Mfumo imara huhitaji watu imara. Tanzania tuna watu wavivu walalamishi, waongo na walafi

Mfumo imara huhitaji watu imara. Tanzania tuna watu wavivu walalamishi, waongo na walafi

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao?

Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi zao na hasa haki zao za msingi na iwapo sheria, taratibu na haki zao katika nchi zikivunjwa au kuminywa hujua hatua stahiki inayopaswa kuchukuliwa.

JE, TUNAO HAO WATU?

Mfumo imara sheria zake hazipo kulinda sana viongozi ILA kulinda nchi na ukumbuke wanaopitisha hizo sheria ni hao hao viongozi.

JE TUNAO VIONGOZI AMBAO WAKO TAYARI KWA LOLOTE DHIDI YAO WANAPOKIUKA/VUNJA SHERIA ZA NCHI.?

mfumo imara huwaondoa watumishi wengi wavivu,wasiozalisha au wenye magonjwa ya muda mrefu(mfano kwa muda wa miaka mitatu na kuendelea katika utumishi) je watumishi wa serikali wako tayari kwa hilo?

mfumo imara hupelekea kuawawa kwa viongozi na watu wenye ushawishi pale maslahi ya nchi yanapokuwa na tishio dhidi yao.

JE, HAWA WATU WAKO TAYARI?

Mfumo imara hupelekea vitu kufanyika kwa uangalizi wa karibu sana (na hapa watendaji wengi wa serikali huwa hawapendi kufuatiliwa utendaji wao wa kila siku na chuki huanzia hapa, japo hao hao ndio wanaolilia mifumo imara..?)

Mfumo imara uruhusu vyombo vya habari kuwa huru na kuruhusu habari za kiuchunguzi kufanyika taasisi za kiserkali na kibinafsi na kuwalinda waandishi hao isipokuwa zile habari tu ambazo zinaweza kuwa ni tishio kwa nchi kuwekwa kwa umma japo pia huwanyiwa kazi na vyombo husika.

JE TAASISI GANI IKO TAYARI IKIWA TUNAJUA MADUDU YAO KILA SIKU JAPO YANAFICHWA..hapa kila mwaka viongozi watakuwa wanabadilika kwenye hizo taasisi na mtaanza kulaumu mamlaka za uteuzi.

NB. mifumo imara ni ngumu sana kwa nchi za Kiafrika,Asia na baadhi ya nchi za Amerika kusini.

Zote hugemea kiongozi mkuu anatakaje kuondesha nchi basi waliobakia wote hufuata mwelekeo wake.

Akiwa mzuri nchi itastawi ila akiwa mbovu nchi huzama shimoni.
 
Kama ntakuwa nimemuelewa, anasema hivi mfumo si chochote Bali mtu ndo kila kitu, so tz bila mwendakuzimu mambo hayaendi, kama tunataka yaende, basi samia aachie ngazi kijiti akamate sabaya au makonda, au kikosi kazi cha kuteka na kuua.
Amemiss kuona watu wanatekwa hovyo na kuachwa familia zao kwenye hali ngumu
 
Point yako ni ipi mkuu?
TUNAO HAO WATU WA KUSIMAMIA HUO MFUMO UWE IMARA? kumbuka mfumo imara ni kanuni na taratibu tulizojiwekea(KANUNI NA SHERIA ZENYE KUANGALIA MASLAHI YA NCHI TU) na ni zipo tatizo zinasimamiwa na KINA NANI? je bunge likifanya kazi vile ilivyoanishwa kikatiba je huoni kwamba uimara wa bunge utakuwepo na umeelezwa kikatiba?mahakama nayo? hata Dola nayo ni hivyo hivyo majukumu yao kikatiba yako wazi na yakitelezwa ipasavyo utapata serikali imara......TATIZO KUU SIO MFUMO IMARA SABABU UPO ILA WATU IMARA WA KUSIMAMIA MFUMO HATUNA TANZANIA,ZAIDI TUNA WAVIVU,WALAFI, WAONGO ,WALALAMISHI NA WAOGA NDIO TUNAO.......MFUMO IMARA HAUSIMAMIWI NA MALAIKA ILA UNASIMAMIWA NA WATU MAJASIRI,WACHAPAKAZI NA WALIOWEKA MASLAHI MBELE YA TAIFA LAO.
 
