Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Tatizo huyu anataka watu twende na vyeti vya elimu yetu eeeh ....kwani tu naomba kazi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huyu anataka watu twende na vyeti vya elimu yetu eeeh ....kwani tu naomba kazi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio hap8 chachaaaTatizo huyu anataka watu twende na vyeti vya elimu yetu eeeh ....kwani tu naomba kazi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kavurugwa huyu ataolea mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio hap8 chachaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha matusi wewe. Kwahiyo mashimo ya dadazetu ni kubwa sana?watoto wa kichina si watamua sana kwenye mambo haya... miaka yangu mitano nlifanikiwa wawili tu coz nao wana woga na kaubaguzi flan. wanaogopa pia kuwa mashine za waswahili ni kubwa kwao.
Nani alikuambia heshima ni kitu cha bure, heshima ina gharama. Ukiona mtu anaitwa muheshimiwa ujue upepo umemtoka kweli kweli, ukiona unaitwa majina mazuri ujue umetolewa upopeEveryone has their choice.just respect mine. Heshima ni kitu cha bure sana kwa wanawake wenye ufaham.wewe watumie hao uliowataja kwa nini unipangie maisha mama?
Kwa kweli, maana huko kitaa wana soko hatariimwenye umbo lake aje kubahatisha kutafuta mtu humu tena mbuzi kwenye gunia wakati huko nje anagombaniwa.
hahaaa
ndio " mpe huyo hahaaBasi bwana inasemwa sasa hivi Rombo wanazaliwa sana watoto weusi kwakua wanaume wa Rombo hawana nguvu za kiume wanawake zao wanaenda kumegwa Kenya
Wabongo kwa kupenda misambwanda utawaweza mkuu... China pasi imetembea kule
Naona mkuu hutaki fursa ikupiteAhsante sana mkuu mkuu kwa kumsoma Da'Vinci na kumkubali.
Ila vinci ana shida ya ajira tu ndugu yangu kama unaweza msaidia itapendeza🙈🙈🙈
Fursa 2015 kamata fursa twenzetu..Naona mkuu hutaki fursa ikupite
Ni yule aliyechunwa laki mbili kwa siku moja [emoji2]Mkuu huyu sio mgeni. Ni mwenyeji ila kaja na id mpya. Yaani hapa najiuliza ni nani alituambia wiki iliyopita iliyopita kuwa atakuja na Id mpya kutafuta mchumba sababu ya zamani anaionea aibu. Ngoja ntamjua tu.
Ewaaaaaaaa huyohuyo na mimi nimekumbuka mkuu. Ngoja nikupe like.
Nimeshangaa sana...itakuwa domo zege huyuuAcha uvivu ingia mitaani ujitafutie mwenyewe
Wewe hauko single?Utaaambiwa "wanawake wa jf wadangaji" jamani fursa hiyo kwa mlio single na mnahitaji kuolewa fasta
Sent using Jamii Forums mobile app