Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
kivp nawasiliana naoUmewasiliana na utumishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kivp nawasiliana naoUmewasiliana na utumishi?
hapa wameweka unaweza update ila ukisha update ukiview unakuta imebaki ile ile ya mwanzo!! tofauti na sehemu nyingine ambazo ukibadilisha vitu vinavadilikaWapigie Simu wameweka Namba pale watakupa utaratibu au wacheck kwenye email hawana longolongo watakupa mbwinu ya kufanya ili ku-upload
Ni Mimi tu ndio naona hivi au? Huyu mboni anaweza ku-update Wewe unakwama wapi?View attachment 3037720
una namba zaoUmewasiliana na utumishi?
Sio kwelii ipo friendly saana unawezaa kuedit vizurii tuu na kubadilisha chetii kitu ambacho huwezii kubadilisha ni Level yako ya elimu ukiweka huwezii kufutaa mpaka uwasiliane naoNilishaachanaga na hii portal mda Sana. Haiko user friendly kabisa. Ukiweka vyeti ndo mtokee no editing no what
sasa nitafanyaje mbona kilangaNilishaachanaga na hii portal mda Sana. Haiko user friendly kabisa. Ukiweka vyeti ndo mtokee no editing no what
Angalia hapo kwene academic wualification kama unaweza kubadili vyeti??Sio kwelii ipo friendly saana unawezaa kuedit vizurii tuu na kubadilisha chetii kitu ambacho huwezii kubadilisha ni Level yako ya elimu ukiweka huwezii kufutaa mpaka uwasiliane nao
Ndio mkuu unabadilii vizurii tuuAngalia hapo kwene academic wualification kama unaweza kubadili vyeti??
Sasa hapo u friendly uko wapi kama naweza kuweka cheti kwa makosa alafu nishindwe kukitoa?Sio kwelii ipo friendly saana unawezaa kuedit vizurii tuu na kubadilisha chetii kitu ambacho huwezii kubadilisha ni Level yako ya elimu ukiweka huwezii kufutaa mpaka uwasiliane nao
HuweziiiNdio mkuu unabadilii vizurii tuu
Hapo watu wa ICT wa utumishi wanafeli. Hakuna sehemu ambayo inapaswa kuwa more edited kama kwenye attachment ya vyeti vya shule. Maisha ya kishule hubadirika kila baada ya muda, nitashangaa sana kama tunaendelea kuishi kimazoea mpaka sasa despite ya kujigamba tupo kidigitali sasaKama ni mtumiaji wa hii website utagundua kwamba kwene academic certificates huwezi kubadilisha vyeti.
Sasa hii siyo fair nataka kunyimwa ajira hivi hivi.
Binafsi nili upload zaman vyeti Og (pdf) sasa maombi ya sasa yanataka viwe certified na mwanasheria.
Na hairuhusu kubadili wala kufuta kama sehemu zingine
yaan daahHapo watu wa ICT wa utumishi wanafeli. Hakuna sehemu ambayo inapaswa kuwa more edited kama kwenye attachment ya vyeti vya shule. Maisha ya kishule hubadirika kila baada ya muda, nitashangaa sana kama tunaendelea kuishi kimazoea mpaka sasa despite ya kujigamba tupo kidigitali sasa
sijui unaelewa unabadili vipi wakat chet cha mwanzo hakitoki??Ndio mkuu unabadilii vizurii tuu
Huwezii
mkuu Mimi nilishawahii kubadilisha mara kibao changamoto ni kwamba ukienda kuangalia unakuta kipo kile kile Cha mwanzo lkn tayari unakuta umeishabadilisha ukitaka ujue kama umebadilisha tumia device nyingnee kuingilia kwenye ajira Portal,,chukua hata simu nyingnee au PC ingia kwenye akaunti yako utaona cheti kimebadilika tayarii sijuii unanielewaasijui unaelewa unabadili vipi wakat chet cha mwanzo hakitoki??
naona atleast wewe umeongea ebu nijaribumkuu Mimi nilishawahii kubadilisha mara kibao changamoto ni kwamba ukienda kuangalia unakuta kipo kile kile Cha mwanzo lkn tayari unakuta umeishabadilisha ukitaka ujue kama umebadilisha tumia device nyingnee kuingilia kwenye ajira Portal,,chukua hata simu nyingnee au PC ingia kwenye akaunti yako utaona cheti kimebadilika tayarii sijuii unanielewaa
Ndio hivyo jaribu uonenaona atleast wewe umeongea ebu nijaribu
mkuu🤝🤝🤝ni kweli aisee hadi utumie application nyingineNdio hivyo jaribu uone
ww ongeza vyeti hivo vilivo sahihi vilivyo na muhuri usijal hata kama vya zaman bado vipoKama ni mtumiaji wa hii website utagundua kwamba kwene academic certificates huwezi kubadilisha vyeti.
Sasa hii siyo fair nataka kunyimwa ajira hivi hivi.
Binafsi nili upload zaman vyeti Og (pdf) sasa maombi ya sasa yanataka viwe certified na mwanasheria.
Na hairuhusu kubadili wala kufuta kama sehemu zingine
Piga simu kwenye hizo namba utataja majina yako na utaambiwa emai yakoNimesahau user name na password nafanyaje? Naomba jibu hapa hapa sio PM