KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wizara inayohusika na mfumo wa ajira potal hebu isikie kero za watu juu ya huo mfumo, imekuwa shida kubwa sana kutuma maombi ya kazi kupitia mfumo huo maana huwezi kutuma maombi mpaka ufike asilimia 70% kila ukijaza hazifiki lakini pia huwezi kuondoa vyeti ulivyoviweka kuweka vyengine pia huwezi kufuta account ni shida tu.
Take time brother nenda taratibu jaza kitu kimoja Hadi kingine.Popote unaposhindwa kupaelewa rudia kusoma tena utaelewa utashangaa asilimia 90 chap Sana.
 
Ndugu zangu,email inayohitajika iwekwe ili kujisajili ajira portal ni ya namna gan? Mimi kila nikiweka niliyocreate kwa my own simu wanakataa wanadai email exist.au kujisajili kwa simu haiwezekani hadi kwenda internet cafe?
 
Wakuu, nahitaji nimsajili mdogo wangu ajira portal. Sasa kila nikitaka kufanya kwa simu nikiweka email inaandika email exist hivyo inagoma kuendelea na mchakato,vp nitengeneze email mpya au huu mchakato ni mpaka kutumia computer?
 
Ndugu zangu,email inayohitajika iwekwe ili kujisajili ajira portal ni ya namna gan? Mimi kila nikiweka niliyocreate kwa my own simu wanakataa wanadai email exist.au kujisajili kwa simu haiwezekani hadi kwenda internet cafe?

Maana yake tayari ulishafungua account ya ajira portal kwa kutumia hiyo email. Cha kufanya, fanya kuforget password watakutumia code kwa ajili ya kureset password.
 
Wakuu, nahitaji nimsajili mdogo wangu ajira portal. Sasa kila nikitaka kufanya kwa simu nikiweka email inaandika email exist hivyo inagoma kuendelea na mchakato,vp nitengeneze email mpya au huu mchakato ni mpaka kutumia computer?
Maanake hiyo email imeishatumika fungulia email nyingine
 
Mwenye shida na ajira portal lete changamoto yoyote kama unashindwa kujisajilli au tatizo lolote karibuni.

Karibuni wakuu.
 
Wakuu, nahitaji nimsajili mdogo wangu ajira portal. Sasa kila nikitaka kufanya kwa simu nikiweka email inaandika email exist hivyo inagoma kuendelea na mchakato,vp nitengeneze email mpya au huu mchakato ni mpaka kutumia computer?
Inaonesha hiyo email ilishatumika. Pengine mdogo wako alishajisajili.

Jaribu kulog in, then click sehemu inayoonesha umesahau password. Watakutumia link kwenye hiyo email, nenda kwenye email yako ufungue hiyo lini, alafu fatisha maelekezo.

Baada ya hapo kila kitu kitaenda smoothly
 
Kama ni mtumiaji wa hii website utagundua kwamba kwenye academic certificates huwezi kubadilisha vyeti.

Sasa hii siyo fair nataka kunyimwa ajira hivi hivi. Binafsi nili upload zaman vyeti Og (pdf) sasa maombi ya sasa yanataka viwe certified na mwanasheria.

Na hairuhusu kubadili wala kufuta kama sehemu zingine
 
Wapigie Simu wameweka Namba pale watakupa utaratibu au wacheck kwenye email hawana longolongo watakupa mbwinu ya kufanya ili ku-upload

Ni Mimi tu ndio naona hivi au? Huyu mboni anaweza ku-update Wewe unakwama wapi?
Screenshot_20240709_174816.jpg
 
Back
Top Bottom