Geok
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 164
- 420
Hii imenitokea sana mpk nikasema potelea mbali ajira za serikalini. Yn mfumo wa kiwaki sanamimi nina 100 percent ila inanigomea ku apply inaandika APPLICATION FAILED na nina kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imenitokea sana mpk nikasema potelea mbali ajira za serikalini. Yn mfumo wa kiwaki sanamimi nina 100 percent ila inanigomea ku apply inaandika APPLICATION FAILED na nina kila kitu.
Tumia PC mkuu. Kwny cmu utahangaika sana.Wakuu, nahitaji nimsajili mdogo wangu ajira portal. Sasa kila nikitaka kufanya kwa simu nikiweka email inaandika email exist hivyo inagoma kuendelea na mchakato,vp nitengeneze email mpya au huu mchakato ni mpaka kutumia computer?
Kumbe ni hivyo, basi afanyeAkiajiriwa kwa diploma atakaa mwak Mmoja athibitishwe kazini Kisha anawasilisha Ile degree kwa mwajiri Ili Ku upgrade
Hata mimi aisee sijui shida ni nini🙆♂️Hii imenitokea sana mpk nikasema potelea mbali ajira za serikalini. Yn mfumo wa kiwaki sana
Mkuu, cheti hakibadiliki kabisa yani. Hata mimi nina same problem, nataka nireplace vya zamani OG na hivi vya sasa ambavyo nimeUpdate. Yani ukimaliza kwenye kuView unakuta hamna badiliko IT'S SO FRUSTRATINGSio kwelii ipo friendly saana unawezaa kuedit vizurii tuu na kubadilisha chetii kitu ambacho huwezii kubadilisha ni Level yako ya elimu ukiweka huwezii kufutaa mpaka uwasiliane nao
Simu zao zinachukua MDA kupokea ni kupiga mara Kwa mara na kuwa mvumilivu, Mimi niliwapigia ilichukua kama DK 5 Ila walipokea, kuna jamaa nae aliwapigia ilichelewa lakin walipokea, chamsingi ni kuwa mpole tu, alafu tumia zile namba za kiofisi walioweka pale Ile unaanza+26 Yan sio ya mitandao hii voda, TG, nk tupunguze lawama sometimesNina changamoto kama yako na nikipiga simu hawapokei wapo busy sana hadi nashindwa nifanyeje...msaada pleasee