au hata serikalini sidhan ata laki4 wanapewa.


Housegirl mshahara mdogo na kunyanyaswa juu.
Hahaa, Eti mshahara wa 900,000, wanadanganywa hivyo halafu wakifika huko ni vipigo na wananyimwa kurudi, kamdanganye dada yako aende akaingiliwe kinyume na maumbile na hao mahayawani
 
Mkuu hawa wanaolongalonga na kupayuka wivu tu unasumbua,,,mishahara wanayolipwa haifiki hata robo wanayopewa housegirl kule uarabuni.

Housegirl anapewa 600,000 mpaka 900,000 per month ,,,wakati bongo mfanyakazi wa benki,, secondary, msingi au hata serikalini sidhan ata laki4 wanapewa.


Housegirl mshahara mdogo na kunyanyaswa juu.
Wewe muarabu koko wa chakechake vipi unalipwa kuwatetea waarabu wa Lebanon? Acha shobo hawakufahamu na ukienda kule utaitwa mswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu wenye ngozi nyeupe wabaguzi sana nishafanya kazi kwenye hospitali moja ta mrusi. Yani wakija wanakataa daktari mwafrika. Yani watakaa hapo hata masaa ma3 kumsubiria ngozi nyeupe mwenzao. Wapuuzi sana hawa watu. Mimi hua nawaangalia natamani hata wakufe hapo kwenye bench wakisubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana roho mbaya hawa binadamu


Hivi mtu unapojua kuwa ndani ya shimo fulani kuna nyoka je unaweza kuingiza mkono wako humo shimoni??--- inafahamika kabisa kwamba Waarabu ni wanyama hasa kwa sisi watu weusi lakini nasisi weusi akili fupi ndiyo inatusumbua, unakubali kuondoka kwenu ukiwa mtu huru na unakwenda mahali ambapo unajua utakuwa mtumwa??!! -- habari za mateso ya vijakazi huko Arabuni ni habari maarufu na ya miaka mingi lakini bado hatujifunzi tu!!??.
 
Hivi mtu unapojua kuwa ndani ya shimo fulani kuna nyoka je unaweza kuingiza mkono wako humo shimoni??--- inafahamika kabisa kwamba Waarabu ni wanyama hasa kwa sisi watu weusi lakini nasisi weusi akili fupi ndiyo inatusumbua, unakubali kuondoka kwenu ukiwa mtu huru na unakwenda mahali ambapo unajua utakuwa mtumwa??!! -- habari za mateso ya vijakazi huko Arabuni ni habari maarufu na ya miaka mingi lakini bado hatujifunzi tu!!??.
Out of desperation
 
"Entertaining desperation is among the greater sins".--- humanbeing is created to struggle and not to despair.
We need to question our leadership, there is a need of mobilising youth manpower in a serious productive projects and effective marketing strategies.
 
Wewe muarabu koko wa chakechake vipi unalipwa kuwatetea waarabu wa Lebanon? Acha shobo hawakufahamu na ukienda kule utaitwa mswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lebanon ina mchanganyiko wa makabila mengi sana,wapo watu wanaotoka North America,South America,Europe,Australia na Africa pia wapo.Waislamu wa Suni ni kama 27% ya wakazi wote.Wakristo wanakaribia 40%,na wengine ni dini nyingine ziko.Lebonon mda mrefu,ilikuwa kimbilio la wakimbizi kutoka nchi mbali mbali duniani.Armeanias,Kurds,Turks,Assyrians,Iranian, Greeks,Italians,French.Kiingereza kinazungumzwa sana na kiarabu,kiarabu chao kina mchanganyiko na lugha za kizungu.Lebonon ni uzungu mwingi kuliko uarabu,na nchi iko Asia,japo inahesabika ni ya mashariki ya kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are partly right, but the rest buck lies on ones own personal desires and ambitions on how to lead his/her own life.

