Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hii nchi ya Lebanon,inatumia lugha ya kiarabu, na english ,lakini ina mchanganyiko wa makabila mengi duniani.Hata kiarabu chao ni mchanganyiko wa lugha tofauti.
Na wanafuata utamaduni wa kizungu zaid,kuliko wa kiarabu,kuanzia mavazi,chakula,maisha,harusi zao,shule zao,uzungu ni mwingi kuliko uarabu.Hata waislamu walioko Lebanon,kuwajuwa kama ni waislamu,uwe mwenyeji sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanafuata utamaduni wa kizungu zaid,kuliko wa kiarabu,kuanzia mavazi,chakula,maisha,harusi zao,shule zao,uzungu ni mwingi kuliko uarabu.Hata waislamu walioko Lebanon,kuwajuwa kama ni waislamu,uwe mwenyeji sana.
Ipo Western Asia
Sent using Jamii Forums mobile app