Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Ni kweli mkuu mara ya tano naona diploma lkn tunajifunza kwa kukosea madg ni kuwaambia wasiweke bachelor zao kwanza waanze na six au diplomaAjira za serikalini diploma wanapenda diploma Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu mara ya tano naona diploma lkn tunajifunza kwa kukosea madg ni kuwaambia wasiweke bachelor zao kwanza waanze na six au diplomaAjira za serikalini diploma wanapenda diploma Sana
Acha tu mkuu hii kitu ina boa kishenzi mkuuUnajiona kama una laana hv, unaona fursa zinakupita kisa degree 😂
Ni kweli mkuu mara ya tano naona diploma lkn tunajifunza kwa kukosea madg ni kuwaambia wasiweke bachelor zao kwanza waanze na six au diploma
Mkuu serikali kwa kawaida wanaogopa gharama za mtu wa bachelor lkn hata hivyo ndio maana hata watendaji wengi hawana utaalam wa kutosha kuendesha mambo ya jumuiyaHakika , Hata hapa nimeona ajira nyingi manispaa wanataka diploma na certificate tu.
Kiufupi serikali sijui Ina mpango gani na degree.
Mkuu serikali kwa kawaida wanaogopa gharama za mtu wa bachelor lkn hata hivyo ndio maana hata watendaji wengi hawana utaalam wa kutosha kuendesha mambo ya jumuiya
Nishawai kwenda ofisi fulani mwaka 2016 mtandao wa internet ukawa unasumbua huyo IT baada pukurushani zote bado akakwama
Nilikua na mdogo wangu kasoma VETA mambo ya ufundi ufundi wa computer na software dg alikua ni mcheshi kwa kuwa tulikua na haraka akamuuliza It bila uwoga akasema nini hasa kinasumbua dg akaambiwa
Chap dg akarekebisha mambo yakawa yanaenda ila hapo anaendesha vifaa vya IT ni sijui ni certificate holder
hawana makosa mbonaMkuu pole Sana, ila waliweka hivyo ili iwe kikwazo kwa wanaomba ajira.
Ajira ni haki kikatiba , mtanzania ana haki ya kufanya Kazi na kumuingizia kipato bila kuvunja Sheria za Nchi.
Sasa ukiwauliza psrs Kwa nini wamefanya hivyo , wametumia Sheria gani , kumzua mtanzania mwenye degree na diploma, ashindwe kuomba Kazi za diploma ,
Utangundua ni roho mbaya Tu, za viongozi wa TZ,
Psrs walitakiwa washitakiwe Kwa kuvunja Sheria, kwa kuwanyima haki wa Tanzania ya kupata Kazi wanayoitaka ili kujiingizia kipato
kivip mkuuAcheni kudanganyana
Tunaweka cheti cha MCT au leseni?yeah kwenye professional qualificationn if sijakosea
Huwez kufuta academic qualifications za ajira Portal, hy wanafanya wao wnyw ajira Portalkivip mkuu
Tatizo la degree maneno mengi ila vitendo viko diplomaMkuu serikali kwa kawaida wanaogopa gharama za mtu wa bachelor lkn hata hivyo ndio maana hata watendaji wengi hawana utaalam wa kutosha kuendesha mambo ya jumuiya
Nishawai kwenda ofisi fulani mwaka 2016 mtandao wa internet ukawa unasumbua huyo IT baada pukurushani zote bado akakwama
Nilikua na mdogo wangu kasoma VETA mambo ya ufundi ufundi wa computer na software dg alikua ni mcheshi kwa kuwa tulikua na haraka akamuuliza It bila uwoga akasema nini hasa kinasumbua dg akaambiwa
Chap dg akarekebisha mambo yakawa yanaenda ila hapo anaendesha vifaa vya IT ni sijui ni certificate holder
Hakuna namna unakuwa mpole tuuNipe uzoefu mkuu ulifanya nini sasa??
Maneno vs vitendoAjira za serikalini diploma wanapenda diploma Sana
Degree wana manenoManeno vs vitendo
Degree vs diploma
😂
Ebu tuliza akili mkuu leseni haujui kwaniTunaweka cheti cha MCT au leseni?
Kwanini ngumu sana kubadilisha emailNahitaji kubadili email nilio tumia kuji sajiri
watu wanafuta mkuuHuwez kufuta academic qualifications za ajira Portal, hy wanafanya wao wnyw ajira Portal
Aombe tu hiyo nafasi kwa cheti DiplomaSi anacheti cha diploma na wao wanataka mtu wa diploma?
Huwez juu yake kuna degreeAombe tu hiyo nafasi kwa cheti Diploma
Sasa tunawaambia hilo haliwezekani mnabisha si bora tuwaambie mfanye jinsi mnavyotaka..Huwez juu yake kuna degree