Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Huyo kiboko😂😂😂😂😂😂
Me nakaa na kisu ndiyo raha, sasa kuna Mama Kija yeye alikuwa anakula na kijiko, unakuta tikiti limechimbwa kama shimo..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kiboko😂😂😂😂😂😂
Me nakaa na kisu ndiyo raha, sasa kuna Mama Kija yeye alikuwa anakula na kijiko, unakuta tikiti limechimbwa kama shimo..!!
Nae ni hayo hayo ukiona limelala ujue ni kubwa zaiid na alipate jioni ila likija mapema likifikq asubuhi labda asahau 😂😂😂😂😂
Ila honestly me nasemea yale ya 1K na 2K, siyo yale makubwa kama nyumba..!!
Kabla sijalala nala nusu, kisha naweza amka zangu katikati ya usiku nikamalizia kipande changu fresh..!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jaman…
Mpenzi wako akiwa mshkaji wako kuna uwezekano mkubwa sana wa kujuana zaidiakikudanganya/akichukia/akiwa na furaha sana/akiwa na huzuni/siku yake haijakuwa nzuri kabla hata ya kumuuliza…na mengineyo.
Mwite majina ya kishkaji,mwamba,mwana,na mengineyo lakini isiwe too much sasa na nyie loh😁😁..
Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆
Haya msichukulie maisha siriazi sasa na nyie😁
Kuna kuwaga na maisha halafu na muda wa mapenzi💞.nafikiri Niko kwenye mapenzi wakati huu sitaki kugombezwa😁😁🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
View: https://youtu.be/XhVwmbdIDhg?si=25XiVyiSLFMYZs98
Tajiri unataka kunipa hela? 😂😂😂
Chukua notes😂Tajiri unataka kunipa hela? 😂😂😂
Sizitaki me nataka pesa tyuuu!! 🤣🤣🤣Chukua notes😂
Pesa tayari unazo, au unataka kushindana na Mo dewji?😂Sizitaki me nataka pesa tyuuu!! 🤣🤣🤣
Kantri hii tabia siipendi ya kunipa utajiri nisiokua nao 😂😂😂😂Pesa tayari unazo, au unataka kushindana na Mo dewji?😂
Sasa kwahiyo ndie mwenye hasira na mwanamke kuliko aliyemuumba sio!haya kula👊Me sicheki na kiumbe anakula deal na Nyoka Kisha kufanikisha ME tuishi kwa mateso tukiwachumia Huku tunawahi kufa.
Never.
Nikilala nae room Reticular Articulation system iko on 99% no delaying.
Nipe maelekezo ya kuandaa chai kupitia huo mdomo😅Kunywa chai inatoaga baridi ujue
Chenk yuuu ,tuuuchenk yuuuu🤗🤗