Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
I have been in financial industry for more than 5 years now.
Ponzi scheme are everywhere, beware!!!
Ponzi scheme are everywhere, beware!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅TayarView attachment 2720635
Nasikia makelele mtaani vipi tayari kimejibu ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kudaaaaaaaaaadeki
Kimeumana tealiView attachment 2720635
Nasikia makelele mtaani vipi tayari kimejibu ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kudaaaaaaaaaadeki
Nimekusoma vizuri ulisema kwa niaba yao wakumake doo onilaini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeusoma vibaya huo mwandiko wangu!... Mi ninafuraha hakuna matata..
Sahivi wanajambajamba tu..😂Nimekusoma vizuri ulisema kwa niaba yao wakumake doo onilaini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wale huwa wanaajiri motivational speakers wasomi so huwa wanawalewesha wateja kwa maneno matamu,kwanza wanaanza kwa kukupa jazba ya kuuchukia umaskini na kuutamani utajiri baada ya hapo kila anayekushauri unamchukia na kumuona maskini.Hawa jamaa wa upatu
Kuna MDA nahisi wanatumia ushirikina
Maana wateja wao Wana vichwa vigumu sana
Hivi na yenyewe imeishia wapi au ndio walishapigwa na mchezo ukaishaNmeikumbuka ile vanilla ya mamilioni kule iringa[emoji28][emoji28][emoji28]
Na huyu Mr kuku alizuiliwa na serikali sasa ilikuwaje akaruhusiwa tena aendeleeMkuu wajinga hawaishi hata siku moja hata kila siku kuwe na vipindi kwenye radio/TVs zote wakitoa elimu kuhusu utapeli wa ponzi scheme.....Ponzi scheme ilianza kushika chati around 2006 au 7 Faidika Investiment wakapiga pesa wakasepa ,wakaja kina deci ,wakaja qnet,wakaja wauza alovera etc hao wote wanawapiga watu na wanaendelea kuwapiga ,kaja mr kuku kawapiga mabilioni watu wakasanuka ,amekuja na idea nyingine mr kuku anawapiga tena watu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa hawashauriki hadi waone matokeo ya mwisho kwa macho yaoItakuwa kweli,Kuna jamaa angu nimemsikia Leo analalamika kuwa anashindwa kutoa Hela
Na huyu Mr kuku alizuiliwa na serikali sasa ilikuwaje akaruhusiwa tena aendelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanawaliwaza ili wapate muda wa kutosha wa kuzihamisha pesa zote bila makeleleEti wanaupdate mfumo wa kutoa hela toka majuzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Dah kuna watu wana bahati sana kwenye hii dunia,analetewa tu mahela ya bure na wajingaNdiyo ujue wajinga hawaishi ,anaendelea kuwapiga watu kwenye kuwekeza kwenye kilimo na watu wanalia hasa kwa kulizwa mamilioni.
raha sanaaView attachment 2720635
Nasikia makelele mtaani vipi tayari kimejibu ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kudaaaaaaaaaadeki