TUNAO HAO WATU WA KUSIMAMIA HUO MFUMO UWE IMARA? kumbuka mfumo imara ni kanuni na taratibu tulizojiwekea(KANUNI NA SHERIA ZENYE KUANGALIA MASLAHI YA NCHI TU) na ni zipo tatizo zinasimamiwa na KINA NANI? je bunge likifanya kazi vile ilivyoanishwa kikatiba je huoni kwamba uimara wa bunge utakuwepo na umeelezwa kikatiba?mahakama nayo? hata Dola nayo ni hivyo hivyo majukumu yao kikatiba yako wazi na yakitelezwa ipasavyo utapata serikali imara......TATIZO KUU SIO MFUMO IMARA SABABU UPO ILA WATU IMARA WA KUSIMAMIA MFUMO HATUNA TANZANIA,ZAIDI TUNA WAVIVU,WALAFI, WAONGO ,WALALAMISHI NA WAOGA NDIO TUNAO.......MFUMO IMARA HAUSIMAMIWI NA MALAIKA ILA UNASIMAMIWA NA WATU MAJASIRI,WACHAPAKAZI NA WALIOWEKA MASLAHI MBELE YA TAIFA LAO.
Baada ya Magufuli kuharibu kabisa mfumo wa utawala wa sheria mnakuja na hoja za watu imara je hao watu imara wa kuisimamia hiyo mifumo wana hati milki ya roho zao???? Tatizo uwajibikaji kwa ccm ni tatizo kwa sababu chama kimejaa kulindana na fadhila zisizo na msingi halafu mtaji wa ccm ni uongo,wizi,ubabe na vyombo vya dola.
 
Baada ya Magufuli kuharibu kabisa mfumo wa utawala wa sheria mnakuja na hoja za watu imara je hao watu imara wa kuisimamia hiyo mifumo wana hati milki ya roho zao???? Tatizo uwajibikaji kwa ccm ni tatizo kwa sababu chama kimejaa kulindana na fadhila zisizo na msingi halafu mtaji wa ccm ni uongo,wizi,ubabe na vyombo vya dola.
sijaona sababu ya kumuingiza magufuri.SUALA NI KUWA TZ HAKUNA WATU WA KUWEZA KWENDA KINYUME NA RAIS ALIYOPO MADARAKAN HATA AKIVUNJA SHERIA WAZIWAZI..
 
sijaona sababu ya kumuingiza magufuri.SUALA NI KUWA TZ HAKUNA WATU WA KUWEZA KWENDA KINYUME NA RAIS ALIYOPO MADARAKAN HATA AKIVUNJA SHERIA WAZIWAZI..
Hoja yako ni nzuri tatizo hatutaki kukubaliana na ukweli,mfano mfumo wa vyama vingi umeingia Tanzania 1994 kwa lengo kuhamasisha maendeleo na uhuru wa watu,sasa awamu iliyopita iliwaaminisha Watanzania wengi kuwa wanaoifilisi nchi ni vyama vya upinzani mwisho wakaishia kuishi maisha ya jela na mahabusu miaka yote mitano ya utawala wa Magufuri ili tu kuwaziba midomo ili afanye yale anayoyataka yeye na kuisahau Kabisa Katiba ya nchi inasemaje.
Akaamua kujenga Ikulu kwao na vitu vingine vingi akapeleka kwao kwa kisingizio cha uzalendo,kilichomshinda kupeleka kwao ni Mlima Kilimanjaro na Bahari ya Hindi lakini vitu vingi alipeleka kwao.Hata ajira alipendelea sana watu wa kwao kwa kisingizio cha uzalendo feki,je hapo mfumo wa sheria za nchi ulifuatwa sawasawa?
 
Ukiwa Afrika sahau hivyo vitu

Huku watawala wamejiwekea kinga ya kutoshtakiwa wakiwa madarakani au wakiwa wamestaafu. Na bahati mbaya wakisimama kwenye majukwaa ya kisiasa hujikuta wanaongea as if ni wenzetu katika Umasikini, kumbe wapi bwana

Mfumo, Mfumo, Mfumo hili ni Zimwi linalotumiwa na Watawala kuhakikisha wanaendelea kusalia madarakani huku tukitopea kwenye Lindi la Umasikini hadi kurudi kwa Messiah
 
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao?

Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi zao na hasa haki zao za msingi na iwapo sheria, taratibu na haki zao katika nchi zikivunjwa au kuminywa hujua hatua stahiki inayopaswa kuchukuliwa.

JE, TUNAO HAO WATU?

Mfumo imara sheria zake hazipo kulinda sana viongozi ILA kulinda nchi na ukumbuke wanaopitisha hizo sheria ni hao hao viongozi.

JE TUNAO VIONGOZI AMBAO WAKO TAYARI KWA LOLOTE DHIDI YAO WANAPOKIUKA/VUNJA SHERIA ZA NCHI.?

mfumo imara huwaondoa watumishi wengi wavivu,wasiozalisha au wenye magonjwa ya muda mrefu(mfano kwa muda wa miaka mitatu na kuendelea katika utumishi) je watumishi wa serikali wako tayari kwa hilo?

mfumo imara hupelekea kuawawa kwa viongozi na watu wenye ushawishi pale maslahi ya nchi yanapokuwa na tishio dhidi yao.

JE, HAWA WATU WAKO TAYARI?

Mfumo imara hupelekea vitu kufanyika kwa uangalizi wa karibu sana (na hapa watendaji wengi wa serikali huwa hawapendi kufuatiliwa utendaji wao wa kila siku na chuki huanzia hapa, japo hao hao ndio wanaolilia mifumo imara..?)

Mfumo imara uruhusu vyombo vya habari kuwa huru na kuruhusu habari za kiuchunguzi kufanyika taasisi za kiserkali na kibinafsi na kuwalinda waandishi hao isipokuwa zile habari tu ambazo zinaweza kuwa ni tishio kwa nchi kuwekwa kwa umma japo pia huwanyiwa kazi na vyombo husika.

JE TAASISI GANI IKO TAYARI IKIWA TUNAJUA MADUDU YAO KILA SIKU JAPO YANAFICHWA..hapa kila mwaka viongozi watakuwa wanabadilika kwenye hizo taasisi na mtaanza kulaumu mamlaka za uteuzi.

NB. mifumo imara ni ngumu sana kwa nchi za Kiafrika,Asia na baadhi ya nchi za Amerika kusini.

Zote hugemea kiongozi mkuu anatakaje kuondesha nchi basi waliobakia wote hufuata mwelekeo wake.

Akiwa mzuri nchi itastawi ila akiwa mbovu nchi huzama shimoni.

Mfumo imara ni ngumu sana kwa nchi changa...tuko kwenye survival mode..kuanzia ngazi za juu za uongozi mpaka chini watu wanapambana kupata basic needs...hatuna accountability

JPM amejitahidi kurudisha nidhamu ya kazi, accountability na kuelimisha wajielewe kwanini wako kwenye hizo position...naamini tungeendelea nae miaka mingine 10 huenda tungenyooka vya kutosha na kukomaa uzalendo maana tabia huzaa mazoea, tungezoea kubana matumizi yasio ya lazima, tungezoea kuishi bila kupiga madili kwenye pesa za umma, tungezoea kutatua kero za wananchi bila kusubiria ziara ya Raisi ...na hapo ingekuwa mtelezo kutengeneza mifumo imara ambayo itaendesha nchi bila kutegemea tena aina ya kiongozi awe mpole ama mkali kazi zinaenda maana watumishi tayari wanajielewa...
 
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao?

Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi zao na hasa haki zao za msingi na iwapo sheria, taratibu na haki zao katika nchi zikivunjwa au kuminywa hujua hatua stahiki inayopaswa kuchukuliwa.

JE, TUNAO HAO WATU?

Mfumo imara sheria zake hazipo kulinda sana viongozi ILA kulinda nchi na ukumbuke wanaopitisha hizo sheria ni hao hao viongozi.

JE TUNAO VIONGOZI AMBAO WAKO TAYARI KWA LOLOTE DHIDI YAO WANAPOKIUKA/VUNJA SHERIA ZA NCHI.?

mfumo imara huwaondoa watumishi wengi wavivu,wasiozalisha au wenye magonjwa ya muda mrefu(mfano kwa muda wa miaka mitatu na kuendelea katika utumishi) je watumishi wa serikali wako tayari kwa hilo?

mfumo imara hupelekea kuawawa kwa viongozi na watu wenye ushawishi pale maslahi ya nchi yanapokuwa na tishio dhidi yao.

JE, HAWA WATU WAKO TAYARI?

Mfumo imara hupelekea vitu kufanyika kwa uangalizi wa karibu sana (na hapa watendaji wengi wa serikali huwa hawapendi kufuatiliwa utendaji wao wa kila siku na chuki huanzia hapa, japo hao hao ndio wanaolilia mifumo imara..?)

Mfumo imara uruhusu vyombo vya habari kuwa huru na kuruhusu habari za kiuchunguzi kufanyika taasisi za kiserkali na kibinafsi na kuwalinda waandishi hao isipokuwa zile habari tu ambazo zinaweza kuwa ni tishio kwa nchi kuwekwa kwa umma japo pia huwanyiwa kazi na vyombo husika.

JE TAASISI GANI IKO TAYARI IKIWA TUNAJUA MADUDU YAO KILA SIKU JAPO YANAFICHWA..hapa kila mwaka viongozi watakuwa wanabadilika kwenye hizo taasisi na mtaanza kulaumu mamlaka za uteuzi.

NB. mifumo imara ni ngumu sana kwa nchi za Kiafrika,Asia na baadhi ya nchi za Amerika kusini.

Zote hugemea kiongozi mkuu anatakaje kuondesha nchi basi waliobakia wote hufuata mwelekeo wake.

Akiwa mzuri nchi itastawi ila akiwa mbovu nchi huzama shimoni.
Jitahidi sana kuwa muangalifu wakati unaandika masuala yenye kutaka ufahamu hapa JF, kuna kila vipaji vya ufahamu kwa ngazi mbali mbali.

Umeandika vitu ambavyo vimekuzidi uwezo wako wa kuielewa na kuwakilisha, wakilisha masuala ambayo unafanana navyo lakini sio ambavyo uelewa wako uko nusu nusu.

Usipokuwa mwangalifu utatoa sana povu hapa na utakuwa mpotoshaji na kujibu kwa kebehi.
 
Jitahidi sana kuwa muangalifu wakati unaandika masuala yenye kutaka ufahamu hapa JF, kuna kila vipaji vya ufahamu kwa ngazi mbali mbali.

Umeandika vitu ambavyo vimekuzidi uwezo wako wa kuielewa na kuwakilisha, wakilisha masuala ambayo unafanana navyo lakini sio ambavyo uelewa wako uko nusu nusu.

Usipokuwa mwangalifu utatoa sana povu hapa na utakuwa mpotoshaji na kujibu kwa kebehi.
Mkuu unaelewa vipi mfumo imara? je mfumo imara unafanyaje kazi.......? je mfumo imara unadhani unaishia kwenye viongozi wa kisiasa tu ? We unadhani mfumo imara utasimamiwa na Malaika zaidi ya hawa watu tulionao? Hivi unadhan katiba yetu ingesimamiwa vile ipasavyo ungeyasikia haya malalamiko ....?KIFUPI MIFUMO IMARA MTAISIKIA KWA BAADHI YA NCHI ZA ULAYA MAGHARIBI NA AMERIKA KASKAZINI TU....ILA HUKU KWINGINE TUKUBALI TU MTAWALA MKUU NDIO KILA KITU......
 
Jitahidi sana kuwa muangalifu wakati unaandika masuala yenye kutaka ufahamu hapa JF, kuna kila vipaji vya ufahamu kwa ngazi mbali mbali.

Umeandika vitu ambavyo vimekuzidi uwezo wako wa kuielewa na kuwakilisha, wakilisha masuala ambayo unafanana navyo lakini sio ambavyo uelewa wako uko nusu nusu.

Usipokuwa mwangalifu utatoa sana povu hapa na utakuwa mpotoshaji na kujibu kwa kebehi.
ni nani anaweza kwenda kinyume na mtawala hapa tz? Ikiwa yupo katika nafasi ya kuteuliwa? Nadhan wewe ndio huelewi kitu,tunajifunza kuptia maandiko mbalimbali ya nchi zenye mifumo imara na nin kilipelekea hivyo.Moja ya sababu kuu ni ujasiri na uimara wa wananchi wao katika kutenda,kufuatilia,kujiamini juu ya jambo lolote linalo husu nchi yao
 
Back
Top Bottom