Uzalendo umebeba vitu vingi sana. Tukianza kuwafundisha uzalendo wa kuheshimu Mali za ndani nadhani hata za nje pia wataziheshimu vile vileUanze kumfundisha mtoto gani kulinda rasilimali wakati anaona unavyobadilisha mipira hapo uwani kwako. Leo Range kesho Discovery keshokutwa Benz. Mtoto gani atakuelewa umwambie uzalendo ni kushika bomba kwenye Eicher
Hiko kitengo kipo kwa ajili ya watu kula mshahara tu. Ni sawa na TAKUKURU tu hapo unakuta boss ana mgao toka maeneo yote nyeti mtakaosumbuliwa ni vidagaa tu 🤣🤣🤣Kinachunguza nini hicho kitengo?
Hahahah mali za ndani zitaheshimiwa ila za nje sidhani. Hakuna mtu anayeweza kuchagua njia ngumu ikiwa rahisi ipo.Uzalendo umebeba vitu vingi sana. Tukianza kuwafundisha uzalendo wa kuheshimu Mali za ndani nadhani hata za nje pia wataziheshimu vile vile
Mfano halisi ni yule chipukizi wa singida fc, utamfundisha nini na anaona sajili mpya tu kila uchwao wa magari na wachezaji.Uanze kumfundisha mtoto gani kulinda rasilimali wakati anaona unavyobadilisha mipira hapo uwani kwako. Leo Range kesho Discovery keshokutwa Benz. Mtoto gani atakuelewa umwambie uzalendo ni kushika bomba kwenye Eicher
Si huyo Mwigulu nimemtaja, kama unachokisoma huelewi basi hata picha huioni?Aliyemteua ndio mbumbumbu
amesamehewa kwa maagizo kutoka juu,Baada ya kukutwa na hizo b7 kimefanyika nini?
Hahahahhaha kibaya zaidi wanaweza kukuua kabisa kama utakuwa mtu wa gozigoziKama mtu amepata nafasi kwa kuhonga unategemea anarudishaje? nchi ya kijinga sn hii wewe iba kwa nafasi yako maswala sijui ya uzalendo achana nayo kabisa vinginevyo utakuwa ni mjinga sn wenzako wanatajirika wewe unawaza uzalendo
Huyo mtu anajulikana white house ndio maana hajatajwa hata jina. Sasa wewe kinyangarika wa Ileje iba hata laki kwenye mfumo uone utakavyopamba magazeti week nzima na mahakimu walivyo fasta kumaliza hukumu.😂amesamehewa kwa maagizo kutoka juu,
Alafu bado tunahimizwa na kufosiwa kulipa kodi.amesamehewa kwa maagizo kutoka juu,
Nyerere ndo maana alikataa hawa watumishi wa serikali kuwa wafanya biashara sababu aliona loopholes ambazo wangezitumia kujitajirisha kwa kivuli cha uofisa serikalini.Kama anafanya biashara zingine mfano madini hizo ni pesa ndogo sana
Hahahah imagine hio kodi ni ya watu wangapi wa huku grassroot halafu imepaki kwenye container la afisa TRA pale kwenye bustani yake.Bil 7. Hii nchi inasikitisha sasa nalipa kodi ya nini aseee.
Mkuu unajuaje labda hizo ni chenchi baada ya zingine kuingiza kwenye mzunguko.Mtu anshindwa kutakatisha hizo hela akaziingiza ktk mzunguko? Kuna vi2 vingine ni vya kijinga sana.
"Kidata kadata".....Nimekupata..!Si huyo Mwigulu nimemtaja, kama unachokisoma huelewi basi hata picha huioni?
Neno HIARI kwenye kulipa kodi kwangu limekufa rasmi.Alafu bado tunahimizwa na kufosiwa kulipa kodi.
Hongera sana Mkuu Extrovert ni wachache sana hapa Tz wenye moyo kama huo. Wengi wabinafsi, anaona yeye anajitosheleza, wengine watajijua wenyewe.Kuna mtu mmoja mpuuzi nilisoma bandiko lake Jana anadai eti, "Unaandamana mwisho uumie Kwa faida ya nani?"
Nilishangaa sana nikaona hapa mabadiliko itakuwa kitendawili.
Mimi nilifanya mageuzi kwenye chuo nilichokuwa nasoma ilinigharimu ila kizazi nilichoacha kilifurahia mabadiliko ya ghafla. Imagine chuo kikuu hakina facilities za kutosha mnahama na viti kwenye venues. Wifi Hamna mnahangaika na ma bundles na system ya usajili hakuna mnapanga foleni siku nzima mnasota kwenye mabenchi.
Yote haya yalifanyiwa changes kabla hata sijamaliza third year ila ni matatizo ambayo yalikuwepo toka naanza certificate management ikawa inaona sawa tu.
Sawa Fanya mageuzi Kwa nchi Sasa Ili ufe wengine wale pesa sio unaongelea kwenye shuka unataka nani akupambanieKuna mtu mmoja mpuuzi nilisoma bandiko lake Jana anadai eti, "Unaandamana mwisho uumie Kwa faida ya nani?"
Nilishangaa sana nikaona hapa mabadiliko itakuwa kitendawili.
Mimi nilifanya mageuzi kwenye chuo nilichokuwa nasoma ilinigharimu ila kizazi nilichoacha kilifurahia mabadiliko ya ghafla. Imagine chuo kikuu hakina facilities za kutosha mnahama na viti kwenye venues. Wifi Hamna mnahangaika na ma bundles na system ya usajili hakuna mnapanga foleni siku nzima mnasota kwenye mabenchi.
Yote haya yalifanyiwa changes kabla hata sijamaliza third year ila ni matatizo ambayo yalikuwepo toka naanza certificate management ikawa inaona sawa tu.
Madhara yake ndio yamezaa huu ufisadi wale watumishi waliokuwa waaminifu na wazalendo serikali iliwatupa wakawa na maisha magumu zaidi ya mbwa wengi walikufa kwa stress za kubezwa na kuchekwa si ulijifanya mnoko kipo watu hata sh elf 2 huna, matokeo yake wakajaa sana chuki na kuwapandikiza watoto wao roho za wizi na upigaji ili watoto wao wasijeishi maisha mabovu kama wao.Nyerere ndo maana alikataa hawa watumishi wa serikali kuwa wafanya biashara sababu aliona loopholes ambazo wangezitumia kujitajirisha kwa kivuli cha uofisa serikalini.
He was too smart in that idea ila mbaya zaidi wamepuuzwa. Nadhani katiba ijayo izingatie hilo. Mtu achague biashara au siasa na utumishi wa umma. Huwezi kuwa mwanasiasa na mfanyabiashara at the same time. Hili ndilo linachochea ubadhirifu wa mali za umma.
True!! Huyu jamaa ni mwizi sana.Ni nchi yetu pekee ambapo Public Servant anaruhusiwa kumiliki na kuendesha Club ya soka wakati mshahara wake unajulikana.
Na Chopa !Huu upigaji TRA uoifanyika kipindi Cha Kidata ambaye wafanyakazi wa tra walisema alikua mnoko mpaka wengine wakafanya sherehe alipoondoka.
Sasa mnoko ameondoka tutegemee watu wa TRA wakiendesha LC300.