Mfumo imara huhitaji watu imara. Tanzania tuna watu wavivu walalamishi, waongo na walafi

Ukiangalia nchi kubwa kiuchumi zote zilipitia changamoto ya vita kuondoa tabaka la juu la kifalme, kifisadi, kihuni kwa ukatili ama kwa udikteta na kulinyoosha Taifa.

Ufaransa (1770), UK (1600), USA (1776) baadaye, pia Russia( 1917 - 1922), China (1927 - 1949)

Singapore, South Korea, Malaysia, zote zilikuwa na wababe wakaondoa kwa kiasi kikubwa matabaka, udini, ukanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…