KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wapigie simu uwaambie wafute qualification ya degree ili ibaki Diploma
Kuna kipindi niliwahi kuwa na hii shida ila Mm nilitaka kufuta diploma afu ibaki form four/six, wakaniuliza hiyo diploma ni yako? Nkajibu ndio wakaniambia bc tulia hapo hapo.

Kwahy ht jamaa nae ataulizwa hy diploma ni yake? Atajibu ndio.
Ataulizwa hy degree ni yake? Atajibu ndio.
Bc kazi itakuwa imeisha hvy mana hizo zote n mali yake halali.
 
Andika vyovyote ila usisahau kusign, ila nashauri kutype na unaweza kufanya yote hayo kupitia simu yako. Mpaka sasa nimefanya interview mbili na barua zote nilitype kwenye simu mpaka kuweka sign
 
Habari. Wanashauri kuandika kwa mkono.
Source : Kutoka Chanzo cha kuaminika.
Chanzo cha kuaminika?
Tangazo halisemi uandike kwa mkono wala typing.

Anyway, ujue watu wana miandiko tofauti na ujue ajira Portal wanapokea maombi mengi sana na hii kazi inafanywa na watu sio mfumo, vp kama una muandiko mbovu na application yako iko kwa mtu ambaye hajafurahia muandiko wako na tayari amechoka kwa kufatilia application kibao?
 
Nilifungua account ajira portal siku za nyuma,

Nilipoteza simu na emails sikuwa nimenukuu wala siiijui.

Na sahivi siwezi login sina emails hiyo na sikumbuki password 🔑

Nafanje nipate Access ya account yangu

Msaada jamani
wapigie upate msaada
 
Mkuu sema usaidiwe!

Naweza watafuta hawa vijana nikawalipa kwa kazi yako, ili upate imani sahihi katika hili...

Watu wame pekenyua mpaka wamepata njia na wanaitumia vizuri
Sasa mkuu
 
Kuna kipindi niliwahi kuwa na hii shida ila Mm nilitaka kufuta diploma afu ibaki form four/six, wakaniuliza hiyo diploma ni yako? Nkajibu ndio wakaniambia bc tulia hapo hapo.

Kwahy ht jamaa nae ataulizwa hy diploma ni yake? Atajibu ndio.
Ataulizwa hy degree ni yake? Atajibu ndio.
Bc kazi itakuwa imeisha hvy mana hizo zote n mali yake halali.
Ukikataa je
 
Back
Top Bottom