Sky Eclat
 
Lebanon ina mchanganyiko wa makabila mengi sana,wapo watu wanaotoka North America,South America,Europe,Australia na Africa pia wapo.Waislamu wa Suni ni kama 27% ya wakazi wote.Wakristo wanakaribia 40%,na wengine ni dini nyingine ziko.Lebonon mda mrefu,ilikuwa kimbilio la wakimbizi kutoka nchi mbali mbali duniani.Armeanias,Kurds,Turks,Assyrians,Iranian, Greeks,Italians,French.Kiingereza kinazungumzwa sana na kiarabu,kiarabu chao kina mchanganyiko na lugha za kizungu.Lebonon ni uzungu mwingi kuliko uarabu,na nchi iko Asia,japo inahesabika ni ya mashariki ya kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo asia lakini inahesabika ipo mashariki ya kati. Hayo mengine porojo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe muarabu koko wa chakechake vipi unalipwa kuwatetea waarabu wa Lebanon? Acha shobo hawakufahamu na ukienda kule utaitwa mswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app



Hakuna anaewatetea hapa...haki ni haki tu,,, hapa bongo huyaoni yanayotokea au unajitoa ufahamu!! Mmewakalia kooni sana waarabu utafikiri cc ni wasafi!! wewe kama unawachukia waarabu na kuwapenda hao magay wakizungu na waisrael ni wewe lakini uclazimishe na wengine 2fanane,,,mimi cna chukinao waarabu,,, nawapenda sana na kuwaheshimu pia. Na wao vile vile wana2penda na ku2heshimu,,,ivyo sioni sababu ya wewe kuwachukia utapata dhambi bure.



Chuki haijengi bali inabomoa dada,,,chuki mwisho wake mbaya.,,,ebu jirekebishe!




Kama imekuchoma sana kaa pembeni
 
You are talking out of ignorance ......hujui ubaguzi wa waarabu kwa wa Africa......just shutup, hao wa indonesia wa philipino mshahara wao ni tofouti na wa Africa wakati wanafanya kazi ile ile, wanapokea dhiraham 1200 hadi 2000 kwa mwezi mwa Africa analipwa dhiraham 500 hadi 1000, kwa kazi ile ile ya house maid.

mwa Africa ukienda police kumshitaki boss wake kwasababu ya manyanyaso au kutolipwa, nakamatwa na kupelekwa 'deportation centre' bila hata kulipwa stahiki zake au anapigiwa boss wako simu kukuijia na anakupinga mbele ya police paka basi....hasa Saudi arabia Oman UAE tabia ni ile ile.....zote wa Arabi ni wanyama,
Mimi si shauri bint yoyote kuenda hata maisha ya kiwamagumu kivip hapa kwetu ni pazuri ni suala la kubadili mindset yako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Story za kwenye kahawa izo,,,
 
Kuna mmoja nilisoma story yake kwenye gazeti. Anatoka Nigeria, baada ya kufanya kazi miezi 24 Dubai aliweza kurudisha nauli iliyompeleka na akafungua mgahawa kwao. Sasa ni boss kwenye mgahawa wake.
Mtaani kwetu kuna binti alienda huko dubai aliishi huko miaka minne alivyorudi aliwajengea wazazi wake nyumba nzuri na yeye sasa hivi analo duka kubwa la vipodozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafanya kazi wa ndani wanateswa mno si tu huko Uarabuni bali nchi za Afrika ikiwemo Tanzania na hata huko Marekani.

Kwa ujumla ngozi nyeusi inadharauliwa dunia nzima.

Wanawake wanaongoza kuwatesa wafanyakazi wa kike wenzao. Mme ukiwa na utu ukaingilia kumtetea mfanyakazi waambiwa ni mchepuko wako.
View attachment 1398791
mkuu ushahidi murua huu
 
Kuna watu wajinga sana,hivi hii dunia nchi zoooote za kwenda hawazioni ..mtu unaenda lebanon,afghanstan,oman,pakistan. .!!!aisee wale jamaa wana roho mbaya kishenzi yan
 
Acha masihara mkuu , kwani baadhi ya serikali za kiafrika haziuwi watu mkuu ?
Hapana mkuu yule wa Arusha Sasa hivi ananyea ndo na watu walimwaga povu la hatari so shida ya wale wenzetu akiuwawa hata amsikii hatua zozote zikichukuliwa kwa muuwaji,yaani anauliwa Kama paka tu,hapa hizi serkali za kiafrika zinatakiwa kuungana kwenye suala Kama hili hatua ziwe zinachukuliwa dhidi ya wauaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom