A
Anonymous
Guest
Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma iangalie vizuri mfumo wa Ajira Portal unatutesa tunashindwa kutuma maombi, kila ukijaza taarifa hazifiki asilimia 70 na pia hakuna mfumo wa kubadili vyeti ulivyoviweka ili kuweka vingine.
Sijui inakuwaje na ajira zote zinatumwa huko.
Sijui inakuwaje na ajira zote zinatumwa huko.
Habari, niawasilisho juu ya changamoto ya mfumo wa ajira portal. Mfumo unaotumika kuombea ajira kielectroniki.
Changamoto ya kwanza ni mfumo kua mgumu Kwa wa tahini wa wengi. Hivyo kupelekea ugumu wakati wakuingiza taarifa na hata kukosea kutokana na baadhi ya taarifa za chuo na mwanafunzi kutokuwekwa kwenye mfumo. Mfano baadhi ya chuo havipo na instap vyeti na Mafunzo, pia baadhi ya taarifa zikiingizwa kwenye mfumo huwezi zifuta hivyo kufanya wanafunzi wengi kuzikosa fursa kutokana na ugumu huo.
Ombi langu Kwa wanaohusika, kuzitambua changamoto zote, kuzishughulikia baada ya kuzipokea, pia na lugha nzuri haswa kwa wote watakao hitaji kusaidiwa, na la mwisho eneo la upakiaji wa Cheti lipa te nafasi ya kufuta Cheti endapo umekosea kuingiza taarifa zako binafsi ili kuwezesha waombaji wa nafasi za kazi tofauti tofauti kuombea nakutopitwa na fursa hizo. Nawasilisha